Ukristo ni dini ya kipagani, ni dini ya kuabudu jua

Ukristo ni dini ya kipagani, ni dini ya kuabudu jua

Nmeshaisoma hoja Yako na nimeandika ninachokifahamu wewe unasemaje kuhusiana na hilo??
Umeandika unachokifahamu kuhusu mada nyingine, stick kwenye mada tafadhali...Au hauna unalofahamu kuhusu mnavyoabudu jua?
 
Unasema hivyo kwa sababu una ushahidi au kwa sababu watu wengine wanasema hivyo? Kama Ukristo ni dini ya uongo isingechukua miaka zaidi 2000. Ingekuwa imeshakufa. Hakuna dini ya uongo inayowafundisha wanadamu kumrudia Mwenyezi Mungu, kutenda haki, kupendana (upendo wa kweli), kuwaonea huruma wanaoteseka, kusameheana na kuwasaidia wenye shida. Hakuna dini ya uongo ya aina hiyo. Kuna madhehebu ya uongo yanaibuka na huyasemi hayo: yanafundisha watu ufuska etc. Labda kama ukisema aina hii ya madhehebu hapo naweza kukubali.
Wewe hujaona ushahidi nilioweka hapo na tarehe nmekuwekea kabisa.
Mwanzilishi wa Ukristo Ni constantini aliyekuwa kuhani mkuu wa ibaada za jua
 
Mkuu kwa heshima na taa zima, nakuomba kwa weledi na utashi na lugha ya staha naomba unifafanulie kwa uzuri tu, kwanini waislamu wanaabudu Nyota na Mwezi ? Tafadhari sana,
Comment namba #63 nimejibu kama una swali lolote uliza , kwa kuongezea alama ya nyota na mwezi imeanza kutumika kama nembo ya uislamu katika zama hizi hakuna Maelezo yeyeto katika Qur'an ,Sunna wala wanazuoni waliopitisha.

Hata enzi ya Mtume Muhammad (upon him be peace and blessings of Allah) bendera za vita zilikuwepo lakini hakuwahi kuchora mwezi na nyota wala swahaba hata mmoja kufanya hivyo hili ni jambo lililojitokeza hivi karibuni na Muongozo wa Uislamu ni Qu'ran na Sunnah kama chochote hakijathibiti katika hivyo haitochukuliwa kama jambo la Uislamu moja kwa moja.

Na kuabudu maana yake kama kutumikia kwa kuomba shida zako ni kutegemea, sasa ni Muislamu yupi anaomba mwezi au nyota ? maombi yote ya Waislamu ni Ewe Allah (Mwenyezi Mungu) nijaalie kitu fulani na sio kinyume na hivyo.
 
Comment namba #63 nimejibu kama una swali lolote uliza , kwa kuongezea alama ya nyota na mwezi imeanza kutumika kama nembo ya uislamu katika zama hizi hakuna Maelezo yeyeto katika Qur'an ,Sunna wala wanazuoni waliopitisha.

Hata enzi ya Mtume Muhammad (upon him be peace and blessings of Allah) bendera za vita zilikuwepo lakini hakuwahi kuchora mwezi na nyota wala swahaba hata mmoja kufanya hivyo hili ni jambo lililojitokeza hivi karibuni na Muongozo wa Uislamu ni Qu'ran na Sunnah kama chochote hakijathibiti katika hivyo haitochukuliwa kama jambo la Uislamu moja kwa moja.

Na kuabudu maana yake kama kutumikia kwa kuomba shida zako ni kutegemea, sasa ni Muislamu yupi anaomba mwezi au nyota ? maombi yote ya Waislamu ni Ewe Allah (Mwenyezi Mungu) nijaalie kitu fulani na sio kinyume na hivyo.
Kuusubiri uonekane/uandame ili uache kushinda njaa siyo kuuabudu?
 
Mfungo umeisha, tutawaona wengi sana humu na nyuzi za kuponda ukristo, tuwazoee tu mwezi wao wa kutenda matendo mema umesiha sasa wanarudi kwenye uhalisia wao
Naona mtoa mada kuna mahala anapoint japo heading yake imekuwa sio kizalendo....
 
na wewe unayeabudu mwezi nani bora? mnamwabudu Mungu asiyefanya kazi, asiye na nguvu, anayetetewa na wanadamu. a hopeess god.
Mbona upo insecure ? jibu kwa hoja kama hauwezi pita mbali au achana nao mjadala huu ,kuliko kujaribu kushambulia mtu kwa dhana bila ushahidi .

