Ukraine yasema imeizamisha Submarine ya Urusi Crime

Kwa hiyo wewe unataka kusikia BBC ikitangaza kwamba gaidi Ismael Haniyeh hakufa na tayari amerejea Qatar ili ndio ufurahi. Bogus kabisa.
 
Hizi taarifa wanazo waukraine wa buza tu na Wayahudi
 
kichwan ni sifur , umeanza fake news sasa hv unasema bbc ni nini sijui ? yaan kusoma hujui ? habari inasema UKRAINE NDO ALIESEMA NA SIO BBC , LINI.MTAANZA KUSTARAABIKA ?
 
Hii habari mbona tangu juzi hiyo Sub imepigwa na niliona na picha kabisa.
Pro russia mmejaza ujinga kichwani hamtaki kusikia ukweli
 
Kwa hiyo wewe unataka kusikia BBC ikitangaza kwamba gaidi Ismael Haniyeh hakufa na tayari amerejea Qatar ili ndio ufurahi. Bogus kabisa.

Hiyo BBC anakimbia kutangaza hizo habari za kwake za wazungu kuiba madukani
 
Hiyo BBC anakimbia kutangaza hizo habari za kwake za wazungu kuiba madukani
BBC haiwezi kufanya taarifa ya wazungu kuiba iwe unique news kwa sababu wanafahamu kwamba wazungu ni binadamu kama wengine tu tofauti na wewe unaowaona kama malaika.
 
BBC haiwezi kufanya taarifa ya wazungu kuiba iwe unique news kwa sababu wanafahamu kwamba wazungu ni binadamu kama wengine tu tofauti na wewe unaowaona kama malaika.

Mbona ikiwa kuna jambo zuri inakuwa news lakini hizo za kumshusha thamani anazikimbia 😛 😛
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…