Ukristo Marekani umekosa Mwelekeo

Nimemuongelea Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Pia Mungu huyo ana haki yote.

Mungu huyo ni wa kufikirika tu.

Huyo Mungu anafikirika na kusemeka, lakini hayupo.

Ni kama wewe unavyoweza kuifikiria na kuisema "pembetatu ambayo pia hapo hapo ni duara". Unaweza kuifikiria, unaweza kuisema. Lakini, ukiweza kuifikiria na kuisema, hilo halimaanishi ipo.

Kwa nini pembetatu ambayo pia ni duara haipo? Kwa sababu dhana ya kuwapo hiyo pembetatu ina internal contradiction. Inajipinga yenyewe. Pembetatu haiwezi kuwa duara, na duara haliwezi juwa pembetatu.

Hivyo hivyo, Mungu mjuzi wa yote, muweza yote na mwenye upendo wote kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya ni contradiction.

Kwa sababu upendo wake wote hauendani na yeye kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya. Hii ni pembetatu duara, ni contradiction.

In fact, sihitaji hata kwenda kwenye Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote kuona contradiction.

Nikichukua tabia ya "muweza yote" tu, ambayo umeotaja wewe, tayari ina contradiction.

Je, Mungu muweza yote anaweza kuumba jiwe ambalo litakuwa zito sana kiasi ashindwe kulibeba?

Ukisema ndiyo, anaweza, tayari ushakubali huyo Mungu hawezi yote, kwa sababu kuna jiwe anaweza kuliumba akashindwa kulibeba.

Ukisema hawezi kuliumba hilo jiwe, kwa sababu anaweza kubeba kila jiwe, ushakubali kwamba hawezi yote, kwa sababu kuna hilo jiwe hawezi kuliumba.

Kwa hiyo tunaona hata hii sifa ya "muweza yote" ni sifa ya kufikirika tu, kimantiki inazaaa contradictions.

Kwa hivyo, tumeona kuwa.

1. Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya ni contradiction. Ulimwengu kuweza kuwa na mabaya kunaonesha Mungu huyo hayupo.

Umesema Mungu anaweza yote mema na mabaya, lakini nikakuonesha Mungu mwenye upendo wote kuruhusu mabaya ni contradiction. Mabaya kuwepo ni ushahidi na uthibitisho kwamba Mungu huyo hayupo.

2. Tumeona kuwa hata tukiondoa sifa za mjuzi wa yote na mwenye upendo wote, sifa ya muweza yote yenyewe ni ya kufikirika, haiwezekani kuwapo kimantiki. Tumeona Mungu muweza yote akipewa mtihani wa kuumba jiwe zito kiasi asiweze kulibeba, sifa yake ya kuweza yote lazima itavunjika. Akiweza kuliumba hilo jiwe, sifa ya kuweza yote itavunjika kwa sababu atashindwa kulibeba. Asipoweza kuliumba hilo jiwe, sofa ya kuweza yote itavunjika kwa sababu hataweza kuliumba hilo jiwe. Kwa hivyo kuweza yote ni sifa ya kufikirika tu, kimantiki haiwezi kuwepo na Mungu muweza yote hawezi kuwapo.

Umeelewa? Au bado una ubishi?
 
Vita ya msaraba ndo vita iliyo uwa watu wengi kuliko vita yeyote tangu kuumbwa kwa dunia.
Wacha kujipotosha Kijana, soma historia kuhusu Muslim crusades and expansions through Europe na Asia. Waislam wanaua at will kwa sababu Muddy aliwaambia kufanya hivyo kwa yeyote asiye abudu majini
 
Observation yako ni sahihi kabisa mkuu.Ni kweli kwamba Marekani ilianza kama Taifa la Kiprotestanti, wakati huo likiwa na muonekano wa kumuogopa Mungu.Nimesema muonekano kwa kuwa it was "facial appearance." Baadaye pole pole lilianza kuonyesha sura yake halisi kwa kuji-allign na Ukatoliki, ambao kiuhalisia sio Ukristo, ili ni upagani.The seat of Satan is the so called Catholic "Church" which in reality is not a church but a Cult,just like the Skull and Bones,Nights of Templar or Freemasons.Infact the Catholic Church is Masonic.

Niweke wazi kwamba Mkristo ni mtu mwenye tabia zinazofanana na za Yesu Kristo,kama wewe huna tabia zinazofanana na Kristo,wewe sio Mkristo.Kwa maana hii kwa hiyo wengi wanaojiita Wakristo si Wakristo,bali wapagani.

