Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Ndio hayo maelezo yako yamekutoa katika kumshirikisha mungu kwa kuabudu kiumbe kama wewe ??
Allah ni miungu ya kiarabu kama ilivyo kwa Hindi, Wachina, Wajapan n.k ndiyo maana unatumia lugha ya muarabu. Huu muda wa kujibizana na mimi kwenye mitandao ya makafiri, ungetumia kujifunza kiarabu ili upate kuwasiliana na Allah😀😀😀
Unaona raha kutumia simu ya makafiri na social media za makafiri*😀😀😀😀 Nyie waislamu mna nini ambacho mnaweza kutumia bila kugusa vitu vya makafiri?😀😀😀😀
 
Allah ni miungu ya kiarabu kama ilivyo kwa Hindi, Wachina, Wajapan n.k ndiyo maana unatumia lugha ya muarabu. Huu muda wa kujibizana na mimi kwenye mitandao ya makafiri, ungetumia kujifunza kiarabu ili upate kuwasiliana na Allah😀😀😀
Unaona raha kutumia simu ya makafiri na social media za makafiri*😀😀😀😀 Nyie waislamu mna nini ambacho mnaweza kutumia bila kugusa vitu vya makafiri?😀😀😀😀

Kusema hizo sababu za kutumia vyombo vya makafiri havijakutoa bado kwenye kumshirikisha Mungu kwa kumuabudu kiumbe kama wewe
 
Kusema hizo sababu za kutumia vyombo vya makafiri havijakutoa bado kwenye kumshirikisha Mungu kwa kumuabudu kiumbe kama wewe
😀😀😀😀😀😀
 
😀😀😀😀😀😀


Hao watu wana hesabu zao mbele ya mungu kama utayokuwa nayo wewe na mimi .


Wokovu


Wakristo mnasema kwamba “MUNGU AMEMTOA” mwanawe wa pekee ili kutuokoa sisi”. Je, Mungu alimtoa Yesu kumpa nani wakati yeye Mungu ndiye mmiliki wa ulimwengu wote?

Ikiwa ilikubalika kwa utukufu wa Mungu kuwa awe na watoto, basi angeumba mamilioni ya watoto kama Yesu. Sasa kuna jambo gani kubwa kumhusu huyu mtoto wa pekee?

Kwa nini Biblia inasema kwamba Yesu alitaka kufa msalabani, huku yule mtu aliyesulubiwa pale msalabani alikuwa anapiga kelele “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?” kwa mujibu wa Matayo 27:45 na Marko 15:33?

Ikiwa Mungu alitaka kutuokoa, Je, angeshindwa kutuokoa bila kumtoa muhanga Yesu?

Mungu yeye mwenyewe ni haki, na haki inataka kusiwepo na mtu anayepaswa kuadhibiwa kwa madhambi ya wengine, vile vile haipaswi kuadhibiwa watu wengine kwa kuwaokoa wengine: Je! Dai la kwamba Mungu amemtoa muhanga Yesu ili kutuokoa haliteti mkanganyiko kama kweli Mungu ni mpenda haki? Je, Dai hilo halitofautiani na maana halisi ya haki?

Watu wanatoa muhanga vitu vyao ili kupata vitu vingine wasivyokuwa navyo ikiwa haiwezekani kuwa navyo vyote viwili kwa wakati mmoja. Wakristo wanasema kwamba “Mungu alimtoa muhanga mtoto wake wa pekee ili kutuokoa; Tunajua kwamba Mungu ni Mwenye nguvu; Mungu alimtoa Muhanga Yesu kwa nani?

Kutoa muhanga kitu maana yake ni kwamba huwezi kukipata tena kile ulichokitoa; sasa kuna siri gani katika kutolewa Muhanga Yesu wakati Mungu aliweza kumrudisha Yesu baada ya kusulubiwa (kwa mujibu wa maneno ya Wakristo)?

