Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Kama hutanielewa hapa huwezi nielewa tena pia mfalme wa saudia hawezi pitisha qur an kutumika dunia nzima na uongo na hakuna jambo kama hilo sababu ukienda west afrika ukiwapa hii qur an tunayoisoma kule east afrika hata kama kahifadhi juzuu zote 30 anaweza asiisome sio kwasababu ni qur an tofauti hapana ni qur an moja ila maandishi tofauti kutokana na lahaja za sehemu husika na hii ipo pande zote za dunia ila sasa licha ya usomaji kuwa tofauti sura yeyote itayo tafsiriwa kwenye hizo nchi ikiletwa kwa kiswahili ama maana unayo ielewa ndio utaelewa kama ni qur an moja ila qiraa ama aina ya usomaji na mpaka uandishi ndio tofauti ila maana itakuja Ile Ile nakupa tena angalizo achana na zile qur an watu walochomeka vimaneno maneno zikagunduliwa nazungumzia official Quran ya nchi fulani
What Do We Know about the 1924 Royal Cairo Edition of the Quran ? Surprisingly, today’s Muslims believe that this copy is identical to Uthman’s Quran from the seventh century.
Many manuscripts of the Quran written throughout Muslim history, when compared to one another, reveal ample differences, scribal errors, and obvious variants. Simply stated, what many call the unchanged, inerrant copy of the Quran is actually a twentieth century project. Not surprisingly, the editorial board responsible for the 1924 project stated in the final copy that the project was a result of significant concerns among Muslims regarding “errors” in copies previously used in Egypt’s local schools. Nonetheless, most Muslims do not recognize this history and consider the 1924 Royal Cairo Edition of the Quran textus receptus (received text) that existed throughout Islamic history since Uthman. This copy has become the official Quran.
The 1924 Cairo Quran is Islam’s scripture; this is the reality. However, critical thinkers must remember how this text reached us. It is hardly a reconstruction of what Muhammad proclaimed. The 1924 Quran is a purpose-designed and manipulated text built on one selected reading that ignored many other legitimate texts that existed throughout Islamic history. We cannot be confident in today’s Quran as a true representation of the text that initially appeared in a seventh-century Arabian desert.
 
Kama hutanielewa hapa huwezi nielewa tena pia mfalme wa saudia hawezi pitisha qur an kutumika dunia nzima na uongo na hakuna jambo kama hilo sababu ukienda west afrika ukiwapa hii qur an tunayoisoma kule east afrika hata kama kahifadhi juzuu zote 30 anaweza asiisome sio kwasababu ni qur an tofauti hapana ni qur an moja ila maandishi tofauti kutokana na lahaja za sehemu husika na hii ipo pande zote za dunia ila sasa licha ya usomaji kuwa tofauti sura yeyote itayo tafsiriwa kwenye hizo nchi ikiletwa kwa kiswahili ama maana unayo ielewa ndio utaelewa kama ni qur an moja ila qiraa ama aina ya usomaji na mpaka uandishi ndio tofauti ila maana itakuja Ile Ile nakupa tena angalizo achana na zile qur an watu walochomeka vimaneno maneno zikagunduliwa nazungumzia official Quran ya nchi fulani
Kama qur'an ni moja ila tofauti ni maandishi, je ni maandishi yapi yaliyohifadhiwa huko kwa Allah kwenye Ubao?
 
Unaongea nini wewe?

Yaani tatizo una kaunafiki fulani, unajifanya kutafuta Suluhu na kusawazisha mambo ilhali unaegemea kwenye mapenzi na uislamu wako

Hivi wakristu hii nchi tumedhulumiwa mara ngapi na waislamu na mamlaka zinakaa kimya tu?

Tusiende mbali Zanzibar tu hapo kila mwaka Wanadhalilisha wakristu na kuwatesa kipindi cha ramadhani je unakemeaga huo upande wa waislamu?
Halafu unakaa hapa unabwabwaja unasema wakristu tumeamua kuuhujumu uislamu, una akili vizuri wewe?
Hujiielewi hata kidogo
lkn Zanzibar si wanasheria zao sheria upingwa umu JF sio Mahakamani? mambo ya Zanzibar unakuja kulialia umu pole jomba!! Sisi Tuangaikie kwetu uku bala. Tuishi kwa aman tupige kazi tuwe watu wamoja. Dini zibaki nyumba za Ibada majumbani ivyo mkuu.
 
