PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Tangu hizo taarifa za kusema kila siku wanapungua si wangekuwa wameisha? Mlisema wameuawa wote cha ajabu walioawa wakazidi kusonga.Huko kursk watu wa Ukraine waliovamia ardhi hiyo wanazidi kupungua kwa kuuliwa na wanajeshi wa Urusi.
Sio TU watu,Bali watu na silaha zao.
Ukraine Loses Up to 7,450 Troops During Operation in Kursk Region - MoD
MOSCOW (Sputnik) - The Russian armed forces have eliminated up to 7,450 Ukrainian servicepeople, 74 tanks and 36 infantry fighting vehicles during military operations in the border areas of the Kursk Region, the Russian Defense Ministry said on Thursday.
"In total, during the military operations in the Kursk area, the enemy lost up to 7,450 servicepeople, 74 tanks, 36 infantry fighting vehicles," the ministry said in a statement.
Over the past 24 hours, Kiev lost more than 400 servicepeople in the Kursk area, the ministry also said.
Kila mkisema wanauawa wao ndiyo wanazidi kuinarika na kusonga mbele na Russia hajafanikiwa kurudisha hata inchi moja ya ardhi iliyotekwa.
Sasa hao ndiyo Russia wenu wanaoshindwa na na watu waliouawa kuna jeshi hapo?