Ikiwa Wakristo nyote mumeokoka kwa kupitia Yesu na mnakwenda Peponi (kwenye uzima wa milele) bila kujali matendo yenu, kwa hiyo mafundisho ya Yesu hayana umuhimu wowote na maana ya maneno “uovu” au “wema” hayana umuhimu wowote. Ikiwa hali sivyo hivyo, kwa hiyo wale Wakristo ambao wanamwamini Yesu lakini hawafuati mafundisho yake wala hawajatubu watakwenda motoni?

Vipi Wakristo mnayachukulia matendo kama kitu kisicho na umuhimu baada ya kuwa kitu kimoja wakati Yesu aliposema katika Matayo 12:36; “Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu.”?

Wakristo mnasema kwamba watu wanakwenda Peponi kwa kupitia Yesu tu! Wakati Paulo anasema katika 1 Wakorintho 7:8-16 kwamba Mume asieamini anakubalika kwa Mungu kwa sababu anaunganishwa na mke wake na kinyume chake, na watoto wao wasio na dini vile vile wanakubalika kwa Mungu. Kwa hivyo kumbe watu wanaweza kwenda Peponi bila ya kumwamini Yesu; kutokana na maneno hayo.

Vipi Biblia inasema kwamba Waisraeli wote wameokoka ingawa hawamwamini Yesu? Je, Hili halipingani na dai la Biblia ya kuwa njia ya pekee ya kwenda Peponi ni kwa kupitia Yesu tu?

Kwa mujibu wa Wakristo, wale wote ambao hawakubatizwa watakwenda motoni. Kwa hivyo hata watoto wachanga nao watakwenda motoni kwa vile walikufa kabla ya kubatizwa; kwa vile walizaliwa na dhambi la asili la kurithi? Je, hili halipingani na maana ya neno haki; kwanini Mungu awaadhibu watu kwa madhambi wasiyoyatenda?
 
Hao watu wana hesabu zao mbele ya mungu kama utayokuwa nayo wewe na mimi .


Wokovu


Wakristo mnasema kwamba “MUNGU AEMTOA” mwanawe wa pekee ili kutuokoa sisi”. Je, Mungu alimtoa Yesu kumpa nani wakati yeye Mungu ndiye mmiliki wa ulimwengu wote?

Ikiwa ilikubalika kwa utukufu wa Mungu kuwa awe na watoto, basi angeumba mamilioni ya watoto kama Yesu. Sasa kuna jambo gani kubwa kumhusu huyu mtoto wa pekee?

Kwa nini Biblia inasema kwamba Yesu alitaka kufa msalabani, huku yule mtu aliyesulubiwa pale msalabani alikuwa anapiga kelele “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?” kwa mujibu wa Matayo 27:45 na Marko 15:33?

Ikiwa Mungu alitaka kutuokoa, Je, angeshindwa kutuokoa bila kumtoa muhanga Yesu?

Mungu yeye mwenyewe ni haki, na haki inataka kusiwepo na mtu anayepaswa kuadhibiwa kwa madhambi ya wengine, vile vile haipaswi kuadhibiwa watu wengine kwa kuwaokoa wengine: Je! Dai la kwamba Mungu amemtoa muhanga Yesu ili kutuokoa haliteti mkanganyiko kama kweli Mungu ni mpenda haki? Je, Dai hilo halitofautiani na maana halisi ya haki?

Watu wanatoa muhanga vitu vyao ili kupata vitu vingine wasivyokuwa navyo ikiwa haiwezekani kuwa navyo vyote viwili kwa wakati mmoja. Wakristo wanasema kwamba “Mungu alimtoa muhanga mtoto wake wa pekee ili kutuokoa; Tunajua kwamba Mungu ni Mwenye nguvu; Mungu alimtoa Muhanga Yesu kwa nani?

