Kwa hiyo wewe unataka kusikia BBC ikitangaza kwamba gaidi Ismael Haniyeh hakufa na tayari amerejea Qatar ili ndio ufurahi. Bogus kabisa.Bbc ni mouth piece za mashoga ni shirika la kijinga sana...Angalia wanayosema kuhusu gaza na kwingineko!!!! Mashetani wale wale.
Kule israel na hata London kunaa mandamano hawasemi kabisa ila wanasema Submarine imezama sasa kama imezama hao ukraine si wateke hilo eneo???
Maana vitani ukipiga adui unakali hilo eneo sasa mm nashangaa ukraine inaipiga Urusi halafu bado eneo linachukuliwa na anaepigwa!!!
NyambiziNadhani taarifa hiyo ni ya zamani sana! Russia ilishaondoa manowari zake pale!
BBC!!.. kwenye suala la urusi!!?Hujaona kuwa hiyo ni habari ya BBC ya tarehe 3 August 2024?
Nenda kacheki Aljazeera ili ufurahiBBC!!.. kwenye suala la urusi!!?
BBC WAZEE WA PROPAGANDA 😂Ukraine imethibitisha kuzamisha Submarine ya Russia itwayo The Rostov-on-Don ilyokuwa huko Crimean Peninsula, shambulio hilo pia limehusisha kuharibu mifumo 4 ya ulinzi ya S-400 iliyopo Cremea.
View attachment 3060887View attachment 3060888
kichwan ni sifur , umeanza fake news sasa hv unasema bbc ni nini sijui ? yaan kusoma hujui ? habari inasema UKRAINE NDO ALIESEMA NA SIO BBC , LINI.MTAANZA KUSTARAABIKA ?Bbc ni mouth piece za mashoga ni shirika la kijinga sana...Angalia wanayosema kuhusu gaza na kwingineko!!!! Mashetani wale wale.
Kule israel na hata London kunaa mandamano hawasemi kabisa ila wanasema Submarine imezama sasa kama imezama hao ukraine si wateke hilo eneo???
Maana vitani ukipiga adui unakali hilo eneo sasa mm nashangaa ukraine inaipiga Urusi halafu bado eneo linachukuliwa na anaepigwa!!!
UKRAINE KASEMA NA SIO BBC , STARABIKENI JAMANIBBC 😂
BBC WAZEE WA PROPAGANDA 😂
UKRAINE KASEMA NA SIO BBC , ELIMU YA CCMU INATUACHIA KIWANGU KIKUBWA CHA WAJINGABBC!!.. kwenye suala la urusi!!?
tumeiona mkuuUkraine imethibitisha kuzamisha Submarine ya Russia itwayo The Rostov-on-Don ilyokuwa huko Crimean Peninsula, shambulio hilo pia limehusisha kuharibu mifumo 4 ya ulinzi ya S-400 iliyopo Cremea.
View attachment 3060887View attachment 3060888
Hawapendi kusikika habari hizo, ndo maana wanamshambulia mleta mada. Hicho chanzo kikileta habari zinazowafurahisha watakitumia kama rejea yao.
Naona ishapenya umekubali sasa kuwa ni tamuSawa mama tutastaarabika kama waarabu
Kwa hiyo wewe unataka kusikia BBC ikitangaza kwamba gaidi Ismael Haniyeh hakufa na tayari amerejea Qatar ili ndio ufurahi. Bogus kabisa.
BBC haiwezi kufanya taarifa ya wazungu kuiba iwe unique news kwa sababu wanafahamu kwamba wazungu ni binadamu kama wengine tu tofauti na wewe unaowaona kama malaika.Hiyo BBC anakimbia kutangaza hizo habari za kwake za wazungu kuiba madukani
BBC haiwezi kufanya taarifa ya wazungu kuiba iwe unique news kwa sababu wanafahamu kwamba wazungu ni binadamu kama wengine tu tofauti na wewe unaowaona kama malaika.