Ukraine wasipokuwa makini wakiendelea kufuata ushauri wa magharibi taifa lote litapotea..

Ukraine wasipokuwa makini wakiendelea kufuata ushauri wa magharibi taifa lote litapotea..

ngajapo

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2012
Posts
1,782
Reaction score
3,525
Wana JF tumekuwa wachangiaji wazuri sana wa mijadala juu ya vita inayoendelea huko ulaya kati ya mafahari watatu yaani Urusi, NATO na Ukraine.. mpaka tumefikia hatua tunabishana as if ni simba na yanga... yaani hata timu iwe mbovu hatuachi kuunda sentensi zenye propaganda nyingi ili mradi tu upande wako uonekane uko vizuri lkn mwisho wa siku utajua ubovu wake pale anapokuwa kafungwa na mpinzani wake..

vivyohivyo kwa vita vya Urusi na Ukraine kila upande unajimwambfy kuwa wako bora sana huku upande mmoja ukisaidiwa na propaganda za kiwango cha juu kutoka vyombo vikubwa kabisa vya habari duniani..

lakini ukijaribu kuangalia kwa jicho la tatu unaona kabisa ardhi ya Ukraine inazidi kumezwa na jeshi la urusi. ukiangalia ramani hapo chini according to Al Jazeera unaona kabisa miji ya kherson, Moriopul, Donetsk, Luhansik ukiachilia mbali krimea ni kwamba yote iko chini ya Russia.. na kadri muda unavyokwenda msitari Mwekundu unazidi kusogea ndani..

ilani yangu; naomba, chondechonde wamarekani weusi(tuliomo humu JF) wazee wa NATO tuwe wakweli katika kumshauri raisi wa Ukraine afanye mazungzo yenye afya ya kusitisha mapigano na Urusi bila hivyo Ukraine inazidi kumeguka kama sio kuisha kabisa..

Screenshot_20220501_203354.jpg
 
Wana JF tumekuwa wachangiaji wazuri sana wa mijadala juu ya vita inayoendelea huko ulaya kati ya mafahari watatu yaani Urusi, NATO na Ukraine.. mpaka tumefikia hatua tunabishana as if ni simba na yanga... yaani hata timu iwe mbovu hatuachi kuunda sentensi zenye propaganda nyingi ili mradi tu upande wako uonekane uko vizuri lkn mwisho wa siku utajua ubovu wake pale anapokuwa kafungwa na mpinzani wake..

vivyohivyo kwa vita vya Urusi na Ukraine kila upande unajimwambfy kuwa wako bora sana huku upande mmoja ukisaidiwa na propaganda za kiwango cha juu kutoka vyombo vikubwa kabisa vya habari duniani..

lakini ukijaribu kuangalia kwa jicho la tatu unaona kabisa ardhi ya Ukraine inazidi kumezwa na jeshi la urusi. ukiangalia ramani hapo chini according to Al Jazeera unaona kabisa miji ya kherson, Moriopul, Donetsk, Luhansik ukiachilia mbali krimea ni kwamba yote iko chini ya Russia.. na kadri muda unavyokwenda msitari Mwekundu unazidi kusogea ndani..

ilani yangu; naomba, chondechonde wamarekani weusi(tuliomo humu JF) wazee wa NATO tuwe wakweli katika kumshauri raisi wa Ukraine afanye mazungzo yenye afya ya kusitisha mapigano na Urusi bila hivyo Ukraine inazidi kumeguka kama sio kuisha kabisa..

View attachment 2207778

USA and west have never failed, something is done on the background, utasikia tu Putin is dead, achana kabisa na Marekani, pamoja na Kwamba Israel ipo kimya, ila ni Taifa linaloshirikiana Sana na Marekani, give this time utakuja kuona.
 
USA and west have never failed, something is done on the background, utasikia tu Putin is dead, achana kabisa na Marekani, pamoja na Kwamba Israel ipo kimya, ila ni Taifa linaloshirikiana Sana na Marekani, give this time utakuja kuona.
Nimekumbuka alichofanywa Gregory Rasputin
 
Back
Top Bottom