Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Huwezi kutetea uislamu kwa kutafuta mapungufu ya kubuni katika biblia na ukristu uislamu na mafundisho yake uko wazi ni chukizo kwa ustawi wa maisha ya mwanadamu hata Aya kuluwani na hadithi zimenyoosha maelezo tofauti na kudokoa dokoa concepts uchwara katika ukristu
 
Nyota ya asubuhi tafsiri yake ni utukufu na ni kweli lusifa alikuwa malaika kipenzi mbinguni na aliyekuwa ametukuka alipoasi yeye na sifa zake zote zikashushwa kuzimu...

Na KRISTU anawakilisha utukufu huo (nyota ya asubuhi) pia kwa kwa jinsi alivyo yeye na anaendelea kuwa hivyo daima

Haya tuelezee hili la Muhammad
👇👇👇👇
 

Attachments

  • FB_IMG_17314054876527521.jpg
    FB_IMG_17314054876527521.jpg
    177.7 KB · Views: 3
Nyota ya asubuhi tafsiri yake ni utukufu na ni kweli lusifa alikuwa malaika kipenzi mbinguni na aliyekuwa ametukuka alipoasi yeye na sifa zake zote zikashushwa kuzimu...

Na KRISTU anawakilisha utukufu huo (nyota ya asubuhi) pia kwa kwa jinsi alivyo yeye na anaendelea kuwa hivyo daima

Haya tuelezee hili la Muhammad
👇👇👇👇

umesoma biblia ipi iliyoandika hayo maelezo yako ?+ au ndivyo mchungaji wenu anavyowadanganya ??
 
umesoma biblia ipi iliyoandika hayo maelezo yako ?+ au ndivyo mchungaji wenu anavyowadanganya ??
Tatizo lako hata wewe una majibu yako ndiyo maana unang'ang'ania kusema unachofikia wewe

Mchumgaji wangu huyo hapo aliyenielekeza
 

Attachments

  • Screenshot_20241125-150624.png
    Screenshot_20241125-150624.png
    136.6 KB · Views: 3
Tatizo lako hata wewe una majibu yako ndiyo maana unang'ang'ania kusema unachofikia wewe

Mchumgaji wangu huyo hapo aliyenielekeza

Huyo aliyetoa maelezo hayo ni nani ?? mbona hayamo kwenye aya ??



The Book of Revelation:


"The author of the book calls himself John, who because of his Christian faith has been exiled to the rocky island of Patmos, a Roman penal colony.

Although he never claims to be John the apostle, he was so identified by several of the early church Fathers, including Justin, Irenaeus, Clement of Alexandria, Terullian, Cyprian, and Hippolytus.

This identification, however, was denied by other Fathers, including Denis of Alexandria, Eusebius of Caesarea, Cyril of Jerusalem, Gregory Nazianzen, and John Chrysostom. Indeed, vocabulary, grammar, and style make it doubtful that the book could have been put into its present form by the same persons responsible for the fourth gospel. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1373)"


"Four times the author identifies himself as John (1:1,4,9; 22:8).....In the third century, however, an African bishop named Dionysius compared the language, style and thought of the Apocalypse (Revelation) with that of the other writings of John and decided that the book could not been written by the apostle of John.

He suggested that the author was a certain John the Presbyter, whose name appears elsewhere in ancient writings.

Although many today follow Dionysius in his view of authorship, the external evidence seems overwhelmingly supportive of the traditional view. (From the NIV Bible Commentary [1], page 1922)"


Again, we don't know who wrote the Book of Revelation.

It is certainly highly doubtful that it was written by Apostle John.

The Theologians and Historians of the NIV Bible seem to agree with the invalidity of this book from the above quote.

So are you now going to consider the other John's words as the Words and Inspirations of GOD Almighty?
 
umesoma biblia ipi iliyoandika hayo maelezo yako ?+ au ndivyo mchungaji wenu anavyowadanganya ??

Huyo aliyetoa maelezo hayo ni nani ?? mbona hayamo kwenye aya ??



The Book of Revelation:


"The author of the book calls himself John, who because of his Christian faith has been exiled to the rocky island of Patmos, a Roman penal colony.

Although he never claims to be John the apostle, he was so identified by several of the early church Fathers, including Justin, Irenaeus, Clement of Alexandria, Terullian, Cyprian, and Hippolytus.

This identification, however, was denied by other Fathers, including Denis of Alexandria, Eusebius of Caesarea, Cyril of Jerusalem, Gregory Nazianzen, and John Chrysostom. Indeed, vocabulary, grammar, and style make it doubtful that the book could have been put into its present form by the same persons responsible for the fourth gospel. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1373)"


"Four times the author identifies himself as John (1:1,4,9; 22:8).....In the third century, however, an African bishop named Dionysius compared the language, style and thought of the Apocalypse (Revelation) with that of the other writings of John and decided that the book could not been written by the apostle of John.

