Hakunaga kitu kama hicho..mwangalie huyo naye ametana kudungua drone na manpadLikombora la cruise missile tena la gharama sana linashushwa na mbeba javelin, hivi vita nimejifunza mengi sana, Urusi hovyoo ha ha ha
Hakunaga kitu kama hicho..mwangalie huyo naye ametana kudungua drone na manpad
View attachment 2390277
ZilipendwaMtasema hakunaga maana makobaz nio zenu, mlisema vivyo hivyo tangu javelin zilipotumika kufyeka limsafara la vifaru la 50km.
naamini wewe ndie huna akili hata kidogoPoleni sana hivi nyie hamjasikia, US China, Uzbekistan, Egypt, Serbia, India na nchi zingine wanawambia raia zao waondoke Ukraine haraka unadhani kwanini?
Kunakipigo kitanzia Belarus yani Watlivamia Kyiv afu hao wanajeshi wa Ukraine, Mrusi anawacha wasonge mbele ili awamalize hi si kwamba Mrusi kaelemewa kama mnavyo dhani nyie Vita ni Tack tick tulia uone Ukraine atavyo malizwa.
Mimi sipendi kuona watu wanauliwa bila hatia lakini Ukraine wana Rais hana akili anatekeleza anacho ambiwa na US hatazami maslaha ya raia wa Ukraine.
Vp Kherson mmeweza ichukua..nilisikia mlikuwa mmeandaa offensive ya kufa mtuNa zinapendwa...
Umeandika comment ndefu lakini haina mantiki yoyotePoleni sana hivi nyie hamjasikia, US China, Uzbekistan, Egypt, Serbia, India na nchi zingine wanawambia raia zao waondoke Ukraine haraka unadhani kwanini?
Kunakipigo kitanzia Belarus yani Watlivamia Kyiv afu hao wanajeshi wa Ukraine, Mrusi anawacha wasonge mbele ili awamalize hi si kwamba Mrusi kaelemewa kama mnavyo dhani nyie Vita ni Tack tick tulia uone Ukraine atavyo malizwa.
Mimi sipendi kuona watu wanauliwa bila hatia lakini Ukraine wana Rais hana akili anatekeleza anacho ambiwa na US hatazami maslaha ya raia wa Ukraine.
Ushapanic tayariVp Kherson mmeweza ichukua..nilisikia mlikuwa mmeandaa offensive ya kufa mtu
Vp Kherson mmeweza ichukua..nilisikia mlikuwa mmeandaa offensive ya kufa mtu
Ujue tu kwamba Ukrain wanapigana kama magaidi...so wenyewe wanachojua ni kufyatua makombora bila kujua yanatua wapiOna mliyemtegemea anavyolia Jenerali anayetegemewa kufanya miujiza ya kufuta aibu ya Urusi aanza kulia lia