Kampeni ya Kiislamu ya mitandao ya kijamii inayojulikana kama #SaveMaryam inakuza ufahamu wa kuenea kwa Ukristo kote Indonesia - na inatumia takwimu na taarifa zenye utata kufanya hivyo. Meneja wa kampeni hiyo alisema kuwa Waislamu milioni 2 wanabadili dini na kuwa Wakristo kila mwaka nchini humo. Aliongeza kuwa Indonesia itakoma kuwa taifa lenye Waislamu wengi ifikapo 2035.

Wakosoaji na watoa maoni wameshutumu timu ya kampeni hiyo kwa kutisha, kuleta mvutano wa kidini usio wa lazima, na kutoa taarifa zisizo sahihi ili kukusanya fedha zaidi kwa ajili ya shughuli zao. Indonesia inajivunia idadi kubwa zaidi ya Waislamu duniani, ikiwa na Waislamu zaidi ya milioni 212.

Takwimu rasmi zinakadiria kuwa karibu 11% ya idadi ya watu ni Wakristo. Hata hivyo, viongozi kadhaa wa makanisa ya Indonesia wanaamini kuwa hii ni dharau kubwa, ikiweka idadi halisi ya Wakristo kati ya 20% na 30% ya idadi ya watu.

Vyovyote takwimu sahihi, kilicho wazi ni ugumu wa kupindukia Wakristo wa Indonesia wanakabiliana nao, hasa wale wanaobadili Uislamu na kuwa Wakristo. Familia za Kiislamu mara nyingi huwakana watoto wao ambao wanakuwa Wakristo.

Ni vigumu zaidi kwa Mwislamu kubadili Ukristo katika jimbo la Aceh, ambalo linafuata sheria za Kiislamu.

=================

An Islamic social media campaign known as #SaveMaryam is raising awareness of the spread of Christianity throughout Indonesia — and it’s using controversial statistics and statements to do so.

The campaign’s manager stated that 2 million Muslims convert to Christianity every year in the country. He added that Indonesia would cease to be a predominantly Muslim nation by 2035.

Critics and commentators have accused the campaign’s team of being alarmist, creating unnecessary religious tension, and giving inaccurate information to raise more funds for their activities.

Indonesia boasts the largest Muslim population in the world, with more than 212 million Muslims. Official figures estimate that about 11% of the population are Christians. However, several Indonesian church leaders believe this is a huge underestimation, placing the actual number of Christians between 20% and 30% of the population.

Whatever the correct figure, what is clear is the extreme hardship Indonesian Christians face, particularly those who convert from Islam to Christianity. Muslim families often disown their children who become Christians. It’s even more difficult for a Muslim to convert to Christianity in the province of Aceh, which follows Islamic law.
Watu wa dini kwa nyakati zetu wamekuwa ni watu wa kupiga pesa na si kwa lengo la imani.
 
Asikusumbue,ukijua dhana nzima ya uislam na kile wanachokiabudu wala hauwezi kupata shida . Waislam hata Mungu atoe nafsi bure ya watu wote kuingia Peponi waislam watalalamika kuwa Wakristo wanapendelewa.
Ukisoma kisa cha Shetani ambaye alikua ni muislam namba moja na aliyesujudu kuliko hata Mohamad na kuitwa mwenye Sigda usoni utagundua kuwa wanayoyafanya waislam ndiyo yale yale aliyoyafanya shetani mpaka anafukuzwa peponi.

Yes ,kuna upendeleo toka kwa Mungu kwa mtu anayemwamini Yesu kwa moyo wake wote. Unajua wazungu wanaoishi ukristo ndio maana huwaoni wakikimbilia makanisani kama unavyoona huku Afrika watu wanajazana kwenye makanisa lakini ni washirikina ,wachawi ,wezi ,wala rushwa ,mafisadi ,wanatekana,wanaiba kura , wanafunga watu kwa kuwaonea , wa anaua maalbino, wana wabunge waongo , Wanashindwa kutoa huduma za Dialisis bure kwa wagonjwa wa Figo lakini wanatoa Pikipiki elfu 18 za rushwa kupata madaraka wakawatawale wale wanaokufa kwa kukosa huduma za afya,wanashindwa kutoa bima ya afya kwa wote wakati wananunua magari ya kifahari kwa fedha za umma wakati majumbani kwao wana magari yamepaki hayana hata wa kuyaandesha .Lakini hawa wanakimbilia kwa manabii wa wasio na chembe ya huruma , wanaojaza watu makumi elfu kwenye mikutano ya ibada huku wakiwa wanatenda kinyume kabisa na Ukristo na biblia .
Wa Afrika inabidi watubu kila saa ili wapate rehema na neema ya kristo maana anasema mtu akikukosea msamehe hata sana mara sabini kwa siku.
Lakini kwa matendo yao kamwe hakuna atakaye uona ufame wa Mungu.