Huyu sio vile unavyomdhania focus kwenye mada .
IMG_20230422_083820.jpg
 
Kuusubiri uonekane/uandame ili uache kushinda njaa siyo kuuabudu?
Poor reasoning ,kusubiri saa au kutenga alarm saa ngapi niamke hapo ni kuabudu nako .Hivi unajua zamani waliokuwa wanatumia nini kujua majira na kuongoza safari za majini ? mwezi na kama nyezo ya kujua muda kama umefika ndio maana hata usipoonekana tunatimiza thelathini kukamilisha hesabu.
 
Nashangaa uongozi kuacha kufuta nyuz za namna hii na kuwafungia hawa watu kabsa[emoji849][emoji849]
 
Mmeshindwa kutikiza Imani Yao ss mnakuja na fake news kuhusu ukristo , ww mbona usiabudu chako uwachane nao ,kila nafsi inajua iendako ,unaeleza kuhusu Ibada ,ww ni mtakatifu , religious intolerance ni cancer mbaya kwa society let them be ,kila mja ashike yake ,wanaadamu tuna unafki mwingi Sana
Huyu ndugu yenu kaamua kuwa mpagani ,tafadhali jikite kwenye mada aliyoyasema yanaweza kuwa kweli ukisoma historia mabishop na watawala wa Roma walivyokutana Nicaea kupanga mambo mbalimbali na ajenda nyingi ziliamukiwa hapo .
IMG_20230422_083807.jpg
 
Asalam aleykum...twende kwenye mada

Kusali jumapili
Amri ya Nne inasema kwamba siku ya kuabudu ni ya 7 ni Sabato.
Wakatoliki wanaita hii amri ya Tatu kwa sababu waliifuta Amri ya Pili inayokataza mtu kuabudu sanamu. Ambayo bila shaka Wakatoliki wengi hufanya.


Wakati wa Masihi Yehowshuwa, (jina la kweli la Masihi) siku ya kuabudu ilikuwa siku ya 7. Mwanzoni wafuasi wa kweli wa Yehova na mwanawe Yehoshuwa, walikuwa wakishika Sabato ya siku ya 7.

Lakini walipouawa na kufa, na muda ukapita, 'siku ya kupumzika' ilibadilishwa kuwa Jumapili. Siku ambayo Wapagani wa Kirumi walikuwa wakiabudu Jua. 'Sol Invictus,' (jua lisiloweza kushindwa.)

Konstantino (mtawala wa dola ya Rumi aliyekuwa wa kwanza kuingiza ukristo kwenye dola ya rumi) alisemekana kuwa kuhani mkuu wa Sol Invictus, ambayo ilibebwa kutoka Babeli, ambayo ilibebwa kutoka Misri.

Mnamo 321 BK Constantine, alitunga sheria ya Jumapili, ikisisitiza kwamba 'Siku ya Jua'/Sunday inapaswa kuwa siku ya mapumziko. Hii iliwaleta waabudu jua wote Kanisani, pamoja na pesa zao. Na Kanisa Katoliki liliendelea na maadhimisho haya. Kanisa Katoliki ni mama wa Makanisa yote ya Kikristo. Hii ndiyo sababu makanisa mengi ya Kiprotestanti pia hutunza Jumapili. Kwa sababu wanatoka 'kanisa mama'

Utatu mtakatifu
Moja ya mahitaji katika ibada ya jua ni hitaji la kuwa na miungu watatu, baba, mama na mtoto.
Utatu wa Nimrodi, Tamuzi na Semiramis ulikuwa ni utatu mtakatifu wa zamani zaidi. Na biblia inasema kwamba Wayahudi wa awali walikuwa wakiabudu Tamuzi.




Tamaduni hii bado iko hai hadi leo katika Makanisa ya Kikristo, kuanzia na Kanisa Katoliki. Wameendeleza namna hii ya kuabudu jua.
Konstantino ndiye mfalme aliyeuingiza Utatu mwaka 325 BK.
Watu wote ambao hawakukubali, walitawanyika au kuuawa.

Konstantino mwenyewe alikuwa kuhani mkuu wa ibada ya jua, Sol Invictus. Aliendeleza dini hii na kuiita Ukristo. Kanisa Katoliki hutumia ishara hizi, ishara na mila zinazotokana na ibada ya jua. Kwa mfano, IHS, ambayo watu wengi wanaamini inasimama kwa monogram ya Yesu, au Iesous ya Kigiriki pia inasemekana kumaanisha utatu wa Isis, Horus, na Seth (Utatu wa Misri).
View attachment 2595421

Alama nyingi za waroma utakuta lazima kuna jua linaonekana. Hata picha zao za yesu na bikra maria kwa nyuma kuna jua linaonekanaView attachment 2595425

Kwa hiyo kwa kuzingatia mapokeo ya kuabudu jua, wamebadilisha sabato ya kweli, siku ya 7, kuwa Jumapili ya siku ya 1, siku ya jua./sunday

Msalaba
Alama maarufu inayotumika katika Ukristo, ni Msalaba.
Watu wengi hawajui kwamba neno cross na neno crucify si vya kibiblia kweli, bali asili ya Kilatini.
Kiebrania original kinasema nguzo,
Neno sahihi ni neno la Kigiriki Stauros linalomaanisha nguzo au mti.
Kanisa Katoliki lilipomwagiza Jerome kutafsiri Biblia katika Kilatini, kwa hila kabisa walitafsiri vibaya neno Stauros hadi Crucem, ambalo KJV ilitafsiri kuwa Cross katika Toleo la Kiingereza. (Ingawa toleo la King James ilipaswa kutafsiriwa kutoka kwa maandishi ya Kigiriki ya Agano Jipya,)

walichukua
Alama ya Kilatini ya Kuabudu Jua 'Msalaba'. Ambayo Konstantino alikuwa kuhani mkuu wake, na akaipitisha kutumika na Kanisa Katoliki.

Kwa hiyo Masihi aliuawa juu ya mti, au nguzo, na si Msalaba. Na waliposema msulubishe, neno la awali la maandishi ya Kigiriki ni Stauroo, ambalo linamaanisha kutundikwa. Kwa hiyo walisema mtundike mtini. Masia Walimtundika kwenye mti.

Hivyo kwa nini matumizi ya Msalaba? inaweza kuwa kwamba hii ni alama! (Alama ya mnyama?)

Mpaka leo dini mbalimbali za kishetani ikiwemo freemasons na zakichawi hutumia alama ya msalaba.
View attachment 2595442

Papa ndiye kuhani mkuu wa ibada ya jua, Na Wakatoliki wengi hufanya ishara ya msalaba juu yao wenyewe, na kuhani hufanya ishara hii kwenye vipaji vya nyuso zaoView attachment 2595443
Kwenye Jumatano ya Majivu, makanisa mengi hufanya ibada ambayo kila mtu ana alama kwenye paji la uso na ishara ya msalaba kwenye majivu. Ninaelekea kuamini kwamba hii ndiyo alama ya mnyama inayotajwa katika Ufunuo 17:13.

SDA (Waadventista Wasabato) wanasema alama ya mnyama ni Jumapili, wakisema kwamba Kanisa Katoliki linadai kuwa kubadilisha sabato kuwa Jumapili ni alama yao ya mamlaka, kuonyesha kwamba wana uwezo wa kubadili sheria na kanuni.
Nina mwelekeo wa kufikiri kwamba 'alama ya mnyama' ni msalaba, na ndiyo sababu wanaitumia. Wamebadilisha jina la Masihi hadi kuitwa Kristo kwa sababu kigiriki inaandikwa Χριστός ikiwa na alama ya msalaba (X) ukiwa upande.

Kitu cha muhimu kuelewa ni kwamba, makanisa yote ya Kikristo yanaabudu Mungu wa uwongo kwa sababu yanamwabudu Yesu Kristo. Yesu Kristo ni jina lisilo sahihi. Jina la kweli ni Yehowshuwa na alikuwa Masihi, si Kristo.
Umeandika conspiracy theories kwa kujiamini kabisa yani. Wakristu walikuwa wanaabudu siku ya jumapili kabla ata ya huyo Constantine. Costantine hakiwahi kuwa sehemu ya maamuzi ya kanisa ata kidogo. Huu upotoshaji ni ujinga. Wakatoliki kimsingi ambao ndio wakristo wa mwanzo hawaabudu sanamu.