He suggested that the author was a certain John the Presbyter, whose name appears elsewhere in ancient writings.

Although many today follow Dionysius in his view of authorship, the external evidence seems overwhelmingly supportive of the traditional view. (From the NIV Bible Commentary [1], page 1922)"


Again, we don't know who wrote the Book of Revelation.

It is certainly highly doubtful that it was written by Apostle John.

The Theologians and Historians of the NIV Bible seem to agree with the invalidity of this book from the above quote.

So are you now going to consider the other John's words as the Words and Inspirations of GOD Almighty?
Kitu kimoja, una akili mawazo ya mtu halafu unataka ndo yawe rejea ya uhalali ya kile unachokidai, hayo maelezo uliyotoa hayajajitosheleza kuwa hoja ya msingi wa swali lako, haijaonesha hata sehemu moja kuthibitisha kuwa mwandishi wa ufunuo sio yohana badala yake ni shutuma pamoja na suggestions na assumption

Muulizaji yeye mwenyewe haijaonesha ameegema katika rejea ipi inayoaminika na watu kuhoji hoja zake Bali naona ni nukuu tu kutoka kwenye kitabu cha American atheist

Tukiachana na hayo wewe pia nimejaribu kukujibu kwa kadiri nilivyokujibu lakini wewe hujajibu hoja yangu hata moja kumuhusu mwamedi...

Uislamu hauwezi kujisimamia wenyewe bila kutegemea kukagua "mapungufu" ya Imani za watu wengine, uislamu una inferiority complex
Mjitathmini ndugu zetu katika imani
 
Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana.

Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu. Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).

Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia. Na kama Wakristo wanang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi wajuwe kwamba Biblia inasema:

“Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Enyi Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.

Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnamtegemea nani?
Nani alikuambia kuwa Yesu ni mwana wa haramu? Yesu aliingia hekaluni mara baada ya kuzaliwa na kufanyiwa yote kama ilivyokuwa desturi ya watoto wa kiume wa kwanza. Pia aliingia kwenye masinagogi na kufundisha akiitwa Rabi yaani mwalimu wa Torati, wewe unadiriki kumwita mwana wa haramu!
Luka 2:21 Hata zilipotumia siku nane za kumtahiri, aliitwa jina lake Yesu; kama alivyoitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.
Luka 2:22 Kisha, zilipotimia siku za kutakasika kwao, kama ilivyo torati ya Musa walikwenda naye hata Yerusalemu, wamweke kwa Bwana,
Luka 2:22.
 
Huyo hata hajulikani , msikilize huyu professor , yeye ameenda mpaka huko jerusalem ,

imetoka kwenye TV ya BBC 4



View: https://youtu.be/ot7o3XnwtP0

Kwani walioko kwenye vyuo wote wanajulikana, mababu wa kanisa je wote wewe unawajua? Kwani BBC ndiyo anaye Authentify maandiko au tafiti? Hata explorers walibishana wengine wakisema dunia ni mviringo na wengine wakisema dunia ni kama meza, na wote walikuwa wasomi wa nyakati hizo. Acha ubabaishaji!
Huyo hata hajulikani , msikilize huyu professor , yeye ameenda mpaka huko jerusalem ,

imetoka kwenye TV ya BBC 4



View: https://youtu.be/ot7o3XnwtP0

Huyo mwalimu wako ameenda mpaka Yerusalem, sawa. Hiyo clip niliyokuwekea huyo ni Myahudi. Wewe unasema eti ameenda, kwenda ndiyo kujua?
 
Je unafahamu kuwa binti mkubwa 18yrs alianza kutambulika karne ya 20 tu hapa?

Je unafahamu nyuma ya hapo ,binti alianza kutambulika kwa nzia miaka 12 kuwa anafaa kuolewa?

Biblia imetaja sehemu nyingi tu kuwa binti wadogo mabikra waliolewa ila haikutaja umri wao , sio kazi yangu kukuhubiria lakini🤔
Ebu tuondolee ujinga,binti zetu wamefunga shule acheni ubakaji wa vitoto.
 
Ebu tuondolee ujinga,binti zetu wamefunga shule acheni ubakaji wa vitoto.
Binti wa wakati huo wa miaka 20, 18, 12, 9 kwa maumbile unadhani ni sawa na binti wa umri huo wa sasa? Tafadhali acheni ubakaji!
 
Back
Top Bottom