Huyo anaamini Putin ana uwezo kumbe ashalegezwa si muda atakimbia ama apinduliwemkuu unaowadharau kumbuka wako ndan ya Russia na waliteka wanajesh zaid ya 240.Vita hii haiitaji mahaba meng ,ugumu upo pande zote
Wewe ndio huna ujualo wenye akili wameshapanga mikakati Dola inaanguka muda siyo mrefu. Palestina anakua mwanachama rasmi wa BRICS. Haya mambo yanaenda kwa mahesabu.Huna ujualo!
Hii vita West wanaenda nayo hatua kwa hatua!
Mwanzo walikuwa wanamwambia Ukrain wasirushe mabomu wala kiishambulia ndani ya Urusi, Ila juzi hapa umeona West wakimwambia Ukrain ruksa kushambulia ndani ya Rusia. Matokeo yake tukaona mkoa wa Urusi ukiangukia mkononi mwa Ukrain.
Sasa hivi hatua inayofuata ni kupatia Ukrain makombora ya masafa marefu akiwemo hayo ya balastik, na jana tu waziri wa ulinzi wa Urusi amelalama kwamba NATO wanacheza na moto kwa kuwapa Ukrain hayo makombora maana anajua yataanza kutua Moscow moja kwa moja.
Putin atapukuchuliwa taratibu hata kama ni kwa miaka 10 mpaka anaisha.
Ukijua hili wenzio wanajua lile.
Ndivyo mnavyojidanganya!??Huna ujualo!
Hii vita West wanaenda nayo hatua kwa hatua!
Mwanzo walikuwa wanamwambia Ukrain wasirushe mabomu wala kiishambulia ndani ya Urusi, Ila juzi hapa umeona West wakimwambia Ukrain ruksa kushambulia ndani ya Rusia. Matokeo yake tukaona mkoa wa Urusi ukiangukia mkononi mwa Ukrain.
Sasa hivi hatua inayofuata ni kupatia Ukrain makombora ya masafa marefu akiwemo hayo ya balastik, na jana tu waziri wa ulinzi wa Urusi amelalama kwamba NATO wanacheza na moto kwa kuwapa Ukrain hayo makombora maana anajua yataanza kutua Moscow moja kwa moja.
Putin atapukuchuliwa taratibu hata kama ni kwa miaka 10 mpaka anaisha.
Ukijua hili wenzio wanajua lile.
Russia sio Libya kijana.Huyo anaamini Putin ana uwezo kumbe ashalegezwa si muda atakimbia ama apinduliwe
1 US$ = Tshs. 2,717Wewe ndio huna ujualo wenye akili wameshapanga mikakati Dola inaanguka muda siyo mrefu. Palestina anakua mwanachama rasmi wa BRICS. Haya mambo yanaenda kwa mahesabu.
Ukraine anapambana Sana kujilindaUkraine Yasema Imejaribu Kombora Jipya la Ndani
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema kuwa nchi yake imefanikiwa kufanya jaribio la kwanza la kombora jipya lililotengenezwa ndani ya nchi. Ukraine inajulikana kuwa na angalau kombora moja la masafa mafupi, Hrim-2, ambalo lipo katika hatua ya maendeleo, kama ilivyochunguzwa kwa kina na jarida la The War Zone.
Soma Pia: Ukraine waanza kutengeneza silaha za masafa marefu
==============
Ukraine Says It Has Tested A New Domestically-Designed Ballistic Missile.
Ukrainian President Volodymyr Zelensky says that his country has conducted the first successful test of a new domestically-developed ballistic missile. Ukraine is known to have at least one short-range ballistic missile (SRBM), the Hrim-2, in some stage of development, as The War Zone previously explored in detail. Such a weapon would give Ukraine’s armed forces a highly valuable new stand-off strike option unlike any other in its inventory. It would also not be subject to any foreign restrictions on its use, as it continues to be the case with many longer-ranged weapons supplied by the United States and other Western partners.
SOURCE:YAHOO LATEST INTERNATIONAL TOP NEWS
Nina wasiwasi hawa wazungu wana mahusiano ya siri na viumbe walio nje ya dunia vinavyowapa madini na maarifa mbalimbali nyeti. Sitaki kuamini kwamba waafrika ni wajinga kiasi hicho.Wazungu bana, sisi bado tunahangaika na kutekana kwanza.
KwishaaaaKwisha Habari ya Russia.
Mziki sasa unahamia rasmi Russia.🤣🤣🤣Ukraine anapambana Sana kujilinda