Kutoa muhanga kitu maana yake ni kwamba huwezi kukipata tena kile ulichokitoa; sasa kuna siri gani katika kutolewa Muhanga Yesu wakati Mungu aliweza kumrudisha Yesu baada ya kusulubiwa (kwa mujibu wa maneno ya Wakristo)?

Ikiwa Wakristo nyote mumeokoka kwa kupitia Yesu na mnakwenda Peponi (kwenye uzima wa milele) bila kujali matendo yenu, kwa hiyo mafundisho ya Yesu hayana umuhimu wowote na maana ya maneno “uovu” au “wema” hayana umuhimu wowote. Ikiwa hali sivyo hivyo, kwa hiyo wale Wakristo ambao wanamwamini Yesu lakini hawafuati mafundisho yake wala hawajatubu watakwenda motoni?

Vipi Wakristo mnayachukulia matendo kama kitu kisicho na umuhimu baada ya kuwa kitu kimoja wakati Yesu aliposema katika Matayo 12:36; “Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu.”?

Wakristo mnasema kwamba watu wanakwenda Peponi kwa kupitia Yesu tu! Wakati Paulo anasema katika 1 Wakorintho 7:8-16 kwamba Mume asieamini anakubalika kwa Mungu kwa sababu anaunganishwa na mke wake na kinyume chake, na watoto wao wasio na dini vile vile wanakubalika kwa Mungu. Kwa hivyo kumbe watu wanaweza kwenda Peponi bila ya kumwamini Yesu; kutokana na maneno hayo.

Vipi Biblia inasema kwamba Waisraeli wote wameokoka ingawa hawamwamini Yesu? Je, Hili halipingani na dai la Biblia ya kuwa njia ya pekee ya kwenda Peponi ni kwa kupitia Yesu tu?

Kwa mujibu wa Wakristo, wale wote ambao hawakubatizwa watakwenda motoni. Kwa hivyo hata watoto wachanga nao watakwenda motoni kwa vile walikufa kabla ya kubatizwa; kwa vile walizaliwa na dhambi la asili la kurithi? Je, hili halipingani na maana ya neno haki; kwanini Mungu awaadhibu watu kwa madhambi wasiyoyatenda?
Allah ni miungu ya kiarabu wala sina undugu na mwarabu
Unaona raha kutumia social media za makafiri😀😀😀😀😀😀😀
 
Allah ni miungu ya kiarabu wala sina undugu na mwarabu
Unaona raha kutumia social media za makafiri😀😀😀😀😀😀😀

Kwani huyo mnayemuabudu kama mungu si akitumia vitu vya wapagani na waroma ?? alikuwa carpenter misumeno akijitengenezea mwenyewe ,?? akisafishwa mavi , hivi akijitawazisha mwenyewe ??

Hoja zako bado hazijakufanya usiwe mshirikina wa kuabudu kiumbe
 
Hutaelewa maandiko yanasema na kumaanisha nini kama hutasoma tukio zima. Hiyo habari haikuanzia hapo na wala haikuishia hapo. Nimekusoma, wewe ni wale wanaobisha bila kujua anabisha kitu gani. Unanipotezea muda bure!!!

NAKUWEKEA IIMEANDIKWA KWENYE BIBLIA KUHUSU MATHAYO

"The unknown author, whom we shall continue to call Matthew for the sake of convenience, drew no only up the Gospel according to Mark but upon a large body of material (principally, sayings of Jesus) not found in Mk that corresponds, sometimes exactly, to material found also in the Gospel according to Luke. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1008)"


"As for the place where the gospel was composed, a plausible suggestion is that it was Antioch, the capital of the Roman province of Syria. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1009)"


So we clearly see, both the author or authors and the place of composition of the "Gospel of Matthew" are unknown.
 
Kwani huyo mnayemuabudu kama mungu si akitumia vitu vya wapagani na waroma ?? alikuwa carpenter misumeno akijitengenezea mwenyewe ,?? akisafishwa mavi , hivi akijitawazisha mwenyewe ??