Ogopa sana ujinga. Mungu hakukataza sanamu, ndio maana alimuamuru ata Musa akatengeneze sanamu ya nyoka, suleiman pia. Issue ni kuipa sanamu uhai. Kitu ambacho hakuna mkatoliki anafanya. Kama hujui utulie.

Alafu unadiriki kusema eti kuna amri wakatoliki wamefuta, ya pili eti, wewe ni juha mkuu. Amri zinafundishwa zote na kufafanuliwa ipasavyo. Nyie wa nje ndio kazi kubwabwaja tu.
 
Asalam aleykum...twende kwenye mada

Kusali jumapili
Amri ya Nne inasema kwamba siku ya kuabudu ni ya 7 ni Sabato.
Wakatoliki wanaita hii amri ya Tatu kwa sababu waliifuta Amri ya Pili inayokataza mtu kuabudu sanamu. Ambayo bila shaka Wakatoliki wengi hufanya.


Wakati wa Masihi Yehowshuwa, (jina la kweli la Masihi) siku ya kuabudu ilikuwa siku ya 7. Mwanzoni wafuasi wa kweli wa Yehova na mwanawe Yehoshuwa, walikuwa wakishika Sabato ya siku ya 7.

Lakini walipouawa na kufa, na muda ukapita, 'siku ya kupumzika' ilibadilishwa kuwa Jumapili. Siku ambayo Wapagani wa Kirumi walikuwa wakiabudu Jua. 'Sol Invictus,' (jua lisiloweza kushindwa.)

Konstantino (mtawala wa dola ya Rumi aliyekuwa wa kwanza kuingiza ukristo kwenye dola ya rumi) alisemekana kuwa kuhani mkuu wa Sol Invictus, ambayo ilibebwa kutoka Babeli, ambayo ilibebwa kutoka Misri.

Mnamo 321 BK Constantine, alitunga sheria ya Jumapili, ikisisitiza kwamba 'Siku ya Jua'/Sunday inapaswa kuwa siku ya mapumziko. Hii iliwaleta waabudu jua wote Kanisani, pamoja na pesa zao. Na Kanisa Katoliki liliendelea na maadhimisho haya. Kanisa Katoliki ni mama wa Makanisa yote ya Kikristo. Hii ndiyo sababu makanisa mengi ya Kiprotestanti pia hutunza Jumapili. Kwa sababu wanatoka 'kanisa mama'

Utatu mtakatifu
Moja ya mahitaji katika ibada ya jua ni hitaji la kuwa na miungu watatu, baba, mama na mtoto.
Utatu wa Nimrodi, Tamuzi na Semiramis ulikuwa ni utatu mtakatifu wa zamani zaidi. Na biblia inasema kwamba Wayahudi wa awali walikuwa wakiabudu Tamuzi.




Tamaduni hii bado iko hai hadi leo katika Makanisa ya Kikristo, kuanzia na Kanisa Katoliki. Wameendeleza namna hii ya kuabudu jua.
Konstantino ndiye mfalme aliyeuingiza Utatu mwaka 325 BK.
Watu wote ambao hawakukubali, walitawanyika au kuuawa.

Konstantino mwenyewe alikuwa kuhani mkuu wa ibada ya jua, Sol Invictus. Aliendeleza dini hii na kuiita Ukristo. Kanisa Katoliki hutumia ishara hizi, ishara na mila zinazotokana na ibada ya jua. Kwa mfano, IHS, ambayo watu wengi wanaamini inasimama kwa monogram ya Yesu, au Iesous ya Kigiriki pia inasemekana kumaanisha utatu wa Isis, Horus, na Seth (Utatu wa Misri).
View attachment 2595421

Alama nyingi za waroma utakuta lazima kuna jua linaonekana. Hata picha zao za yesu na bikra maria kwa nyuma kuna jua linaonekanaView attachment 2595425

Kwa hiyo kwa kuzingatia mapokeo ya kuabudu jua, wamebadilisha sabato ya kweli, siku ya 7, kuwa Jumapili ya siku ya 1, siku ya jua./sunday

Msalaba
Alama maarufu inayotumika katika Ukristo, ni Msalaba.
Watu wengi hawajui kwamba neno cross na neno crucify si vya kibiblia kweli, bali asili ya Kilatini.
Kiebrania original kinasema nguzo,
Neno sahihi ni neno la Kigiriki Stauros linalomaanisha nguzo au mti.
Kanisa Katoliki lilipomwagiza Jerome kutafsiri Biblia katika Kilatini, kwa hila kabisa walitafsiri vibaya neno Stauros hadi Crucem, ambalo KJV ilitafsiri kuwa Cross katika Toleo la Kiingereza. (Ingawa toleo la King James ilipaswa kutafsiriwa kutoka kwa maandishi ya Kigiriki ya Agano Jipya,)

walichukua
Alama ya Kilatini ya Kuabudu Jua 'Msalaba'. Ambayo Konstantino alikuwa kuhani mkuu wake, na akaipitisha kutumika na Kanisa Katoliki.