Sasa Marekani ni Taifa gani leo.It is a satanic nation,saving the Devil.Kwa bahati mbaya Ushetani is very contagious,kwa hiyo it has spread to all of America.Naweza kusema all of America is now in some way demonic.No institution in America has not been affected,the Devil is in full control of America,even what are called Evangelicals have not been spared.
 
Wewe sio mkristo, ni mvaa kobazi.
 
Ukristo hauwezi kukosa mwelekeo kwa kuwa umejengwa ktk msingi imara wa Neno la Mungu. Wanaokosa mweleke ni madhehebu ya dini. Mungu yupo hai na yeye ndiye aliyeasisi Kanisa. Na yote aliyosema ktk Neno lake lazima yatatimia. Wanadamu wakijikinai huinua wengine. Ulaya walijikinai baada ya mafanikio ya kiuchumi Mungu akawaacha akainua Marekani ili kueneza Neno lake. Kwakuwa Marekani nayo imejikinai na kuanza kukumbatia miungu mingine na ushoga Mungu amewaacha na anainua Afrika na nchi za Mashariki ya mbali. Lazima kusudi la Bwana litimie. Kila mmoja ajitafakari na asome Biblia na si kufuata mumbo.
 
Ukristo unaozungumzia wewe mkuu sio huu wa sasa,ni ule wa Kanisa la Kitabu cha Matendo ya Mitume,ambao haukuwa kwenye mfumo wa dini au madhehebu,wewe umepitwa na wakati.

Mfumo huo umeasisiwa na Dhehebu la Kikatoliki,ambalo kimsingi Shetani ndiye mtawala.Pole mkuu kwa kutojua mambo ya msingi kama hayo,mnatakiwa mtoke huko.

Ufunuo wa Yohana 18:4-5
4 Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake.
5 Kwa maana dhambi zake zimefika hata mbinguni, na Mungu amekumbuka maovu yake.

Ukisoma kwa makini kuanzia sura ya 13-18 ya Ufunuo wa Yohana utagundua wazi kwamba Mungu anatuasa tutoke kwenye mfumo wa Madhehebu ambao muasisi ni Upapa.
 
Karibu watu wengi wamegundua kuwa ukristu ni mchongo tu uliochongwa na wayahudi ili kuiteka dunia. Ni Mungu gani anaemuuwa mwanae mpenzi? Inaingia akilini kweli!! Watu walipokea tu bila kuhoji.
 
Shida ni dunia ya sasa watu hawaabudu tena kwa ujinga, watu wamesoma na wanahitaji facts ndio maana dini ya kiislamu inazidi kuenea kwa kasi duniani kote.

Wazungu wanalifahamu hilo ndio mana waislamu wanaitwa majina mabaya kama magaidi nk. ili kujenga chuki zaidi kwa watu wao kuikataa dini ya kiislam lakini hoja za msingi hakuna, Na ndio mipango kabambe inaendelea kufanywa dhidi ya waislam, waislam kuuliwa na kusambaratishwa kama Iraq, Afghanistan, Pakistan, palestine na sasa mpango ni Iran mtazamo wao ni kwamba watapunguza kasi ya kukua kwa dini ya kiislam. Lakini ni tofauti sana Uislamu upo tu na utaendelea.

Wengi walio katika ukiristo hawako kwa hoja za vitabuni bali wengi wao ni wakiristo kwa sababu tu ukoo wake ulitokea huko hivyo analinda heshima ya familia ya ukoo lakini hoja za wazi kwenye kitabu chao hakuna.
 
Hii maana yake majini yanataka kutawala dunia?
 
Maustaadhi mnajipa Moyo sana, ,majini hayawezi tawala dunia, Yesu atayamaliza
 
Kwa taarifa yako, mi black miyenzio ambayo elimu ni duni ndiyo ilikuwa ikipumbazwa na maandiko yenu ya kishetani. Kwa sasa ukiristo huko Marekani na Ulaya unaimarishwa na Waislamu walioyasitukia mafundisho yenu ya kishetani

View: https://youtu.be/eO8Saw26T5w?si=i67mLcybOrf1U2n_

View: https://www.youtube.com/live/wxRNRLlv2HQ?si=KB9XmB0vIVnoroj5
 
Sikia hizo statistics toka kwa Waislamu wenyewe. 24%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…