Hoja zako bado hazijakufanya usiwe mshirikina wa kuabudu kiumbe
Hilo ndilo tatizo la kuwa na muasisi wa dini asiyejua kusoma na kuandika.
Mtu hajui kusoma na kuandika halafu anawaambia ameshushiwa kitabu😀😀😀😀 Tusomee basi kitabu kimeandikwaje😀😀😀😀😀. Mudi amekufa hajui hata kitabu kinahusu nini🚮😁😁😁😁
 
Hilo ndilo tatizo la kuwa na muasisi wa dini asiyejua kusoma na kuandika.
Mtu hajui kusoma na kuandika halafu anawaambia ameshushiwa kitabu😀😀😀😀 Tusomee basi kitabu kimeandikwaje😀😀😀😀😀. Mudi amekufa hajui hata kitabu kinahusu nini🚮😁😁😁😁
Jagina, naona unaenda mbali bila kujua unakotoka, utapotea! Umesahau kuwa Yesu Kristo alizaliwa kama wewe na alinyonya kama wewe alifanyakazi kama wewe, isipokuwa tofauti na wewe ni kuwa hakutenda dhambi, sababu kubwa ni kuwa alikuwa na Roho wa Mungu. Soma qur-19:32 - Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri, mwovu.
 
Allah ni miungu ya kiarabu kama ilivyo kwa Hindi, Wachina, Wajapan n.k ndiyo maana unatumia lugha ya muarabu. Huu muda wa kujibizana na mimi kwenye mitandao ya makafiri, ungetumia kujifunza kiarabu ili upate kuwasiliana na Allah😀😀😀
Unaona raha kutumia simu ya makafiri na social media za makafiri*😀😀😀😀 Nyie waislamu mna nini ambacho mnaweza kutumia bila kugusa vitu vya makafiri?😀😀😀😀
mungu wa kiarabu ambaye aya za msaafu wake wa mchongo zinatumika kufanya ushirikina hii ni kuthibitisha huyo mungu ni shetan mwenyewe. Muanzilishi wa dini hajui kusoma wala kuandika🤣😂
 
Hilo ndilo tatizo la kuwa na muasisi wa dini asiyejua kusoma na kuandika.
Mtu hajui kusoma na kuandika halafu anawaambia ameshushiwa kitabu😀😀😀😀 Tusomee basi kitabu kimeandikwaje😀😀😀😀😀. Mudi amekufa hajui hata kitabu kinahusu nini🚮😁😁😁😁
mtume mudi alikuwa kalume kenge tabula rasa
 
Hilo ndilo tatizo la kuwa na muasisi wa dini asiyejua kusoma na kuandika.
Mtu hajui kusoma na kuandika halafu anawaambia ameshushiwa kitabu😀😀😀😀 Tusomee basi kitabu kimeandikwaje😀😀😀😀😀. Mudi amekufa hajui hata kitabu kinahusu nini🚮😁😁😁😁
Jagina, naona unaenda mbali bila kujua unakotoka, utapotea! Umesahau kuwa Yesu Kristo alizaliwa kama wewe na alinyonya kama wewe alifanyakazi kama wewe, isipokuwa tofauti na wewe ni kuwa hakutenda dhambi, sababu kubwa ni kuwa alikuwa na Roho wa Mungu. Soma qur'an
Hao watu wana hesabu zao mbele ya mungu kama utayokuwa nayo wewe na mimi .


Wokovu


Wakristo mnasema kwamba “MUNGU AMEMTOA” mwanawe wa pekee ili kutuokoa sisi”. Je, Mungu alimtoa Yesu kumpa nani wakati yeye Mungu ndiye mmiliki wa ulimwengu wote?

Ikiwa ilikubalika kwa utukufu wa Mungu kuwa awe na watoto, basi angeumba mamilioni ya watoto kama Yesu. Sasa kuna jambo gani kubwa kumhusu huyu mtoto wa pekee?

