Ukraine yasema NATO ni dhaifu hawatajiunga nayo

Ukraine yasema NATO ni dhaifu hawatajiunga nayo

Kitakachoivunja hii dola ya NATO ni ulaya magharibi maana nchi hiz ni maskin na zinakost zana nchi nyingine tajir even Bible imetabir dola hili ni muungano wa chuma na udongo,kwamwe NATO haitasimama imara,maana nato ni dhaifu kuliko Roma ilivyokua.

NATO itakapoanguka na ule mwisho wa dunia utaanza kucheza kwenye red line ,maana hakuna dola itakayoweza nyanyuka tena si mrus,si mchina wala mmarekeni.

Bali ataibuka mtu mmoja mwenye nguvu ambaye dunia itamwona kama aliyebeba shuluhisho la matatizo ya kidunia
 
Hii nchi haina hata wazee??? walichaguaje mtu mjinga kama huyu??? ANAWAANGAMIZA huku wanaona wazi...Hawana uwezo wa kushupaza shingo wataisha...Watakuja kujenga nchi kwa maumivu makali wala kile Kizee Biden hakitakuepo....

Hizi Kelele Za NATO NA US na Mamedia Yao uchwara wala hazizuii kupigwa mabomu watanyeshewa sana
 
Ule msimamo wa Rais wa Ukraine, ze Comedian Zelensky, juu ya uhuru na ulazima wa nchi yake kujiunga NATO hata kama Russia haipendi hilo, sasa umeyeyuka kama barafu.

Kufuatia mvua za makombora zinazoendelea kumiminwa na Russia kwenye mji wa Kyiv na mikoa yote ya Ukraine, Zelensky ameamua kubadili msimamo wake wa mwanzo.

Rais Zelensky amesema kuwa Ukraine lazima ikubaliane na uhalisia wa mambo, kuwa haitojiunga tena na NATO, moja ya takwa la msingi la Putin lililomfanya Putin aivamie Ukraine kijeshi (akubaliana na takwa la kwanza la Russia)

Sasa kama angekuwa mwerevu, si angekubali toka mwanzo jambo hilo akaepusha vifo vya maelfu ya waUkraine pamoja na uharibifu mkubwa wa mikoa yote ya Ukraine vilivyotokana na vinavyoendelea kwenye vita hivi.

Ona sasa ujinga wake umesababisha vifo na madhara makubwa kwa raia wake, ikiwemo mamilioni ya wakimbizi waliopoteza makazi na ajira zao.

=====

SmartSelect_20220316-075948_Chrome.jpg

Screenshot_20220316-082414_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom