Dogo anakula unga balaa, hajapumzika mziki wala nn yupo kwenye vituo vya kulelea mateja..Tatizo mvuto cuz wote wanaimba kitu ki1
N just alitangaza kupumzika kuimba mwanzo wa mwaka nahisi ndo vile alikua na depression n mambo ya ndoa yakaja ingia baadae lkn nahisi 2020 anarudi kuna rumors za new music.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watanzania watu hatari sanaDogo anakula unga balaa, hajapumzika mziki wala nn yupo kwenye vituo vya kulelea mateja..
Hajapumzika muziki how ebu nipe nyimbo yake yoyote recently!!!!!Dogo anakula unga balaa, hajapumzika mziki wala nn yupo kwenye vituo vya kulelea mateja..
Nimekwambia dogo kaathirika na utumiaji wa madawa ya kulevya, kama chid benz ndiyo maana huwezi kumwona akitoa new songHajapumzika muziki how ebu nipe nyimbo yake yoyote recently!!!!!
Najua ni wengi huwa tunajiuliza swali hili la
kwanini Justin Bieber alikuwa anachukuliwa
kwa ukubwa ule licha ya kuwapo pure talents
kama Jason Derulo & Chris Brown ambao
kimsingi hawagusi hao jamaa hata kuwa
karibia tu.
Bieber hajapotea kapumzika coz alisema na ni mwanamziki mzuri sana
Je, ni michezo ya kisiasa? (Polimusics (musics politics))
Maswali ni mengi naomba mwenye uelewa atujuze kunani behind Justin Beiber na kwanini amepotea now?
Karibuni.
Kiaje kuwa dogo hatumii madawa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watanzania watu hatari sana
La drugs alishalisema mwenyw na toka yuko na 19yrs ndo alinazaNimekwambia dogo kaathirika na utumiaji wa madawa ya kulevya, kama chid benz ndiyo maana huwezi kumwona akitoa new song
Hahahaha usilolijua.....Sasa wewe uko huko Chunya... Unaaccess na Azam tv tu. Anachokifanya Tylor Swift Marekani unakipata saa ngapi..
Just admit You don't know.
Me nakuona kama wewe ndie wa kolomije unayejaribu kuuvaa udarisalama,Aisee ..wakati mwingine JF huwezi amini wanachoandika..
Yani huu uzi utafikiri woote waliochangia ni wakolomije..
Bieber mnachukulia poa!! Hamamjui aisee...na bila shaka pia nyimbo zake hamzijui.
Jay Z alikaa kimya miaka mi4 kabla ya kutoa album yake ya 444 lakini alikua bado anaskika..the same kwa Bieber bado anaskika kwenye vi'collabo kama hiki'I dont care'so hajapoteaUwe na wakati mzuri..
kwamba chriss & derulo ni ujinga!!!!!beiber usimfananishe na ujinga
lakini pia Michael angelikuwapo basi angekua zaidi ya hapo tho sipingi point yako uko sahihiYote tisa kumi ni Taylor Swift amevunja record ya Michael Jackson kwenye Amercan Music Awards kwa kua na jumla ya tuzo 29 na MJ alikua na 24,
Yaan Taylor, like for real??
Anyway kila nchi na mkali wao so hata Bieber unaweza usione ukali wake lakini ndie anakimbiza.
kiasi hili lina ukweliMuziki ni biashara inayosimamiwa na makampuni makubwa yanayowekeza fedha nyingi yakilenga kupata faida hivyo basi masuala ya talent ni irrelevant kabisa.
Thats why WCB wamefanya mtu kama QUEEN DARLIN umjue na anapiga showa kama kawaida ili hali kuna pure talents zinakuwa wasted, the same applies to HARMONIZE, kwanini ulimsikia kila siku HARMONIZE kushinda watu ambao talents zao hazina mashaka kama Barnaba Boy na BELLE 9?
Jibu ni hilohilo moja kuwa uwekezaji unaofanywa na kampuni husika inayomsimamia mwanamuziki huchangia sana kwenye sanaa ya msanii husika.
wengi wanaimbia mademu na bado wanachakaaBieber anapendwa na mademu,ukitaka kuwin game imbia mademu
nadhani unakumbuka beiber alitoka kipindi Sean Kingston ndo kinda anaye sumbua ,ingekua suala ni udogo tu Mbona Kingston kapoteaAlibebwa na udogo wa umri wake!
leta facts wacha mboyoyo mingiAisee ..wakati mwingine JF huwezi amini wanachoandika..
Yani huu uzi utafikiri woote waliochangia ni wakolomije..
Bieber mnachukulia poa!! Hamamjui aisee...na bila shaka pia nyimbo zake hamzijui.
Yote tisa kumi ni Taylor Swift amevunja record ya Michael Jackson kwenye Amercan Music Awards kwa kua na jumla ya tuzo 29 na MJ alikua na 24,
Yaan Taylor, like for real??
Anyway kila nchi na mkali wao so hata Bieber unaweza usione ukali wake lakini ndie anakimbiza.
sawa mkuu nimekusomaMT. :4:8
Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mlima mrefu mno, akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake,
MT. :4:9
akamwambia, Haya yote nitakupa, ukianguka kunisujudia.