Kwa hiyo Masihi aliuawa juu ya mti, au nguzo, na si Msalaba. Na waliposema msulubishe, neno la awali la maandishi ya Kigiriki ni Stauroo, ambalo linamaanisha kutundikwa. Kwa hiyo walisema mtundike mtini. Masia Walimtundika kwenye mti.

Hivyo kwa nini matumizi ya Msalaba? inaweza kuwa kwamba hii ni alama! (Alama ya mnyama?)

Mpaka leo dini mbalimbali za kishetani ikiwemo freemasons na zakichawi hutumia alama ya msalaba.
View attachment 2595442

Papa ndiye kuhani mkuu wa ibada ya jua, Na Wakatoliki wengi hufanya ishara ya msalaba juu yao wenyewe, na kuhani hufanya ishara hii kwenye vipaji vya nyuso zaoView attachment 2595443
Kwenye Jumatano ya Majivu, makanisa mengi hufanya ibada ambayo kila mtu ana alama kwenye paji la uso na ishara ya msalaba kwenye majivu. Ninaelekea kuamini kwamba hii ndiyo alama ya mnyama inayotajwa katika Ufunuo 17:13.

SDA (Waadventista Wasabato) wanasema alama ya mnyama ni Jumapili, wakisema kwamba Kanisa Katoliki linadai kuwa kubadilisha sabato kuwa Jumapili ni alama yao ya mamlaka, kuonyesha kwamba wana uwezo wa kubadili sheria na kanuni.
Nina mwelekeo wa kufikiri kwamba 'alama ya mnyama' ni msalaba, na ndiyo sababu wanaitumia. Wamebadilisha jina la Masihi hadi kuitwa Kristo kwa sababu kigiriki inaandikwa Χριστός ikiwa na alama ya msalaba (X) ukiwa upande.

Kitu cha muhimu kuelewa ni kwamba, makanisa yote ya Kikristo yanaabudu Mungu wa uwongo kwa sababu yanamwabudu Yesu Kristo. Yesu Kristo ni jina lisilo sahihi. Jina la kweli ni Yehowshuwa na alikuwa Masihi, si Kristo.
Unazo hoja. Hoja hujibiwa kwa hoja. Subiri wafia dini waje kupangua hoja.

Swali kwako. Owner wa bibilia ni nani? Nani alikuwa na mamlaka ya kuweka na kutoa baadhi ya vitabu kama tunavyosikia kuwa kuna baadhi ya vitabu vimeondolewa kwenye bibilia? Ref. Injili ya Enoch na Barnaba.
 
Alafu wenyewe wanaenda mecca kupiga vimawe sanamu za waquraysh wanasema ni shetani. Vituko.
 
Ndio yule yule ni sawa iseme Mudi na Mohammed hawana utofauti wowote, wewe mtume unaemjua ni Mudi au Mohammed ?
Jibu mada ni upungufu wa akili mtu kujadili nje ya mada tena kwa kumdhania mtu ,mijadala kama umekosa cha kujibu au ukiona wa kipuuzi wenye akili huwa wana ignore maana kwenda nje ya mada siku zote hawafanyi isipokuwa wasiojielewa.

Mleta mada hausiani na uislamu na yeye ni kinara wa kushambulia Uislamu hivyo si vyema kumuhusisha na uislamu huyo ni mtu wenu aliyeamua kuwa mpagani.
IMG_20230422_083807.jpg
 
Mimi navyofahamu Uislamu ni wanaabudu shetani moja kwa moja hakuna kupindisha maneno.

Ndio maana hata huko kila mtu na jini lake la kumlinda.
Kwenda nje ya mada ni dalili ya upungufu wa akili hawafanyi isipokuwa wasiojielewa, mleta nada ni mwenzenu aliyeamua kuwa mpagani.
 
Back
Top Bottom