Uku Kunani

mengi tu ya kusifiwa, kukashifiwa na kadhalika..[emoji41]
Mimi ndiye mpokea wageni hapa..sawa?

-Taja jina.
-jinsia
-umri
-unapoishi

Nikuandikishe kwenye kitabu cha wageni.
 
Mimi ndiye mpokea wageni hapa..sawa?

-Taja jina.
-jinsia
-umri
-unapoishi

Nikuandikishe kwenye kitabu cha wageni.
Joash
umri-24
Jina limetosha tu kutaja jinsia
Npo Kenya mm.
 
Yaan JF inapoelekea cko kabisa, mtu akivurugwa na mumewe anakimbilia hapa kupunguza stress. Huyu naye kavimbiwa na makande kaja kupumulia hapa. Cheefuu
[emoji23][emoji23][emoji23] kavurugwa na nn...Ungesema Nyege, pale Nyegezi..[emoji12]
 
Yaan JF inapoelekea cko kabisa, mtu akivurugwa na mumewe anakimbilia hapa kupunguza stress. Huyu naye kavimbiwa na makande kaja kupumulia hapa. Cheefuu
Mbona unaongea kama umekalia kitu chenye ncha kali wee dada?

Nitakufumua magauni muda si mrefu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…