Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
FAKE NEWS DELETE THISUkraine imethibitisha kuzamisha Submarine ya Russia itwayo The Rostov-on-Don ilyokuwa huko Crimean Peninsula,shambulio hilo pia limehusisha kuharibu mifumo 4 ya ulinzi ya S-400 iliyopo Cremea.
Hujaona kuwa hiyo ni habari ya BBC ya tarehe 3 August 2024?Nadhani taarifa hiyo ni ya zamani sana! Russia ilishaondoa manowari zake pale!
Kwa hiyo unawaona mods wajinga kama nyie mnaopinga kitu bila kwenda kujidhihirisha kama ni kweli au uongo? Nenda kacheki media zote kubwa anza na BBC World.Kaka umeaibika na ushabiki wako wakijinga unaonekana mjinga Sasa🥴🥴🥴
Una uhakika?FAKE NEWS DELETE THIS
Fake news kichwa kibayaKwa hiyo unawaona mods wajinga kama nyie mnaopinga kitu bila kwenda kujidhihirisha kama ni kweli au uongo? Nenda kacheki media zote kubwa anza na BBC World.
Bbc ni mouth piece za mashoga ni shirika la kijinga sana...Angalia wanayosema kuhusu gaza na kwingineko!!!! Mashetani wale wale.Hujaona kuwa hiyo ni habari ya BBC ya tarehe 3 August 2024?
Mbona hiyo habari ni latest na ndiyo ina trend?Nadhani taarifa hiyo ni ya zamani sana! Russia ilishaondoa manowari zake pale!
Mashoga!!!Bbc ni mouth piece za mashoga ni shirika la kijinga sana...Angalia wanayosema kuhusu gaza na kwingineko!!!! Mashetani wale wale.
Kule israel na hata London kunaa mandamano hawasemi kabisa ila wanasema Submarine imezama sasa kama imezama hao ukraine si wateke hilo eneo???
Maana vitani ukipiga adui unakali hilo eneo sasa mm nashangaa ukraine inaipiga Urusi halafu bado eneo linachukuliwa na anaepigwa!!!
Mbona mnamshambulia mleta habari wakati vyombo vyote ambavyo huwa mnatoa habari zenu navyo vime report habari hii?Kaka umeaibika na ushabiki wako wakijinga unaonekana mjinga Sasa🥴🥴🥴
Hawapendi kusikika habari hizo, ndo maana wanamshambulia mleta mada. Hicho chanzo kikileta habari zinazowafurahisha watakitumia kama rejea yao.Mbona mnamshambulia mletag habari wakati vyimbo vyote ambavyo huwa mnatoa habari zenu navyo vime report habari hii?
Mngetafuta namna ya kumpinga lakini si hiyo mnayoitumia
Achana nao,naona wiki hii wamevurugwa wakicheki kule Iran kawatia aibu wakienda Russia Submarine imezamishwa.Hawapendi kusikika habari hizo, ndo maana wanamshambulia mleta mada. Hicho chanzo kikileta habari zinazowafurahisha watakitumia kama rejea yao.