Halikadhalika waarabu na waislam wanajazana kwenye misikiti na kuswali kutwa mara tano lakini roho zao hazijatakaswa hata chembe ndio maana akitokea mtu akaingia amelewa wanaweza wakamuua kwa kipigo na hasira . Maana yake ni kwamba mioyo yao haijatakasika pamoja na kuswali sana .
Hii ni kwa sababu wamekataa amri ya kumsujudia Adamu wa pili yaani Yeshua au Yesu kama Shetani wanayemwabudu alivyokataa kumsujudia Adamu wa kwanza kama alivyoamuru Mola wa akati huo kua kama mtihani kwa malaika na shetani akiwemo . Wote wakaainama mbele ya Adam isipokuwa shetani peke yake .
Mungu ameelekeza kuwa wafu wote wa apitie kwa Yesu na kumsujudia yeye kama mwana wa Mungu lakini waislam wamegoma . Hawana sifa ya kuingia mbinguni kama zlivyokosa Sifa yule mkuu wao wanayemfuata bila kujua
+Wanashindwa kununua vifaa vya uokozi wakati wa majanga halafu wanatapanya milioni 700 kwa timu ya mpira na huyo anayefanya hivyo ni muumini wa "Dini ya haki"

Hapo jamaa haoni kama huo ni uhujumu anachojua yeye ni wakristu tu ndo wanahujumu waislamu
 
lkn Zanzibar si wanasheria zao sheria upingwa umu JF sio Mahakamani? mambo ya Zanzibar unakuja kulialia umu pole jomba!! Sisi Tuangaikie kwetu uku bala. Tuishi kwa aman tupige kazi tuwe watu wamoja. Dini zibaki nyumba za Ibada majumbani ivyo mkuu.
Ndiyo maana nakuambia wewe ni MNAFIKI MKUBWA

Haki Haina mipaka na kumbuka Zanzibar ni Tanzania pia hata humu kwenye mitandao ni sehemu sahihi pia ya kupaza sauti kwa kuwa wapo wenye mamlaka wengi tu ambao hupata taarifa kupitia mitandaoni

Hivyo acha double standard kama ukiamua kusema jambo usiwe na simile na sehemu unayoihusudu hata kama haitendi sawia
 
Watu wa dini kwa nyakati zetu wamekuwa ni watu wa kupiga pesa na si kwa lengo la imani.
Kila lenye Heri huambatana na Shari iwe ndogo au kubwa

Hakuna jambo ambalo HALINA changamoto kiuanadamu
 
Kila lenye Heri huambatana na Shari iwe ndogo au kubwa

Hakuna jambo ambalo HALINA changamoto kiuanadamu
Changamoto ni lazima, lakini kuna watu wanawafnya wenziwao wajinga kwa kuwapiga pesa kupitia mgongo wa dini. Watu wa Mungu huwa dunia wanaipa mgongo.
 
Changamoto ni lazima, lakini kuna watu wanawafnya wenziwao wajinga kwa kuwapiga pesa kupitia mgongo wa dini. Watu wa Mungu huwa dunia wanaipa mgongo.
Hilo ni tatizo la hao wanaotoa hela hovyo hovyo ili kupata miujiza

KRISTU YESU anasema Nataka Rehema na si sadaka

Sasa kwanini wewe utapeliwe kiningajinga ikiwa msingi wa imani ni rehema
 
Hilo ni tatizo la hao wanaotoa hela hovyo hovyo ili kupata miujiza

KRISTU YESU anasema Nataka Rehema na si sadaka

Sasa kwanini wewe utapeliwe kiningajinga ikiwa msingi wa imani ni rehema
Ni wachache sana wenye kujua hayo maandiko. Sisi tunapenda njia ya mkato ya kufaulu, hatujui kila kitu ni mchakato hapa duniani.
 
