Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Sijawahi kuelewa ukubwa wa hizi timu mbili za Simba na Yanga, Hivi timu kubwa zenye miaka 90 zinashindwaje kujenga uwanja hata mdogo Tanzania yenye ardhi kubwa na gharama ndogo za ujenzi?! Au umasikini wa watanzania unatafsiriwa kwenye hizi timu pia?
Huwa nasikia watu wanaziita timu kubwa au kongwe lakini siwelewi wanamaanisha nini, au huo ukubwa/ ukongwe wanaomaanisha ni wingi wa mashabiki na watu maarufu walio wanachama wa hizi timu wanaopigana vijembe?
It doesn't make any sense.
Huwa nasikia watu wanaziita timu kubwa au kongwe lakini siwelewi wanamaanisha nini, au huo ukubwa/ ukongwe wanaomaanisha ni wingi wa mashabiki na watu maarufu walio wanachama wa hizi timu wanaopigana vijembe?
It doesn't make any sense.