Kwa nini Biblia inasema kwamba Yesu alitaka kufa msalabani, huku yule mtu aliyesulubiwa pale msalabani alikuwa anapiga kelele “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?” kwa mujibu wa Matayo 27:45 na Marko 15:33?

Ikiwa Mungu alitaka kutuokoa, Je, angeshindwa kutuokoa bila kumtoa muhanga Yesu?

Mungu yeye mwenyewe ni haki, na haki inataka kusiwepo na mtu anayepaswa kuadhibiwa kwa madhambi ya wengine, vile vile haipaswi kuadhibiwa watu wengine kwa kuwaokoa wengine: Je! Dai la kwamba Mungu amemtoa muhanga Yesu ili kutuokoa haliteti mkanganyiko kama kweli Mungu ni mpenda haki? Je, Dai hilo halitofautiani na maana halisi ya haki?

Watu wanatoa muhanga vitu vyao ili kupata vitu vingine wasivyokuwa navyo ikiwa haiwezekani kuwa navyo vyote viwili kwa wakati mmoja. Wakristo wanasema kwamba “Mungu alimtoa muhanga mtoto wake wa pekee ili kutuokoa; Tunajua kwamba Mungu ni Mwenye nguvu; Mungu alimtoa Muhanga Yesu kwa nani?

Kutoa muhanga kitu maana yake ni kwamba huwezi kukipata tena kile ulichokitoa; sasa kuna siri gani katika kutolewa Muhanga Yesu wakati Mungu aliweza kumrudisha Yesu baada ya kusulubiwa (kwa mujibu wa maneno ya Wakristo)?

Ikiwa Wakristo nyote mumeokoka kwa kupitia Yesu na mnakwenda Peponi (kwenye uzima wa milele) bila kujali matendo yenu, kwa hiyo mafundisho ya Yesu hayana umuhimu wowote na maana ya maneno “uovu” au “wema” hayana umuhimu wowote. Ikiwa hali sivyo hivyo, kwa hiyo wale Wakristo ambao wanamwamini Yesu lakini hawafuati mafundisho yake wala hawajatubu watakwenda motoni?

Vipi Wakristo mnayachukulia matendo kama kitu kisicho na umuhimu baada ya kuwa kitu kimoja wakati Yesu aliposema katika Matayo 12:36; “Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu.”?

Wakristo mnasema kwamba watu wanakwenda Peponi kwa kupitia Yesu tu! Wakati Paulo anasema katika 1 Wakorintho 7:8-16 kwamba Mume asieamini anakubalika kwa Mungu kwa sababu anaunganishwa na mke wake na kinyume chake, na watoto wao wasio na dini vile vile wanakubalika kwa Mungu. Kwa hivyo kumbe watu wanaweza kwenda Peponi bila ya kumwamini Yesu; kutokana na maneno hayo.

Vipi Biblia inasema kwamba Waisraeli wote wameokoka ingawa hawamwamini Yesu? Je, Hili halipingani na dai la Biblia ya kuwa njia ya pekee ya kwenda Peponi ni kwa kupitia Yesu tu?

Kwa mujibu wa Wakristo, wale wote ambao hawakubatizwa watakwenda motoni. Kwa hivyo hata watoto wachanga nao watakwenda motoni kwa vile walikufa kabla ya kubatizwa; kwa vile walizaliwa na dhambi la asili la kurithi? Je, hili halipingani na maana ya neno haki; kwanini Mungu awaadhibu watu kwa madhambi wasiyoyatenda?
Wewe mpotoshaji mkubwa acha kupotosha watu kwa kunukuu vipande vipande vya sura na aya. Hebu soma vizuri kilichoandikwa, acha UIBILISI! Wakorintho 7:16 kwa maana wajuaje, wewe mwanamke, kama utamwokoa mumeo? Au wajuaje, wewe mwanamume, kama utamwokoa mkeo?
Maana yake anaweza kuokoka kwa kumjua Yesu Kristo na hivyo akaokoka! Acha uongo wako!
 
