Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
NATO anapigana na Russia nyuma ya pazia. Ukraine ndo katangulizwa ili aonekane ni yeye lakini in the real sense vita ni baina ya hao mafahali wawili.kwani NATO anapigana na Russia mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NATO anapigana na Russia nyuma ya pazia. Ukraine ndo katangulizwa ili aonekane ni yeye lakini in the real sense vita ni baina ya hao mafahali wawili.kwani NATO anapigana na Russia mkuu
Uchafu si hulka ya wazungu, lakini pia due to industrial process behind lazima litoke safiKazi ya makombora ni kulipuka, sasa kuna haja gani kuyaunda masafiiii very presentable namna hiyo utasema ni kitu flan cha maana sanaa!?????
Yangefanywa tu ni ma vyuma vyuma ingepunguza ufanisa au??
kwa hiyo IRAN NA KOREA WANAPIGANA NA UKRAINENATO anapigana na Russia nyuma ya pazia. Ukraine ndo katangulizwa ili aonekane ni yeye lakini in the real sense vita ni baina ya hao mafahali wawili.
Yanafanywa hivyo ili yawe "stealth" kwa kiwango fulani.Kazi ya makombora ni kulipuka, sasa kuna haja gani kuyaunda masafiiii very presentable namna hiyo utasema ni kitu flan cha maana sanaa!?????
Yangefanywa tu ni ma vyuma vyuma ingepunguza ufanisa au??
HiloYanafanywa hivyo ili yawe "stealth" kwa kiwango fulani.
Kuwa "stealth" kwa Tanzania ni kama kuwa 'mwanga" anayekuwangia usiku, humuoni.
Niwache vipi na mimi jinni?Eneo lako la kujidai hilo. Ila uache kuwanga aiseee
Hilo
Front line huwa sio moja tuu. Subiri kidogo halafu utaona na kujua hayo maandalizi yanayofanyika hatima yake ni nini.kwa hiyo IRAN NA KOREA WANAPIGANA NA UKRAINE
Kwani; halafu sisi unatuweka fungu gani kwa mfano.Uingereza wajitayarishe na dhiki na adha za vita.
Duuh !The Russian media are in panic over Storm Shadow missiles.
It can hit them wherever and whenever.
Limekaa kishoga shoga!Kazi ya makombora ni kulipuka, sasa kuna haja gani kuyaunda masafiiii very presentable namna hiyo utasema ni kitu flani cha maana sanaa?
Yangefanywa tu ni ma vyuma vyuma ingepunguza ufanisa au?
NIMECHEKA SANA HII..Kazi ya makombora ni kulipuka, sasa kuna haja gani kuyaunda masafiiii very presentable namna hiyo utasema ni kitu flani cha maana sanaa?
Yangefanywa tu ni ma vyuma vyuma ingepunguza ufanisa au?
Ina maana hujui hilo? Hata huu uzi wenyewe tu una majibu ya hilo swali lako.kwani NATO anapigana na Russia mkuu
Basi mwenyewe hapo unajiona umeongea bonge la point na kingereza chako cha kwenye kamusi!So, Russia can illegally invade a sovereign democratic European country, murder 1000s of Ukrainian civilians, then rope in North Korean soldiers to help them wage war, and the West’s correct response should be to.. checks notes … give Putin what he’s stolen?
Do f*ck off.
Ahahahah..ujue inafikirisha sana, heb chek hilo kombora hapo, si unaweza sema ni tech flan hiv kama ya medical equipment flan hic pale icu..safiiii nzuriiiiiiNIMECHEKA SANA HII..
Mimi nimeongelea Russians the killers, na wewe tafuta chaka lako ukawasema kiboko yenu magaidi.Basi mwenyewe hapo unajiona umeongea bonge la point na kingereza chako cha kwenye kamusi!
US ndio nchi inayovamia nchi nyingi zaidi na kuua watu wengi zaidi wasio na hatia,
Ila kwavile wewe ni miongoni mwa wale walioshikiwa akili,huwezi kuliona hilo,acha akili yako iwe free kwanza kisha ndio uanze kujadili vitu vya maana.