Ukraine yashambulia maghala 2 zaidi ya mafuta ndani ya Russia

Tangu hizo taarifa za kusema kila siku wanapungua si wangekuwa wameisha? Mlisema wameuawa wote cha ajabu walioawa wakazidi kusonga.
Kila mkisema wanauawa wao ndiyo wanazidi kuinarika na kusonga mbele na Russia hajafanikiwa kurudisha hata inchi moja ya ardhi iliyotekwa.
Sasa hao ndiyo Russia wenu wanaoshindwa na na watu waliouawa kuna jeshi hapo?
 
Mmeanzisha Jukwaa lingine huku
Moderator funga hii ijumuishe kule
 
sasa maghala yameshambuliwa wewe unakuja maneno ya nusu mstari eti hakuna hasara, mapenzi yako kwa putin mwisho mtakuwa mnalizana lizana tu, kumbuka putin alisema ikishambuliwa russia ataanzisha vita ya nuclear
Mkuu, naona yupo kimia, utafikiri hakusema; mambo yamemzidi na Mra Kiduku kaufyata, hana msaada. Wanaume wamepata eneo (urusi) sahihi na wakati mwafaka wa kujaribia silaha hao.
 
Mkuu, naona yupo kimia, utafikiri hakusema; mambo yamemzidi na Mra Kiduku kaufyata, hana msaada. Wanaume wamepata eneo (urusi) sahihi na wakati mwafaka wa kujaribia silaha hao.
 
Waukraine wakiuliwa wanageuka askari wafu same kama wale Army of dead, White Walkers maana hawaishi tu miaka mitatu now dah
 
Majibu aliyotoa jamaa kuwa hakuna hasara ni kama ya Facebook sio JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…