baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Urusi ambaye kazidiwa hajatumia silaha yoyote ya kisasa zaidi ya Hypersonic, na yenyewe hajaitumia kumpiga ukraine bali kalipua tu msaada wa silaha mpakani.Mchina weka biashara mezani mtaelewana, habari ya vita Hana time nazo.
Anatumia tech za miaka 30 iliopita, thats show hawapo serious ni kama tu mzazi anampiga mwanawe, akitia mtu pua pale ndio utaona tech za kisasa.