Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Kabla ya kukamatwa alikuwa akimfanya nini kijana mdogo wa kiume akiwa uchi kwenye vichaka vya bustani ya Gesthemane saa kumi alfajiri?
 
Kabla ya kukamatwa alikuwa akimfanya nini kijana mdogo wa kiume akiwa uchi kwenye vichaka vya bustani ya Gesthemane saa kumi alfajiri?
Soma habari nzima ndiyo utaelewa usinnukuu vipande, ndugu yangu. Wakati Yesu anakamatwa wanafunzi wake walikimbia, kumbuka Yesu alikesha na wanafunzi wake kule bustani ya Getsemani hadi hiyo alfajiri, huyo kijana alikotokea hatujui ila naye alipokamatwa akawaachia nguo yake akakimbia. Kwani umesoma wapi imeandikwa kuwa alifikishwa kwa Makuhani kwa kosa la kulawiti?
 
Sasa tumia akili vizuri, ikiwa wakati Yesu anakamatwa wanafunzi walikimbia, na hawa tunaambiwa ndio waandishi wa injili , Jee hizo habari Za baada kukamatwa zimetoka wapi ?
 
Kwa masimulizi ya kale ni kitu cha kawaida kwa waarabu na wayahudi hata sisi wamatumbi, kuoza mabinti wadogo , wewe unatumia kipimo cha sasa kupima ukale πŸ˜‚
Mmeacha kujadili mada mezani, mmekuja na mada yenu nyingine!
 
Sasa tumia akili vizuri, ikiwa wakati Yesu anakamatwa wanafunzi walikimbia, na hawa tunaambiwa ndio waandishi wa injili , Jee hizo habari Za baada kukamatwa zimetoka wapi ?
Kama tunazungumza hoja tuache kejeli na kashfa. Kuna wengine wanajifunza kwa haya tunayojadili. Ndiyo maana nilikuambia soma toka mwanzo wa tukio ili ujue kwanini ilitokea vile. Pili, waandishi wa matukio sio Peter au Mathayo tu ambao walikuwa wafuasi wa Yesu. Usione ajabu kuwa hata huyo kijana baadaye alikuja kutoa maelezo ya nini kilitokea, kumbuka kuwa wafuasi wa Yesu siyo wale Mitume tu, wako watu wengine waliomfuata Yesu kila alipoenda mfano ni wale wanawake ambao hata alipokufa pale msalabani walikuwapo. Lakini pia ukumbuke baadhi ya hao Makuhani na Waandishi (walimu wa maandiko) baada ya Yesu kufa hao hao baadaye walikiri kweli Yesu alikuwa Mwana wa Mungu. Miongoni mwao Yusufu wa Arimathea aliyeenda kwa Pilato kuomba mwili wa Yesu ili auzike. Na maandiko ya Warumi (kiserikali) yameandika hivyo!
 

Hakuna ushahidi wowote wa kuthibitisha Nani aliyetowa taarifa Za nini kilitokea baada Yesu kukamatwa . Hayo unayosema ni dhana na mbele ya mahakama Ε„i Kama hadithi Za Bibi kwa wajukuu wake. Kwanza waandishi wote wa injili hawajulikani. Ni anonymous, hayo ni majina ya kubuni. Maneno hayo yameandikwa na Hao waliokutafsiria biblia. Ukitaka ushahidi nitakuwekea.
 
Kwa hiyo unatakakusema hata Qur'an ni dhana tu, kwa sababu Muhammad hakuwa na mtu mwingine yeyote wakati anashushiwa aya za Qur'an, na hao walioandika waliishi baada ya miaka 200 baada ya kufa Muhammad. Waliandika mambo ya nyuma wakati wao hawakuwapo!
 
Ukiielewa Quran ukweli wa kuielewa kama ni kafiri kama wewe lazima uwe muislam na ibada zote unazoziweza zifanye tena kwa usahihi
98% bidhaa na mifumo ya maisha yapo kikakifiri. Ukifuata uislamu yaani uwe muislamu basi utaishi kama mtu wa miaka 1300 huko maana utatumia kanzu, maji ya zamzam, mkojo wa ngamia, tende, kisima cha kujitawazia na msikiti tena wa miti maana hata tiles au cement wametengeneza makafiri.
  • Mfumo wa utawala ni kikafiri
  • Elimu. Ili uonekane una elimu lazima usome elimu ya kikafiri
  • Technology
Kuna siku shekh yupo kwenye Rav4 anaendesha anaenda msikitini huku anawaambia watu njiani, nyie makafiri unaona Allah alivyonibarikiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Hiyo Rav4 imetengenezwa na makafiri.
Hapo ulipo umeweka Qwasida kwenye sabufa huku umeunganisha kwenye TV. Unaona makafiri hawana akiliπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sabufa wametengeneza makafiri, flash drive, TV, umeme yote ni makafiri.
Simu imetengenezwa na makafiri, upo kwenye social media iliyotengenezwa na makafiri hata coding zimetumika na makafiri.
Nilichogundua kuwa UISLAMU maana yake ni UJINGA. Unapanda ndege iliyotengenezwa na makafiri unaenda Macca kuhiji unaowaona makafiri hawana akiliπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Wewe Mkuria una ukoo wowote na bi-Aisha inakuuma nini kama Baba ake Abubakar (RA) aliridhia.
Unapanda ndege iliyotengenezwa na makafiri unaenda Macca kumponda jiwe shetani halafu unaona dini ya Uislamu ya maana sana na wengine ni makafiriπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.
Tupa hiyo simu imetengenezwa na makafiri maana ni haramu kutumia bidhaa, vitu au mifumo ya makafiri. Alisikika mlevi mmoja hiviπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Muislamu mmoja akadakia, unafikiri sina akili? Makafiri tunawategemea kwa 98% bila wao maisha yetu yangekuwa ya miaka ya 1300πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.
 

