realoctopus
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,232
- 1,982
Sasa na wewe mbona kama ni mchawi tuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muongo haswa kichwa cha habari ni ukubwa wa maumbile ukisoma habari yenyewe ni story ya uume kulala.Uongo
Nakupenda tu ulivyo mcha Mungu, nice one my one n' only.Hakuna zaidi ya kumrudia Mungu wako.
Hakuna mganga zaidi ya Mungu, okoka, tubu na ukiri!!
Mkuu wewe nawe ni mnajimu ninUchawi upo na usiombe upigwe jiwe kama Hilo la kuficha funguo kwenye ombwe la hewa au Maji utajuta nakwambia.
Huyo atakufa hivyo hivyo labda akagusishe dushe lake alipotokea, Yaani kama mama yake mzazi bado yupo akangonoke naye huku amefungwa kitambaa cha mabaki ya Sanda kiunoni.
Love you more my one n only!!Nakupenda tu ulivyo mcha Mungu, nice one my one n' only.