baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Urusi ambaye kazidiwa hajatumia silaha yoyote ya kisasa zaidi ya Hypersonic, na yenyewe hajaitumia kumpiga ukraine bali kalipua tu msaada wa silaha mpakani.Mchina weka biashara mezani mtaelewana, habari ya vita Hana time nazo.
Upo Urusi ?au unalishw matangoporiAnajiweza wakati Moscow wanapanga folen saiv kununu sukari
NAto +USA wapo ukrain na wanapigika.WaBelarus wanafanya nini Ukraine? Unafikiri wameenda kutalii?? La hasha bali wameenda kumsaidia baba yao baada ya maji kuzidi unga. Lakin bado haijasaidi na Sasa unahitajika msaada wa mchina lakin mchina naye kachomoa.
[emoji38][emoji38][emoji38] mbona hamueleweki nyie warusi wa ikwiriri, nyie si ndo mnasema NATO ni waoga wamemsaliti Zelensky, wakisogeza hata pua tu Putin ataishambulia Marekani!, Afu Leo Tena mnasema NATO wako Ukraine!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]NAto +USA wapo ukrain na wanapigika.
Walichobakiza ni nuclear tu, saiz wanajiuliza watumie nuclear au watafute mlango wa kutokea kwa aibu.Urusi ambaye kazidiwa hajatumia silaha yoyote ya kisasa zaidi ya Hypersonic, na yenyewe hajaitumia kumpiga ukraine bali kalipua tu msaada wa silaha mpakani.
Anatumia tech za miaka 30 iliopita, thats show hawapo serious ni kama tu mzazi anampiga mwanawe, akitia mtu pua pale ndio utaona tech za kisasa.
Ha Ha marekani kuna watu wanalala chii na wengine hawana chakula. Jikite kwenye hoja acha kurukaruka.Anajiweza wakati Moscow wanapanga folen saiv kununu sukari
Hivi zile s400 zishatumika kweli ? Au unaposema kabakiza nuclear una maanisha nini?Walichobakiza ni nuclear tu, saiz wanajiuliza watumie nuclear au watafute mlango wa kutokea kwa aibu.
Vita ni propagandaPropaganda...
S400 ni defensiveHivi zile s400 zishatumika kweli ? Au unaposema kabakiza nuclear una maanisha nini?
Taarifa za propaganda....Vita ni propaganda
Shughuli imekua nzito! Masanja mkandamizaji ameamua kukaza mpaka kielewekeWalichobakiza ni nuclear tu, saiz wanajiuliza watumie nuclear au watafute mlango wa kutokea kwa aibu.
Mwenyewe na shangaa huo muda wana upata wapi.Wamepata muda wa kuhesabu hizo maiti saangapi ?
Ngoja nikusaidie Kitu Mdogo wangu.Hivi zile s400 zishatumika kweli ? Au unaposema kabakiza nuclear una maanisha nini?