Jagina, naona unaenda mbali bila kujua unakotoka, utapotea! Umesahau kuwa Yesu Kristo alizaliwa kama wewe na alinyonya kama wewe alifanyakazi kama wewe, isipokuwa tofauti na wewe ni kuwa hakutenda dhambi, sababu kubwa ni kuwa alikuwa na Roho wa Mungu. Soma qur'an

Wewe mpotoshaji mkubwa acha kupotosha watu kwa kunukuu vipande vipande vya sura na aya. Hebu soma vizuri kilichoandikwa, acha UIBILISI! Wakorintho 7:16 kwa maana wajuaje, wewe mwanamke, kama utamwokoa mumeo? Au wajuaje, wewe mwanamume, kama utamwokoa mkeo?
Maana yake anaweza kuokoka kwa kumjua Yesu Kristo na hivyo akaokoka! Acha uongo wako!


Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana.

Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu. Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).

Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia. Na kama Wakristo wanang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi wajuwe kwamba Biblia inasema:

“Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Enyi Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.

Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnamtegemea nani?
 
Hao watu wana hesabu zao mbele ya mungu kama utayokuwa nayo wewe na mimi .


Wokovu


Wakristo mnasema kwamba “MUNGU AMEMTOA” mwanawe wa pekee ili kutuokoa sisi”. Je, Mungu alimtoa Yesu kumpa nani wakati yeye Mungu ndiye mmiliki wa ulimwengu wote?

Ikiwa ilikubalika kwa utukufu wa Mungu kuwa awe na watoto, basi angeumba mamilioni ya watoto kama Yesu. Sasa kuna jambo gani kubwa kumhusu huyu mtoto wa pekee?

Kwa nini Biblia inasema kwamba Yesu alitaka kufa msalabani, huku yule mtu aliyesulubiwa pale msalabani alikuwa anapiga kelele “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?” kwa mujibu wa Matayo 27:45 na Marko 15:33?

Ikiwa Mungu alitaka kutuokoa, Je, angeshindwa kutuokoa bila kumtoa muhanga Yesu?

Mungu yeye mwenyewe ni haki, na haki inataka kusiwepo na mtu anayepaswa kuadhibiwa kwa madhambi ya wengine, vile vile haipaswi kuadhibiwa watu wengine kwa kuwaokoa wengine: Je! Dai la kwamba Mungu amemtoa muhanga Yesu ili kutuokoa haliteti mkanganyiko kama kweli Mungu ni mpenda haki? Je, Dai hilo halitofautiani na maana halisi ya haki?

Watu wanatoa muhanga vitu vyao ili kupata vitu vingine wasivyokuwa navyo ikiwa haiwezekani kuwa navyo vyote viwili kwa wakati mmoja. Wakristo wanasema kwamba “Mungu alimtoa muhanga mtoto wake wa pekee ili kutuokoa; Tunajua kwamba Mungu ni Mwenye nguvu; Mungu alimtoa Muhanga Yesu kwa nani?

Kutoa muhanga kitu maana yake ni kwamba huwezi kukipata tena kile ulichokitoa; sasa kuna siri gani katika kutolewa Muhanga Yesu wakati Mungu aliweza kumrudisha Yesu baada ya kusulubiwa (kwa mujibu wa maneno ya Wakristo)?

Ikiwa Wakristo nyote mumeokoka kwa kupitia Yesu na mnakwenda Peponi (kwenye uzima wa milele) bila kujali matendo yenu, kwa hiyo mafundisho ya Yesu hayana umuhimu wowote na maana ya maneno “uovu” au “wema” hayana umuhimu wowote. Ikiwa hali sivyo hivyo, kwa hiyo wale Wakristo ambao wanamwamini Yesu lakini hawafuati mafundisho yake wala hawajatubu watakwenda motoni?

