Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Nauli Dar Njombe ni elfu 28!Mabasi yanayoenda huko ni Nyagawa,Njombe express,Luwinzo!Kwa Mganda mwandulami ni kijiji kinaitwa Wangama Kona!
Kazi kwako mkuuu
Akienda kwake nae akifa je ,nyie wakinga mtapata wapi mwandulami mwingine?
 
VIP ajafungiwa kama kina mwaka na mandai
 
jamaa kapigwa ban inabibi apelike tangazo kwa shigongo lla ni mbunifu
 
jamaa kapigwa ban inabidi apeleke tangazo kwa shigongo lla ni mbunifu
 
Huyu munga aliwahi kutoa tangazo lake kwenye blog ya mpekuzi au udaku special nikampia akasema yuko Pangani, keaho yake nikampigia niende Pangani akaniambia anaelekea Tanga airport akielekea dar na akaniambia nimkute Ramada ndipo nilipompotea, na nilihisi kuna utapeli fulani, nashukuru mungu sikwenda kumuona.
 
Biashara matangazo, ni wakati sasa Wa waganga Wa kienyeji na utapeli kutumia akili kama hizi kupata pesa. Wenye akili tushakusoma, but you are so creative.
 
Bora wamekupiga ban kwa kuwa inaonekana hapa unafanya promotion ya kutapeli watu. Sasa tukiamua kukurukia katika kimfumo tutakukamata. Jua hapa JF wapo watu wa kila utaalam na kila kazi na kukupata ni sekunde tu. Acha kabisa tabia hii. Unataka kuaminisha watu eti kununua vifaa vyote hivyo vya uganga kwa kazi ya kutia mtu uhanithi? Ili tu uwalie watu pesa. Sasa wewe kama umetumwa au kama ndiyo mganga mwenyewe sasa bora uache kabisa. The system is at work na serikali ya awamu ya Tano hata haya ya kuibia wananchi yanapewa kipaumbele. Kajipange upya. Sasa tutatumia undercover wateja ili watusaidie ukamatike vizuri sana. Huna adabu kabisa. Hivi si ndiyo wewe ulikuwa unaulizia mganga wa Iringa ili ukamtibu mume? Angalia sana wewe unayejificha kwa jina la Fatuma Pazi. Angalia usifanywe Panzi.
 
Yaani unamtaka mtu eti anunue mara kasuku, mara dume la ng'ombe maksai, mara kenge, mara jogoo, mara ushenzi gani hizo hela unataka kumtapeli kiasi hicho umemsaidia kuzalisha? Nitawasiliana na mmiliki wa Forum atakupiga Ban ya maisha na ID zako zote pamoja na hao wote wanaokufanyia promotion. Halafu una ID zaidi ya moja hapa na zote ni za kutapeli kupitia waganga. Nimeanza kukufanyia kazi.
 
Hakuna zaidi ya kumrudia Mungu wako.
Hakuna mganga zaidi ya Mungu, okoka, tubu na ukiri!!
Ni kweli apa Mungu ndio kila kitu.

kwanza kuvunja /kutengeua hili agano: ukili kosa muambie ukweli mumeo na muombe msamaha. Pili mrudie Mungu ndani ya mda mfupi atafunguliwa! "Kila lenye mwanzo lina mwisho, usiogope usikate tamaa"

Mimi sio muhumini mzur ila natambua kuna jina moja lina nguvu kuliko yote Yesu/Jesus. binafsi nishawai kusubir kufa lakini nikapata uzima sitosahau ilo... nilikiri nikapona, nikafanikiwa hadi leo nipo hai!

"ukiita ataitika, ukigonga utafunguliwa" ebu fanya kweli, usijaribu.
Anajua tayar shida zenu, anawasubur atawapokea ... (Yesu)

Nakutakia kila la kheri, akishapona rudi apa uwambie yaliokutokea na wengine.
 
Baadae Yule bibi akamkabidhi mganga ule mti halafu akachukuliwa nyoka ambae ameuwawa akachanganywa kwenye ile damu ilyo kuwa kwenye chungu pamoja na dawa kisha vikachemshwa mpaka vikawa jivu.


(Siku hizi vitu vikichemshwa sana vinakuwa jivu ee)
jolie unavuta picha jiko la gesi ? [emoji14]

*kumbuka kwa Mganga (full mauza uza)
 
"Duh... hii inaitwa kua uyaskie" [emoji87]
 
Kwa mwandiko wako huu wewe ni me,
La pili unatafuta wa kuwapiga ila ww ni bonge la mtunga story
Ni kweli bila chenga Ni maelezo ya kiume hayo, labda ni muhusika wa hii story kama pia ni kweli (muhenga)


*Kuangalia movie kuna tusaidia wahenga
 
Kwa hiyo umeanza pia kumpigia Chapuo Mwandulami ili mgawane pesa ya utapeli siyo? Sasa ni wakati umefika tuwapate mlipo. Siku zinakuja si nyingi. Tulia tapeli wewe. Na JF ni lazima wakufanyie kazi la sivyo tutaandamana, Na JF waache kuwalea matapeli humu maana inapoteza credibility yake kabisa.
 
Baadae Yule bibi akamkabidhi mganga ule mti halafu akachukuliwa nyoka ambae ameuwawa akachanganywa kwenye ile damu ilyo kuwa kwenye chungu pamoja na dawa kisha vikachemshwa mpaka vikawa jivu.


(Siku hizi vitu vikichemshwa sana vinakuwa jivu ee)
Hahahaahah niliona hapo nikajiuliza huo moto wa aina gan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…