Ukubwa na kukubalika kwa CHADEMA leo hii

Ukubwa na kukubalika kwa CHADEMA leo hii

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ni matokeo ya uzalendo usio na shaka, ustahimilivu, uvumilivu, kujitolea bila kujibakiza, mipango na mikakati imara kisera, msimamo thabiti usiyoyumba, kutokukata tamaa kusiko koma, kukosea na kujisahihisha, umahiri na uthubutu usiotetereka wa Statesman FREEMAN AIKAELI MBOWE, mwamba wa siasa za Tanzania.

Akukaribishe kwa mikono miwili, halafu from no where uje umuyumbishe kwa hila na tamaa zako? Thubutu..

Kiongozi huyu wa Kitaifa apewe Maua Yake tafadhali...
 
Pamoja na yote Ikulu Mutapasikia hadi Nkiyama, mumeshindwa kujiletea maendeleo nyny wenywe muweze kuleta ya nchi?
 
Pamoja na yote Ikulu Mutapasikia hadi Nkiyama, mumeshindwa kujiletea maendeleo nyny wenywe muweze kuleta ya nchi?
kwenye bandiko kuna ikulu mkuu!
au unavibrate kumaanisha kutishika na huyu nguli
 
ni matokeo ya uzalendo usio na shaka, ustahimilivu, uvumilivu, kujitolea bila kujibakiza, mipango na mikakati imara kisera, msimamo thabiti usiyoyumba, kutokukata tamaa kusiko koma, kukosea na kujisahihisha, umahiri na uthubutu usiotetereka wa Statesman FREEMAN AIKAELI MBOWE, mwamba wa siasa za Tanzania.

akukaribishe kwa mikono miwili, halafu from no where uje umuyumbishe kwa hila na tamaa zako? Thubutu...

Kiongozi huyu wa Kitaifa apewe Maua Yake tafadhali.....
Mungu ibariki CHADEMA[emoji173]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na yote Ikulu Mutapasikia hadi Nkiyama, mumeshindwa kujiletea maendeleo nyny wenywe muweze kuleta ya nchi?
Ubongo wako una umeme kidogo.Hii ni nchi utakufa utaiacha sasa hicho kiama utakionea wapi?.Au unatapa tapa ndugu chawa?
 
Ni matokeo ya uzalendo usio na shaka, ustahimilivu, uvumilivu, kujitolea bila kujibakiza, mipango na mikakati imara kisera, msimamo thabiti usiyoyumba, kutokukata tamaa kusiko koma, kukosea na kujisahihisha, umahiri na uthubutu usiotetereka wa Statesman FREEMAN AIKAELI MBOWE, mwamba wa siasa za Tanzania.

Akukaribishe kwa mikono miwili, halafu from no where uje umuyumbishe kwa hila na tamaa zako? Thubutu..

Kiongozi huyu wa Kitaifa apewe Maua Yake tafadhali...
Kwani nani anaikubali chadema hasa mwenye akili timamu zaidi ya wapiga makelele tu. Umeshaona Kuna proffesor hata mmoja amejiunga na chadema mbali na marehemu Baregu
 
Kwani nani anaikubali chadema hasa mwenye akili timamu zaidi ya wapiga makelele tu. Umeshaona Kuna proffesor hata mmoja amejiunga na chadema mbali na marehemu Baregu
kwahiyo prof. Lwaitama na Safari huwaheshimu eeh?
 
Chadema wakiona polisi

 
Back
Top Bottom