Vipi Wakristo mnayachukulia matendo kama kitu kisicho na umuhimu baada ya kuwa kitu kimoja wakati Yesu aliposema katika Matayo 12:36; “Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu.”?

Wakristo mnasema kwamba watu wanakwenda Peponi kwa kupitia Yesu tu! Wakati Paulo anasema katika 1 Wakorintho 7:8-16 kwamba Mume asieamini anakubalika kwa Mungu kwa sababu anaunganishwa na mke wake na kinyume chake, na watoto wao wasio na dini vile vile wanakubalika kwa Mungu. Kwa hivyo kumbe watu wanaweza kwenda Peponi bila ya kumwamini Yesu; kutokana na maneno hayo.

Vipi Biblia inasema kwamba Waisraeli wote wameokoka ingawa hawamwamini Yesu? Je, Hili halipingani na dai la Biblia ya kuwa njia ya pekee ya kwenda Peponi ni kwa kupitia Yesu tu?

Kwa mujibu wa Wakristo, wale wote ambao hawakubatizwa watakwenda motoni. Kwa hivyo hata watoto wachanga nao watakwenda motoni kwa vile walikufa kabla ya kubatizwa; kwa vile walizaliwa na dhambi la asili la kurithi? Je, hili halipingani na maana ya neno haki; kwanini Mungu awaadhibu watu kwa madhambi wasiyoyatenda?
Nadhani ungenukuu na vifungu ingekuwa vyema sana tujifunze kuliko kuandika maoni yako

Na pia hapa hoja yako kubwa ni kuwa kama YESU alitumwa kuukomboa ulimwengu ikishindikana vipi Mungu kuwaokoa watu yeye mwenyewe bila YESU? Si ndiyo?
 
Nadhani ungenukuu na vifungu ingekuwa vyema sana tujifunze kuliko kuandika maoni yako

Na pia hapa hoja yako kubwa ni kuwa kama YESU alitumwa kuukomboa ulimwengu ikishindikana vipi Mungu kuwaokoa watu yeye mwenyewe bila YESU? Si ndiyo?

ungalitulia ukasoma vizuri na ukajibu ingalikuwa vizuri na sisi tukapata faida
 
mtume mudi alikuwa kalume kenge tabula rasa
jesus and lucifer.jpeg
 
Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana.

Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu. Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).

Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia. Na kama Wakristo wanang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi wajuwe kwamba Biblia inasema:

“Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Enyi Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.

Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnamtegemea nani?
Inawezekana kuwa ni kweli ametoka kwenye kizazi cha "wazinifu"

Lakini Mungu yupo kwa ajili ya watu kama hao "wazinifu" ikiwa utaomva rehema yake na huu mfano uliotoa ni mzuri kweli ambao unathibitisha kuwa Mungu ni wa wote wenye mwili, wema na wabaya ikiwa tutaomba rehema yake kamili

Daudi aliomba msamaha kwa Mungu baada ya kufanya hilo kosa la kumuwakia tamaa mke wa uria

Rahabu aliachana na miungu isyo na uhai na alimgeukia Mungu wa kweli

Yuda alitubu kwa Mungu juu yake yeye na tamari na hata akazawadiwa mapacha Peres na zera

Haya Sasa leta andiko au hadithi inayoonesha
Je Muhammad alitubu dhambi ya kumbaka mtoto mdogo hadija

Je Muhammad alitubu na kujutia kulala na mke wa mwanaye.

Je Muhammad alitubu dhambi ya ubaguzi ya kumfananidha nabtal mtu mweusi na shetani
 
Huwezi kutetea uislamu kwa kutafuta mapungufu ya kubuni katika biblia na ukristu uislamu na mafundisho yake uko wazi ni chukizo kwa ustawi wa maisha ya mwanadamu hata Aya kuluwani na hadithi zimenyoosha maelezo tofauti na kudokoa dokoa concepts uchwara katika ukristu
 
Back
Top Bottom