Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Yawezekana humu tupo na majini na viumbe vya ajabu sana tunachangia navyo mawazo
 
Hao waliokwambia uende kwa mwandulami wote lao moja wanakamisheni hpo ukienda utapigwa Pesa kisha madalali wanapewa chao
 
usisubiri kuombewa.....ongea na Mungu wako....alie hai na mwenye kuhurumia......hakika yeye ni maji kwa mwenye kiu.....mmeo atapona.........ongea nae ndiye mganga wa kweli huyo.....
 
mwandulami n tapeli hana chochote
aliekufa mwakipande ndio alikuwa noma
kanda ya kusini utajiri wao n wa kichaw chawi 90% yaan unakuta MTU n tajiri ila kavaa minguo chakavu yenye chawa
Matajiri lakini wanalala chini,bila kusahau kufuga manyoka ndani
 
Ulaaniwe tena ulaaniwe mara1000 kwa ulichomfanyia huyo mtoto wa mwanamke mwenziyo kama hii hadithi ni ya kweli
 
Mleta uzi hivi upo serious na hilo tatizo la mwenzio au kuna kitu unafanya humu?
 
Fatma Pazi
Mwandulani Orignal anafunguka toka Njombe kuhusu hospitali yake na mipango yake siku akiaga dunia.

Source : matukio daima
 
Nauli Dar Njombe ni elfu 28!Mabasi yanayoenda huko ni Nyagawa,Njombe express,Luwinzo!Kwa Mganda mwandulami ni kijiji kinaitwa Wangama Kona!
Kazi kwako mkuuu
 
Hizi ni story kama story nyingine tu, mtu mwenye imani za kishirikina hawezi andika vizuri kiasi hicho, hujakosea hata sehemu moja!!
 
Story ya kutunga hii...

Haikuwa na haja kueleza all process za kichawi zilizomfanya mumeo hanithi...
 
Huwa tunahadhiwa kuwa kuna wanawake ni shetani, mtoa mada ni mmoja wapo.
Umeingia ushirikina na umeelezea in detail namna ulivyomfanyizia huyo bwana, halafu eti una tafuta msaada!
Wacha huyo bwana afe kulipia dhambi ya kupenda vya bure, ila kama roho amekutembelea maombi na kutubu ndio salama yako.
Otherwise kilichompata huyo bwana hakiko mbali kukupata na wewe.
 
Walikuwa wanamtoza ushuru wa mashine yake ya kusaga pale kijiji cha Wangama - mtwango!


Nasikia walifika pale saa mbili asubuhi wanataka records za makusanyo yake, akawakaribisha sebuleni akawapa vitabu vyake vya mapato na matumizi, akaondoka kwenda kuendelea na kazi zake, na wao wakapitiwa usingizi mzito pamoja na dereva wao kwenye gari hadi jioni wanazinduka hawajasoma hata mstari mmoja kwenye vitabu vya hesabu zake
 
Mungu tunamwamini na waganga tunawaamini wako kwa ajili ya kusaidia watu


Kuna shhida Mkuu, tunamwamini Mungu lakini kinachoshangaza ni pale wale wanaotuombea kwa Mungu, unasikia nao wanakwenda kwa waganga kuchukua nguvu za kushindania vyeo
 
Na ww jifunge usiwe na hisia halafu muishi wote

Bila hivyo utalaaniika
 
Ebu nitafute kuna mganga mmoja yupo iringa maeneo ya dabagaa n balaa
 
Mwandulami amenisaidia sana nenda dada utasaidiwa na tatizo lako litaisha...biashara zangu zilikuwa haziendi vizuri baada ya kwenda kwake sasa hivi mambo yko safi kabisa
Ndugu acha ulozi na uchawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…