Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Wasalaam wakuu,

Siku kadhaa zilizopita niliandika uzi hapa nikiomba ushauri kuhusu mtu anayeweza kunisaidia kumtibu mume wangu maradhi ya ukhanithi wa kurogwa.

Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Nimepokea meseji kutoka kwa watu mbalimbali wakinielekeza nijaribu kuwaona waganga, masheikh na wachungaji mbalimbali.

Ila katika watu wote nilioelekezwa kuwaona ni huyu Mganga anaitwa " Mwandulami " ndio amependekezwa na watu wengi sana.

Nimeelekezwa yupo Njombe na ni wa uhakika na ukweli sana na amesaidia watu wengi sana.

Ninataka kufunga safari kwenda kumuona. Kwa mnao mjua vizuri huyu Mwandulami naomba mnipe maelezo yake tafadhali.

Ninataka kabla sijaenda kumuona nijiridhishe kwanza.Najua hapa JF kuna watu wengi sana na nnajua watakuwepo ambao wameisha kutana na Mwandulami.

ASANTENI SANA.
nenda kanda ya ziwa sana sana visiwa vya ukelewe
 
Asante sana kaka kwa ushauri wako. Je gharama zake zikoje ? Na je sio aina ya waganga wanao taka kufanya mapenzi na wateja ?
Ufanye ushetani wote uliomfanyia mumeo ushindwe kutoa penzi kwa sangoma ili mumeo apone? Haupo serious
 
Kwa hiyo unataka ukatuulie Mwandulami wetu? Pambana na hali yako mama uliyataka mwenyewe!! Huyo mganga aliyemfunga usimtishie fedha mwambie uko tayari kumpa papuchi ili amfungue Serengeti boy wako!!
Ha haa atawaua waganga wote wataisha.
 
Ipo hivi akienda kwa mganga sio kwamba anaenda kumfanya kuwa mungu wake bali anaenda kupata tiba kama mtu akienda hospital tu
Alafu tabia ya kujikuta malaika kama hamjawai kwenda kwa waganga n unafki ulio kubuhu kila mtu anajikuta mtakatfu umu eenh??

Sijui kuhusu uyo mganga ila tafuta mganga wa uhakika au nenda ata apo tanga ukipata tiba mshukuru then endelea na iman yako ata Mungu mwenyew atakuelewa

Hasa nyie wanawake mnamuona mwenzenu mzambi saana wangap umu wametoa mimba

Achen unafik kama hamuwez cha kumshaur n vyema mkae kimya tu
 
Mpigie 0754521512 Anthony Mwandulami. Mimi ni ndundami wake. Karibu
Cc:[HASHTAG]#fatmapazi[/HASHTAG]
 
Ufanye ushetani wote uliomfanyia mumeo ushindwe kutoa penzi kwa sangoma ili mumeo apone? Haupo serious
Mkuu hapo kuna gunia la kilo 200 lenye misumari, tushukuru Mungu hatujakutanishwa na watu wa namna hii katika ndoa aisee.. Ni ile type ya watu akiamka asubuhi na kikohozi anadhani jirani kamtupia kitu usiku.
 
Uzi huu tushawajua wachawi kina nani pamoja na washirikina mmoja wapo Huyu....[HASHTAG]#lakisipesa[/HASHTAG]...

Ova
 
Mkuu hapo kuna gunia la kilo 200 lenye misumari, tushukuru Mungu hatujakutanishwa na watu wa namna hii katika ndoa aisee.. Ni ile type ya watu akiamka asubuhi na kikohozi anadhani jirani kamtupia kitu usiku.
Teh mi hata siamini hii story ingawa haya mambo yapo.
 
Hivi Mwandulami si ndio huyu tunapata smg zake kila siku!?..
 
Je unayo roho ngumu.

Fanya hili zoezi.

Chukua mayai viza matatu nenda baharini usiku wa saa sita yatupe kila moja halafu na wewe ingia ndani ya maji kwa mfumo wa kujirusha mithili ya mtu anayeogelea. Utatokea maeneo ya kuzimu hapo unaweza kuonana na mheshimiwa Lucifer mkazungumza.
Au nenda malawi na Nigeria lazima utafunguliwa tu. Hakuna kinachoshindikana duniani. [emoji4]
hahaaa hii chain kweli noma ..Lucifer aache kuwa busy na kumleta ant crist aanze kuhangaika na matatizo ya watu ya kujitakia kama haya ....
 
POLE....mwandulami namfahamu vizuri yupo mtwango njombe ni maarufu ila ni tapeli utapigwa pesa mpaka ukome.wenyeji wapale wanamwogopa sna sbb ya vituko vyake vya uchawi uchawi na mazingaumbwe.nakushauri tu uende kwa wachungaji hilo tatizo lako ni ndogo Mungu anaweza kukusaidia hakuna mwngne awezaye zaidi ya MUNGU kwngne nikupoteza pesa zako bure na mda
Hakika mungu ni the best.
 
Sitashangaa kama kuna Watu wataingia Kingi kwa Utaperi wa mtoa mada!
 
haha eti Yesu amekuponya!...ingekuwa kweli mahospitalini kusingekuw na wagonjwa!
Sio kila aombae hupona wengine wanaomba bila imani, hata hospital Sio wagonjwa wote wanapona, imani yako ndogo amini mungu anaweza kwa wale waaminio.
 
Waulize waliokuwa wakusanya kodi (Idara ya mapato kama sijakosea) toka Iringa miaka ya 1990, wanaweza kukwambia ubaya na uzuri wake nawe uamue kusuka ama kunyoa
Walikuwa wanamtoza ushuru wa mashine yake ya kusaga pale kijiji cha Wangama - mtwango!
 
Wasalaam wakuu,

Siku kadhaa zilizopita niliandika uzi hapa nikiomba ushauri kuhusu mtu anayeweza kunisaidia kumtibu mume wangu maradhi ya ukhanithi wa kurogwa.

Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Nimepokea meseji kutoka kwa watu mbalimbali wakinielekeza nijaribu kuwaona waganga, masheikh na wachungaji mbalimbali.

Ila katika watu wote nilioelekezwa kuwaona ni huyu Mganga anaitwa " Mwandulami " ndio amependekezwa na watu wengi sana.

Nimeelekezwa yupo Njombe na ni wa uhakika na ukweli sana na amesaidia watu wengi sana.

Ninataka kufunga safari kwenda kumuona. Kwa mnao mjua vizuri huyu Mwandulami naomba mnipe maelezo yake tafadhali.

Ninataka kabla sijaenda kumuona nijiridhishe kwanza.Najua hapa JF kuna watu wengi sana na nnajua watakuwepo ambao wameisha kutana na Mwandulami.

ASANTENI SANA.
Ningeweza kukusaidia Kma ningekuwa najulikana ila cjulikani...mimi ni kivuli tu...hata watu wengi humu ndo wanajua leo kwamba mimi ni kivuli
Nilikufa muda sana ila nina uwezo wa kukusaidia tatizo mwili sina.

Nawaza sana kukusaidia...

Nenda PCC Segerea ...nyuma ya Sheli ya Oilcom
Mullize Mchungaji Mmoja anaitwa Jonathani Shemuhambu

Ni bingwa wa kuombea wenye Magonjwa sugu...
Atakusaidia haraka nenda Jmos saa tatu asubuhi.

Sijui kma utawahi...

Ni kituo kimoja kabla ya Segerea mwisho.
Uelekeo wa seminar...
Ulizia bodaboda watakionesha.


Ukizidiwa tutafutane.....kule Tutakakokuelekeza....
 
Back
Top Bottom