Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Story ndefu hebu tupe link au source ya taarifa yako tukajisomee kwanza
 
Haujaelewa swali Biblia haijataja umri wa huyu binti wa Caleb,ila Hadith inasema Mohammad alimuoa Aisha ili apate mwanamkè bikra na wakucheza nae
Mabinti wadogo ni kati ya umri gani ? Na mabinti wa kubwa ni umri gani , zingatia neno binti🤔 ndio utapata picha biblia ilipotaja mabinti wadogo ilimaaisha nini🤔
 
Hadith yenyewe inazidi kuonyesha kwamba Mussa kawazidi Akili Momo na Allah maana bila msaada wa Mussa Allah na Momo wasingejua kwamba kusali mara 50 kwa siku haiwezekani ukifuatilia utaona pale palitengenezwa kitu
Kwanini isiwezekane wakati umma zilizo pita kabla ya s a w walikua wanasali Sala hizo ama zaidi yaa
 
Mabinti wadogo ni kati ya umri gani ? Na mabinti wa kubwa ni umri gani , zingatia neno binti🤔 ndio utapata picha biblia ilipotaja mabinti wadogo ilimaaisha nini🤔
Biblia inasema atanpa binti yake awe mkewe kwani Kuna umri uliotajwa? Binti huyo alikua yupo tayari kuolewa ndomana Caleb alasema ivyo,labda wewe unisaidie umri wake kwenye vyanzo vingine ulivyonavyo
 
Biblia inasema atanpa binti yake awe mkewe kwani Kuna umri uliotajwa? Binti huyo alikua yupo tayari kuolewa ndomana Caleb alasema ivyo,labda wewe unisaidie umri wake kwenye vyanzo vingine ulivyonavyo
Unaelewa maana ya binti mdogo? Kwa kipindi hicho?
 
Qur an imesema je achana na hadithi unatakiwa kwanza usome qur an kabla ya kusoma hadith sababu hadith hata mimi au wewe tukiamua tunatunga zipo nyingi sana za kutunga
Quran bila Hadith haiwezi kusimama na kueleweka,hapo ni kama pipa na mfuniko.
 
Kwanini isiwezekane wakati umma zilizo pita kabla ya s a w walikua wanasali Sala hizo ama zaidi yaa
Hauna unachokijua ndomana nasema uislam umetengenezwa kwa uongo sana hadi uwe una reasoning utaelewa,sasa nitajie huo Umma uliokuwa unasali mara 50 kwa siku wakati hadi "Mussa mwenyewe anamwambia Momo" haiwezekani
 
Hauna unachokijua ndomana nasema uislam umetengenezwa kwa uongo sana hadi uwe una reasoning utaelewa,sasa nitajie huo Umma uliokuwa unasali mara 50 kwa siku wakati hadi "Mussa mwenyewe anamwambia Momo" haiwezekani
Embu Njoo Ndugu tujadiliane kwa heshima na Uungwana.

Hoja yako ni ipi tuanze mjadala wa kitaaluma.
 
Quran bila Hadith haiwezi kusimama na kueleweka,hapo ni kama pipa na mfuniko.
Hadithi bila qur an pia haiwezi kusimama sababu ili hadithi isimame inatakiwa isipingane na yaliomo ndani ya qur an
 
Back
Top Bottom