Jibu hili swali Nani aliyetoa taarifa kwa walioandika injili baada ya Yesu kukamatwa Tumalize biblia baadaye tuingie Quran
Hakuna ushahidi wowote wa kuthibitisha Nani aliyetowa taarifa Za nini kilitokea baada Yesu kukamatwa . Hayo unayosema ni dhana na mbele ya mahakama Ε„i Kama hadithi Za Bibi kwa wajukuu wake. Kwanza waandishi wote wa injili hawajulikani. Ni anonymous, hayo ni majina ya kubuni. Maneno hayo yameandikwa na Hao waliokutafsiria biblia. Ukitaka ushahidi nitakuwekea.
 
Nimekuambia Yesu alikuwa hatembei peke yake na hata hao waliomkamata wengine baadaye walikuwa wafuasi wake wakihubiri uwezo na maajabu aliyokuwa akifanya. Mbona hutaki kuelewa? Maandiko ya Biblia yameanza kuandikwa na wafuasi wake mapema tu watu waliokuwa wakifuatana na Yesu au wale waliokutana naye tena wengine wasomi Watoza Ushuru, Walimu wa Maandiko (Torati), Makuhani, n.k. Tofauti na Qur'an yako! Huelewi tu?
 

Hayo maelezo yako yote hayasaidii kukutoa kwenye ushirikina wa Kuabudu kiumbe badala ya Mungu aliyetuumba , Allah
 

Unasema Yesu alikuwa hatembei peke yake kwani Hao aliotembea nao walikuwepo alipokamatwa? Si ndio Wale wanafunzi wake waliomkimbia ? Mbona unajifanya huelewi swali ?
Lete Aya kuwa Hao aliotembea nao walikuwepo na walitoa maelezo ya baada ya kukamatwa.
 
Hutaelewa maandiko yanasema na kumaanisha nini kama hutasoma tukio zima. Hiyo habari haikuanzia hapo na wala haikuishia hapo. Nimekusoma, wewe ni wale wanaobisha bila kujua anabisha kitu gani. Unanipotezea muda bure!!!
 
Hutaelewa maandiko yanasema na kumaanisha nini kama hutasoma tukio zima. Hiyo habari haikuanzia hapo na wala haikuishia hapo. Nimekusoma, wewe ni wale wanaobisha bila kujua anabisha kitu gani. Unanipotezea muda bure!!!

Nakuwekea ushahidi wa kilichoandikwa ndani ya biblia kuhusu hao waandishi wa biblia

Tuanzie na Yohana

The Gospel of John:


Here is what the Bible's theologians and historians said about this gospel:


"Many scholars of the past two centuries have denied that John wrote this book, partly because of their belief that the author fabricated many details such as the miracles and the discourses of Jesus. (The Holman Illustrated Study Bible, ISBN: 978-1-58640-275-4, Gospel of John, Page1540)"


"Critical Analysis makes it difficult to accept the idea that the gospel as it now stands was written by one person. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"Within the gospel itself there are also some inconsistencies. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"To solve these problems, scholars have proposed various rearrangements that would produce a smoother order. However, most have come to the conclusion that the inconsistencies were probably produced by subsequent editing in which homogeneous materials were added to a shorter original. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"Other difficulties for any theory of eyewitness authorship of the gospel in its present form are presented by its highly developed theology and by certain elements of its literary style. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"The gospel contains many details about Jesus not found in the synoptic gospels. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"The final editing of the gospel and arrangement in its present form probably dates from between A.D. 90 and 100. Traditionally, Ephesus has been favored as the place of composition, though many support a location in Syria, perhaps the city of Antioch, while some have suggested other places, including Alexandria. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"
 
Hayo maelezo yako yote hayasaidii kukutoa kwenye ushirikina wa Kuabudu kiumbe badala ya Mungu aliyetuumba , Allah
Allah amewasaidia nini zaidi ya kanzu, usafiri wa kutumia ngamia, maji ya zamzam, mkojo wa ngamia, tende, kisima cha kujitawazia, Quran na msikiti?
Japan na China ni nchi zenye uwezo mkubwa wa technolojia kuliko nchi za kiislamu zote
Bora anayeabudu mtu kuliko kuabudu Allah usiyemjua. Allah ni miungu ya kiaarabu ndiyo maana bila lugha ya kiarabu hutuboiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 

Ndio hayo maelezo yako yamekutoa katika kumshirikisha mungu kwa kuabudu kiumbe kama wewe ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…