Ukubwa wa Chama siyo Idadi ya Wanachama wala wingi wa Mali Bali kuwa na Hazina ya Fikra Vichwani mwa Viongozi, Je CHADEMA ni Chama kikubwa?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ili uelewe vizuri iangalie ACT Wazalendo inayounda Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ina Wanachama wangapi na vitega Uchumi gani?

Ukubwa wa Chama Cha siasa ni Hazina ya Fikra vichwani mwa Viongozi na akilini mwa Wanachama

Nimefurahia yale Mapokezi ya Tundu Lisu pale Mahakama Kuu lakini zaidi amenifurahisha Jinsi alivyoufafanua Uamuzi wa Jaji kwamba Mtuhumiwa akiletwa mahakamani Kitu Cha Kwanza kinachoangaliwa ni "HAKI ya Uhuru Wake"

Hili jambo litasaidia sana Siku za mbeleni Kwenye mambo ya dhamana

Huu ndio Ukubwa wa Fikra

Mlale unono 😀
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
CCM imekosa great thinkers. Rejea utafiti huu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…