Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
Embu tutafsirie hapaAmesema inawezakana wasijiunge ila hajasema hawatojiunga,.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Embu tutafsirie hapaAmesema inawezakana wasijiunge ila hajasema hawatojiunga,.
Yule ngombe kala kifusi huko huko
Haka kajamaa ni kapumbavu sana na wale wanao kaona kashujaa nao ni wapumbavu kama kenyewe...
Single inch tenaaaUkisoma vizuri hiyo habari ya chini iliyoandikwa kwa lugha ya kingereza haja maanisha NATO kwamba ni dhaifu kwa maana ya dhaifu lakini aticle 5 ya NATO is not responding accordingly
Akimaanisha no single inch of NATO member will be touched without them to respond na hii ni kutokana na kituo cha kutolea mafuzo ya kijeshi kilichopo mpakani mwa Poland na ukrein kushambukiwa na majeshi ya Russia ,Zeleky yupo kwenye desparate kwa sasa asifikiri watu watafanya maamuzi kwa kumsikiliza kama anavotaka yeye ,badala yake NATO wanaangalia kwa mapana na marefu impact ya vita hii iwapo wataaingilia kia haraka haraka vķa sasa
Inategemea unapigana na nan lazima usikilizie kwanza we enz za vandame ukitoka nje unamuona vandame anaruka sarakas huku anakatakata migomba ungetoka ???Naunga mkono maoni ya Raising NATO ni waoga na siyo dhaifu.
Mashaka yangu ni kwamba yaweza guswa nchi ndogo mwanachama wakaja kusema hatuwezi kuingilia kwa kuwa tutasababisha vita ya 3 ya dunia.
Sasa Ukraine ni member wa NATO?Ukisoma vizuri hiyo habari ya chini iliyoandikwa kwa lugha ya kingereza haja maanisha NATO kwamba ni dhaifu kwa maana ya dhaifu lakini aticle 5 ya NATO is not responding accordingly
Akimaanisha no single inch of NATO member will be touched without them to respond na hii ni kutokana na kituo cha kutolea mafuzo ya kijeshi kilichopo mpakani mwa Poland na ukrein kushambukiwa na majeshi ya Russia ,Zeleky yupo kwenye desparate kwa sasa asifikiri watu watafanya maamuzi kwa kumsikiliza kama anavotaka yeye ,badala yake NATO wanaangalia kwa mapana na marefu impact ya vita hii iwapo wataaingilia kia haraka haraka vķa sasa