Hawana akiliEti field marshal (putin)kumbe mgambo tu, aliyedandia mtumbwi wa vibwengo!!wanakwambia eti hiyo ni mbinu ya kivita, amewaacha wajae tu, ili awamalize woteee!!!hahaaaaa
Mbinu ya kivita uache askari wafe? Russia kazidiwa, tukumbuke pia Ukraine aliharibu miundombinu mingi ya Russia. Ile supply chain sehemu nyingi zilishakatika, bado Kherson huko, tutasikia lolote lile.