Ukraine washambulia ofisi ya meya pandikizi wa Urusi

Ukraine washambulia ofisi ya meya pandikizi wa Urusi

Likombora la cruise missile tena la gharama sana linashushwa na mbeba javelin, hivi vita nimejifunza mengi sana, Urusi hovyoo ha ha ha
Hakunaga kitu kama hicho..mwangalie huyo naye ametana kudungua drone na manpad
 
IMG_20221017_190542.jpg
 
Baada ya kuona airdefence systems hazifanyi Kazi dhidi ya drones polisi wa Kieve wakaamua kuchukua majukumu ya air defence system angalia kilichowakuta.
View attachment 2390285
 
Poleni sana hivi nyie hamjasikia, US China, Uzbekistan, Egypt, Serbia, India na nchi zingine wanawambia raia zao waondoke Ukraine haraka unadhani kwanini?

Kunakipigo kitanzia Belarus yani Watlivamia Kyiv afu hao wanajeshi wa Ukraine, Mrusi anawacha wasonge mbele ili awamalize hi si kwamba Mrusi kaelemewa kama mnavyo dhani nyie Vita ni Tack tick tulia uone Ukraine atavyo malizwa.

Mimi sipendi kuona watu wanauliwa bila hatia lakini Ukraine wana Rais hana akili anatekeleza anacho ambiwa na US hatazami maslaha ya raia wa Ukraine.
naamini wewe ndie huna akili hata kidogo
kama Nyerere angekuwa na akili hii basi Kagera ingekuwa Uganda
 
Poleni sana hivi nyie hamjasikia, US China, Uzbekistan, Egypt, Serbia, India na nchi zingine wanawambia raia zao waondoke Ukraine haraka unadhani kwanini?

Kunakipigo kitanzia Belarus yani Watlivamia Kyiv afu hao wanajeshi wa Ukraine, Mrusi anawacha wasonge mbele ili awamalize hi si kwamba Mrusi kaelemewa kama mnavyo dhani nyie Vita ni Tack tick tulia uone Ukraine atavyo malizwa.

Mimi sipendi kuona watu wanauliwa bila hatia lakini Ukraine wana Rais hana akili anatekeleza anacho ambiwa na US hatazami maslaha ya raia wa Ukraine.
Umeandika comment ndefu lakini haina mantiki yoyote
 
Ujue tu kwamba Ukrain wanapigana kama magaidi...so wenyewe wanachojua ni kufyatua makombora bila kujua yanatua wapi

Umkute mtu kwenye nchi yake uanze kulialia eti anapigana kama magaidi...wavaa makobaz mnalo kweli.
 
Back
Top Bottom