Ukraine yasema imeizamisha Submarine ya Urusi Crime

Ukraine yasema imeizamisha Submarine ya Urusi Crime

Bbc ni mouth piece za mashoga ni shirika la kijinga sana...Angalia wanayosema kuhusu gaza na kwingineko!!!! Mashetani wale wale.

Kule israel na hata London kunaa mandamano hawasemi kabisa ila wanasema Submarine imezama sasa kama imezama hao ukraine si wateke hilo eneo???

Maana vitani ukipiga adui unakali hilo eneo sasa mm nashangaa ukraine inaipiga Urusi halafu bado eneo linachukuliwa na anaepigwa!!!
Kwa hiyo wewe unataka kusikia BBC ikitangaza kwamba gaidi Ismael Haniyeh hakufa na tayari amerejea Qatar ili ndio ufurahi. Bogus kabisa.
 
Hizi taarifa wanazo waukraine wa buza tu na Wayahudi
 
Bbc ni mouth piece za mashoga ni shirika la kijinga sana...Angalia wanayosema kuhusu gaza na kwingineko!!!! Mashetani wale wale.

Kule israel na hata London kunaa mandamano hawasemi kabisa ila wanasema Submarine imezama sasa kama imezama hao ukraine si wateke hilo eneo???

Maana vitani ukipiga adui unakali hilo eneo sasa mm nashangaa ukraine inaipiga Urusi halafu bado eneo linachukuliwa na anaepigwa!!!
kichwan ni sifur , umeanza fake news sasa hv unasema bbc ni nini sijui ? yaan kusoma hujui ? habari inasema UKRAINE NDO ALIESEMA NA SIO BBC , LINI.MTAANZA KUSTARAABIKA ?
 
Hii habari mbona tangu juzi hiyo Sub imepigwa na niliona na picha kabisa.
Pro russia mmejaza ujinga kichwani hamtaki kusikia ukweli
 
Ukraine imethibitisha kuzamisha Submarine ya Russia itwayo The Rostov-on-Don ilyokuwa huko Crimean Peninsula, shambulio hilo pia limehusisha kuharibu mifumo 4 ya ulinzi ya S-400 iliyopo Cremea.
View attachment 3060887View attachment 3060888
tumeiona mkuu
1722840671344.png
 
Kwa hiyo wewe unataka kusikia BBC ikitangaza kwamba gaidi Ismael Haniyeh hakufa na tayari amerejea Qatar ili ndio ufurahi. Bogus kabisa.

Hiyo BBC anakimbia kutangaza hizo habari za kwake za wazungu kuiba madukani
 
Hiyo BBC anakimbia kutangaza hizo habari za kwake za wazungu kuiba madukani
BBC haiwezi kufanya taarifa ya wazungu kuiba iwe unique news kwa sababu wanafahamu kwamba wazungu ni binadamu kama wengine tu tofauti na wewe unaowaona kama malaika.
 
BBC haiwezi kufanya taarifa ya wazungu kuiba iwe unique news kwa sababu wanafahamu kwamba wazungu ni binadamu kama wengine tu tofauti na wewe unaowaona kama malaika.

Mbona ikiwa kuna jambo zuri inakuwa news lakini hizo za kumshusha thamani anazikimbia 😛 😛
 
Back
Top Bottom