Ukristo unapaswa utunge sheria ya mirathi ya kikristo kuondoa migogoro kama uislam ulivyo na sheria yao

Ukristo unapaswa utunge sheria ya mirathi ya kikristo kuondoa migogoro kama uislam ulivyo na sheria yao

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Naona ni wakati sasa wakristo tuamke na kuomba dini yetu itunge sheria yake ya mirathi. Tuache kutegemea sheria ya kiserikali kuamua mirathi ya kila mkristo.

Tazama matajiri wa kiislam wakifariki mifarakano hakuna.

Sababu ni Mara nyingi misiba ya waislamu huwa wanatumia sheria za mirathi za kiislamu katika kugawa mali.. Sasa shida ni kwamba hakuna sheria za mirathi za wakristo.. wakristo tunatumia sheria za mirathi za kiserikali ambazo zinakaribisha magomvi mengi..

Kafa baba wa gsm kimyaa.. kafa sumry kimyaa.. kafa patel kimyaa.. kafa zakaria kimyaaa.. kafa ali mafuruki kimyaaa husikii familia zikigombea mali.

Ila sisi wakristo kafa mengii mgogoro, kafa lwakatare mgogoro, kafa bilionea msuya mgogoro mpaka wanachinjaaana mtu na wifi yake... yaani balaa tupu
 
We hujui kuwa Sheria ya Miradhi imetokana na Sheria za kanisa Catholic ndiyo maana inafanana karibia nchi zote kasoro Kwa Waarabu?
 
Sasa mbona unajikanyaga mwenywe hapo juu unesema Sheria za kiislamu Zina migogoro then unakuja kutoa mfano kwenye msiba ya kiislamu isiyokuwa na migogoro kulinganisha na ya kwenu....

Shida ya haipo kwenye Sheria za mirathi mara zote migogoro ya mirathi inatokana na wanafamilia wenyewe kutokuzingatia Sheria za mirathi wakati wa kugawana Mali .
Acha kulaumu dini

Nimejichanganya wapi? Ama umesoma haraka haraka
 
Naona ni wakati sasa wakristo tuamke na kuomba dini yetu itunge sheria yake ya mirathi. Tuache kutegemea sheria ya kiserikali kuamua mirathi ya kila mkristo.

Tazama matajiri wa kiislam wakifariki mifarakano hakuna.

Sababu ni Mara nyingi misiba ya waislamu huwa wanatumia sheria za mirathi za kiislamu katika kugawa mali.. Sasa shida ni kwamba hakuna sheria za mirathi za wakristo.. wakristo tunatumia sheria za mirathi za kiserikali ambazo zinakaribisha magomvi mengi..

Kafa baba wa gsm kimyaa.. kafa sumry kimyaa.. kafa patel kimyaa.. kafa zakaria kimyaaa.. kafa ali mafuruki kimyaaa husikii familia zikigombea mali.

Ila sisi wakristo kafa mengii mgogoro, kafa lwakatare mgogoro, kafa bilionea msuya mgogoro mpaka wanachinjaaana mtu na wifi yake... yaani balaa tupu
Umesema kweli kabsa!! Lakin wataokupinga wengi ni wakristo wenzio
 
Naona ni wakati sasa wakristo tuamke na kuomba dini yetu itunge sheria yake ya mirathi. Tuache kutegemea sheria ya kiserikali kuamua mirathi ya kila mkristo.

Tazama matajiri wa kiislam wakifariki mifarakano hakuna.

Sababu ni Mara nyingi misiba ya waislamu huwa wanatumia sheria za mirathi za kiislamu katika kugawa mali.. Sasa shida ni kwamba hakuna sheria za mirathi za wakristo.. wakristo tunatumia sheria za mirathi za kiserikali ambazo zinakaribisha magomvi mengi..

Kafa baba wa gsm kimyaa.. kafa sumry kimyaa.. kafa patel kimyaa.. kafa zakaria kimyaaa.. kafa ali mafuruki kimyaaa husikii familia zikigombea mali.

Ila sisi wakristo kafa mengii mgogoro, kafa lwakatare mgogoro, kafa bilionea msuya mgogoro mpaka wanachinjaaana mtu na wifi yake... yaani balaa tupu
Umesema kweli kabsa!! Lakin wataokupinga wengi ni wakristo wenzio
 
Back
Top Bottom