PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Haya maombi MUNGU ameyasikia lazima Ukraine washinde vitaMungu, Ikiwa we ni Mungu wa haki kweli na Ukraine ikashindwa katika hii vita dhuruma basi we si Mungu wa haki na kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya maombi MUNGU ameyasikia lazima Ukraine washinde vitaMungu, Ikiwa we ni Mungu wa haki kweli na Ukraine ikashindwa katika hii vita dhuruma basi we si Mungu wa haki na kweli.
Kumbe hata mwenyewe huelewi😂😂😂😂😂Huwezi elewa
Asingeanzisha vita hayo matamko yasingekuwepoJuzi kweny hotuba yake ya kufungia mwaka alisema RUSSIA haiwezi jisalimisha kwa mataifa ya magharibi amesema mataifa hayo yanampango wa kuiharibu Russia kupitia Ukraine...nikacheka mana ukiona mkubwa analia ujue kuna jambo..
Jamaa amekuwa kama kuku aliyekatwa kichwa [emoji28]Juzi kweny hotuba yake ya kufungia mwaka alisema RUSSIA haiwezi jisalimisha kwa mataifa ya magharibi amesema mataifa hayo yanampango wa kuiharibu Russia kupitia Ukraine...nikacheka mana ukiona mkubwa analia ujue kuna jambo..
😂😂😂😂😂😂Jamaa amekuwa kama kuku aliyekatwa kichwa [emoji28]
Anabwabwaja tu
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Nahisi ndani ya jeshi la kuna.5th column..Kwa hiyo hamuwezi kudhibitisha madai yenu?acheni uongo yaani Askari Mia nne warudikwe sehemu moja? Russia ndo anataarifa sahihi sio mwingine.nyie mmejuaje ni Askari Mia nne sasa?
Aisee warusi wanaisha hawa, hawatawahi vamia nchi za watu kipumbavu.last week russia walipiga mizinga wakiwa kherson upande wa pil wa mto wakasau kuondoka mapema ndani ya dk 20 wakafanywa hakuna askar zaid ya 30 wa russia wakafanyiwa kitu cha Kimbari
View attachment 2468004
tunakupiga tunakuonesha na ushahidi
tuna waacha wenyewe mchambue
tunaendelea na kazi View attachment 2468006
Jaribu kuangalia kwa umakini picha ya kwanza na us pili-hazina tofauti yoyote hisipo kuwa ya pili ni digitaly manipulated angalia maiti iliyo funikwa na sanda nyeupe bado hipo pale pale MA maiti zingine zipo pale pale hisipokuwa hawa wajanja wameongezea background artificial ili kuonyesha ni picha mbili tofauti -kumbe ni uongo tu!! Wanachezea watu akili.Aisee warusi wanaisha hawa, hawatawahi vamia nchi za watu kipumbavu.
Warusi wamekataza smartphone hapo kwenye vitaLete picha za maiti ya hao wanajeshi 400 kama ni kweli.
Kwani wapi umeambiwa ni picha mbili tofauti?Jaribu kuangalia kwa umakini picha ya kwanza na us pili-hazina tofauti yoyote hisipo kuwa ya pili ni digitaly manipulated angalia maiti iliyo funikwa na sanda nyeupe bado hipo pale pale MA maiti zingine zipo pale pale hisipokuwa hawa wajanja wameongezea background artificial ili kuonyesha ni picha mbili tofauti -kumbe ni uongo tu!! Wanachezea watu akili.
Ameshachanganyikiwa make anaweweseka na kujishitukia.Kwani wapi umeambiwa ni picha mbili tofauti?
Mkuu usikurupuke kuandika kuhusu Mungu ikiwaMungu, Ikiwa we ni Mungu wa haki kweli na Ukraine ikashindwa katika hii vita dhuruma basi we si Mungu wa haki na kweli.
Hivi kweli huwa siri ya utawala huwa inakuwaje na ni kwa nini inakuwa ngumu kuasi? Yaani mtu mmoja tu anasababisha watu wengi hivi kufariki pasipo na sababu yoyote?last week russia walipiga mizinga wakiwa kherson upande wa pil wa mto wakasau kuondoka mapema ndani ya dk 20 wakafanywa hakuna askar zaid ya 30 wa russia wakafanyiwa kitu cha Kimbari
View attachment 2468004
tunakupiga tunakuonesha na ushahidi
tuna waacha wenyewe mchambue
tunaendelea na kazi View attachment 2468006
Jaribu kuangalia kwa umakini picha ya kwanza na us pili-hazina tofauti yoyote hisipo kuwa ya pili ni digitaly manipulated angalia maiti iliyo funikwa na sanda nyeupe bado hipo pale pale MA maiti zingine zipo pale pale hisipokuwa hawa wajanja wameongezea background artificial ili kuonyesha ni picha mbili tofauti -kumbe ni uongo tu!! Wanachezea watu akili.