"Ukubwa" na "Ubora" maneno yanayotumiwa vibaya na wanazi wa Simba

Na waliokuwepo wakafa kiume
Simba ni timu kubwa, Al Ahly, Al Hilal, Wydad na Mamelody wanajua muziki wa Simba, siyo mchezo.
Hiyo rekodi Utopolo hawawezi kuivunja. Al Ahly wanakuja bongo kucheza na utopolo tuone nao.
Utopolo ni Azam iliyochangamka
TP mazembe ameenda kucheza AFL halafu utopolo hakucheza. 😁😁😁😁😁
Wenzako wapo CUF Champion League wanacheza mpira wewe upo league walioshindwa halafu unapewa medali unashangilia unajiona aliyecheza Champion League km anapoteza muda wakati hiyo kwako ni ishara mbaya. Timu bora inachezaje looser's cup halafu bado mnafurahi?Sasa hivi mnaionea wivu Simba. 😀😀😀😀😀
Sehemu ambapo Simba yupo, Utopolo hagusi.
Mfano hai
1. Kipindi Simba anacheza loosers' Cup mpk robo, Utopolo alicheza mechi 2 tu akatolewa
2. Kipindi Simba anacheza Champion League mpk robo fainali, utopolo alikuwa anacheza loosers' Cup mpk akapewa medali ya tuzo kuwa yeye Looser mkubwa sana hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Ukitaka kuona Al Ahly, Mamelod, Al hilal au Wydad wakicheza loosers' Cup, kuna watu watafukuzwa kazi kwenye timu.
3. Sasa hivi Simba amecheza AFL, Utopolo yupo nyumbani anapambana na ihefu.
Yanga ni Azam iliyochangamka
 
Ongeza sauti
 
Wala usingejisumbua kuwafafanulia ni jambo ambalo kwa wenye akili timamu tunalijua, lakini vilaza wa mtaa wa pili uwa wanajifurahisha wakikutana kwenye vijiwe vya kahawa wanapeana moyo uko weee but ukiwaambia tupeni vigezo vinavyowafanya nyie mjiite wakubwa wanabaki wamekodoa macho tu🥺🥺
 
Timu imeshia ilipoanzia Mwakarobo Nyosso kweli kweli
 
Ukicopy kitu kwa hao vilaza wa insta,uwe unawatag kuwapa shavu....copy and paste hii TAKATAKA[emoji86]
 
Reactions: Tui
Ukicopy kitu kwa hao vilaza wa insta,uwe unawatag kuwapa shavu....copy and paste hii TAKATAKA[emoji86]
Nilishangaa huyo ubin wa kike aweze kuungaisha sentensi!
 
baelezeeee baelewa batoto ba aden rage
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…