Ni wachache sana wenye kujua hayo maandiko. Sisi tunapenda njia ya mkato ya kufaulu, hatujui kila kitu ni mchakato hapa duniani.
Hiyo changamoto ya kupenda mkato tu haipo kwenye dini pekeake ni kila sehemu hata siasa, hata michezo na kila kitu ndiyo asili ya uvivu wa mwanadamu, hapendi magumu japo ukweli ni kwamba hakuna kizuri chochote kile bila kupitia ugumu na ndiyo maana Mungu anasema "...kwa kuwa umeyakataa maarifa nami nitakukataa"
 
Ukiisikiliza Quran inavyoimbwa unaweza ukaona ni kitu cha maana,ila soma na kuielewa ndio utaona utani wake maana humo utakutana na Mzee wa miaka 53 anaoa mtoto wa miaka 6,utaona mzee anachukua mke wa mwanae na kumuoa yani ni tofauti na kile unachokiona juu juu ukihadithiwa, na wengi wao kutokana na Ile lugha iliyoandika Quran hawaelewi kilichopo mle wao wanawasikiliza hawa Wafanya tafsiri.

1732115933807.jpeg
 
Ndiyo maana nakuambia wewe ni MNAFIKI MKUBWA

Haki Haina mipaka na kumbuka Zanzibar ni Tanzania pia hata humu kwenye mitandao ni sehemu sahihi pia ya kupaza sauti kwa kuwa wapo wenye mamlaka wengi tu ambao hupata taarifa kupitia mitandaoni

Hivyo acha double standard kama ukiamua kusema jambo usiwe na simile na sehemu unayoihusudu hata kama haitendi sawia
Mimi jukum langu kuwakumbusha tu sina uwezo wakuwakataza na nimetoa mifani hai ili nyinyi mtafakulizaid lkn kama kufanya izo propaganda kuna faida mnapata basi iyo ni juu yenu wkt mwengine amjapata kufikilishwa zaid juu ya hatari ya jambo usika ndio nikawapa mfano w KENYA kile kikundi kilikuwa cha wapumbavu lkn walijiona wana akilii kwakua wao walijiona awawezi fikiwa uko walipo wakajiona wanaweza fanya upumbafu wao na akuna wakuwazuiya wala kuwajua najua mengi kuusu ishu ya Kenya lkn siweki wazi kila kitu apa lkn walikuwa wapumbavu nitosheke kusema ivyo. Wale jamaa kuona akuna wakuwasumbua wakaanxa kuuwa maustadh pale Mombasa waliuwa mashekh tofaut adi wengine nawake zao pia waliwauwa Je yalikwashaje na wale wajamaa wakajiona pumbavu sababu wamefanya mauwaji kwa misingi ya DINI wao walijiona awawezi fikiwa muslam ndugu yake muislam Wasomali wakaingia Kenya lengo sasa kuwasaka watu wabala tu ambao ni cristian waliwauwa sana magari ya abiria yanasimamishwa wanatafutwa umo ndani wakristo wanawauwa!! Shule ya Galisa mnakumbuka nayo yote upumbafu waliosababisha wale jamaa kuuwa mashekh bila sababu. Wakasau kuna raia ambao ni cristian wametapakaa kila konobya kenya masikini awana ulinzi wao ikawa ndio shabaha ya Wasomali tokea pale atukusikia tena sheekh kavamiwa na Wasomali wakaacha ayo mambo vuguvugu lile likapelekea serikali ya Kenyq kutambua sikuu za kislamu kama EID kabla yake akuna sikukuu ya kislamu ilitambuliwa na serikali ya Kenya juzi juzi wkt wa Uhuru akiwa Rais ndio akazitambua EID. Mm napenda aman na tuchunge viashilia vyakukosekana aman.lkn mipumbavu kwenye inch awakosekani ata uwaambie nn wao watabaki kujiona wanajua kumbe takataka tu amani kwa faida ya wote sio kundi frani tukemeane ukiona mwenzio anaongea mashudu aman ya jamii zetu inaanzia kwako ww akuna anaependa kufa kijinga kama kule Kenya watu awana atia tena wanafunzi vip umuelekezee mtutu. Lkn kuna mipumbavu iliwasababishia uku wenyewe wakijiona awapo hatarini wakawasaau jamii kubwa ambayo ata aijui chochote kinachoendelea.
 
Back
Top Bottom