Ukraine yarusha makombora ya Uingereza kushambulia ndani ya Urusi kwa mara ya kwanza

Ukraine yarusha makombora ya Uingereza kushambulia ndani ya Urusi kwa mara ya kwanza

Narumu kwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
1,888
Reaction score
4,489

x

Chanzo cha picha: Getty Images

Maelezo ya picha,Kyiv hapo awali iliweza tu kutumia makombora hayo ndani ya mipaka yake. Ukraine imerusha makombora ya Storm Shadow yanayotolewa na Uingereza kulenga shabaha ndani ya Urusi kwa mara ya kwanza, BBC imeelezwa.

Nchi hiyo inayokumbwa na vita hapo awali iliwekewa vikwazo vya kutotumia makombora ya masafa marefu nje ya mipaka yake.

Taarifa za mashambulio hayo zimekuja baada ya Ukraine kupewa kibali kutoka Washington cha kurusha makombora yaliyotolewa na Marekani ndani ya ardhi ya Urusi. Serikali ya Uingereza imekataa kutoa maoni kuhusu ripoti hizo, lakini maafisa wamethibitisha kwamba Waziri wa Ulinzi, John Healey alizungumza na mwenzake wa Ukraine Jumanne usiku.

Mawaziri huenda wakachukua tahadhari katika majibu yao kwa ripoti hizo kutokana na wasi wasi juu ya majibu ya Urusi, pamoja na kuhakikisha hatua hiyo haionekani kuwa inaongozwa na Uingereza.

Waziri wa Ulinzi wa Ukraine, Rustem Umerov pia amekataa kuthibitisha kwamba nchi yake imetumia makombora ya Storm Shadow kushambulia ndani ya ardhi ya Urusi, lakini amesema "tunatumia njia zote kuilinda nchi yetu."

Matthew Miller, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani alipoulizwa na BBC ikiwa Ukraine inashauriana au kuifahamisha Marekani kuhusu matumizi ya makombora yaliyotolewa na Uingereza, Bw Miller amesema hatazungumza hadharani kuhusu matumizi ya silaha za nchi nyingine.

Rais Volodymyr Zelensky ametoa wito mara kwa mara kwa washirika wake wa Magharibi kuidhinisha matumizi ya makombora ya masafa marefu dhidi ya shabaha ndani ya Urusi, akisema ndiyo njia pekee ya kukomesha vita.

Kombora la Storm Shadow linachukuliwa kuwa silaha bora ya kupenya mahandaki magumu na ghala za silaha, kama makombora yanayotumiwa na Urusi katika vita vyake dhidi ya Ukrain
 
Kazi ya makombora ni kulipuka, sasa kuna haja gani kuyaunda masafiiii very presentable namna hiyo utasema ni kitu flan cha maana sanaa!?
Yangefanywa tu ni ma vyuma vyuma ingepunguza ufanisa au?
Waingereza ni jamii inayopenda umaridadi sana (smart)

Kombora linavutia kama vile ndege ya kisasa.

Hawa Waingereza Wana vitu Bora sana, lkn hawapendi show off kama Ali Kiba, alisikika Nifah 😂
 
Waingereza ni jamii inayopenda umaridadi sana ( smart)

Kombora linavutia kama vile ndege ya kisasa.
Hawa Waingereza Wana vitu Bora sana, lkn hawapendi show off kama Ali Kiba, alisika Nifah [emoji23]
Hiyo ni sample ya exbihition sio kwamba walitumia hilo holo mkuu.
 

Ukraine yarusha makombora ya Uingereza kushambulia ndani ya Urusi kwa mara ya kwanza​

x

Chanzo cha picha,Getty Images

Maelezo ya picha,Kyiv hapo awali iliweza tu kutumia makombora hayo ndani ya mipaka yake
Ukraine imerusha makombora ya Storm Shadow yanayotolewa na Uingereza kulenga shabaha ndani ya Urusi kwa mara ya kwanza, BBC imeelezwa.

Nchi hiyo inayokumbwa na vita hapo awali iliwekewa vikwazo vya kutotumia makombora ya masafa marefu nje ya mipaka yake.

Taarifa za mashambulio hayo zimekuja baada ya Ukraine kupewa kibali kutoka Washington cha kurusha makombora yaliyotolewa na Marekani ndani ya ardhi ya Urusi.
Serikali ya Uingereza imekataa kutoa maoni kuhusu ripoti hizo, lakini maafisa wamethibitisha kwamba Waziri wa Ulinzi, John Healey alizungumza na mwenzake wa Ukraine Jumanne usiku.

Mawaziri huenda wakachukua tahadhari katika majibu yao kwa ripoti hizo kutokana na wasi wasi juu ya majibu ya Urusi, pamoja na kuhakikisha hatua hiyo haionekani kuwa inaongozwa na Uingereza.

Waziri wa Ulinzi wa Ukraine, Rustem Umerov pia amekataa kuthibitisha kwamba nchi yake imetumia makombora ya Storm Shadow kushambulia ndani ya ardhi ya Urusi, lakini amesema "tunatumia njia zote kuilinda nchi yetu."
Matthew Miller, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani alipoulizwa na BBC ikiwa Ukraine inashauriana au kuifahamisha Marekani kuhusu matumizi ya makombora yaliyotolewa na Uingereza, Bw Miller amesema hatazungumza hadharani kuhusu matumizi ya silaha za nchi nyingine.

Rais Volodymyr Zelensky ametoa wito mara kwa mara kwa washirika wake wa Magharibi kuidhinisha matumizi ya makombora ya masafa marefu dhidi ya shabaha ndani ya Urusi, akisema ndiyo njia pekee ya kukomesha vita.
Kombora la Storm Shadow linachukuliwa kuwa silaha bora ya kupenya mahandaki magumu na ghala za silaha, kama makombora yanayotumiwa na Urusi katika vita vyake dhidi ya Ukrain
Hivi Ukraine anasubiri nini kuvunja lile daraja, naona kama anapoozesha mchezo.
 
Kazi ya makombora ni kulipuka, sasa kuna haja gani kuyaunda masafiiii very presentable namna hiyo utasema ni kitu flan cha maana sanaa!?????
Yangefanywa tu ni ma vyuma vyuma ingepunguza ufanisa au??
Mbona litakosa soko? Kumbuka mnunuzi kwanza huvutiwa kwa muonekano(Sura) wa bidhaa halafu anasogea karibu na kuanza kuuliza maswali ya ufahamu zaidi na hapo ndo utaalam wa "promo" unaingia na masifa kedekede, uwezo wa silaha hiyo na akikubali ndipo huambiwa bei yake kwamba kwa sasa ni bei "poa" na akinunua huhamasishwa anunue mengi ya kutosha kwani hiyo bei itabadilika na kupanda siku za usoni....etc.
 
Back
Top Bottom