Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Kijana huyu alikuwa ndio kwanza amemaliza Chuo Kikuu so hakuwa na kazi wala shughuli yoyote ile ya maana. Mimi ndio nilikuwa namtunza na kumuhudumia kwa kila kitu.

Mwaka 2014 tulifunga ndoa ya bomani na kuanza kuishi pamoja kama mke na mume kwenye nyumba ya urithi niliyo achiwa na marehemu baba yangu.
Kwa kifupi ulioa, sawa endelea
 
Nilifika nyumbani nikiwa natetemeka kwa hasira. Bila kupoteza muda nikampigia simu mume wangu simu ikawa inaita bila kupokelewa. Nilifanya hivyo zaidi ya mara kumi na hali ikawa hiyo hiyo.
Kwanini hukusimamisha taxi umuulize instantly?
 
Mchawi anaua halafu analia kuzuga watu, ikifika usiku anenda kumla nyama.

Hivyo upo kipengele Cha pili kwenye ulozi wako.

Na huwezi kumuopoa kama utashiriki kwenye Tiba yake.

Maana wewe ndio mchawi na si huyo mganga
 
Biashara matangazo. Ingawa stori hii inafanana na tabia za wanawake; wanatenda kwanza kwa hisia ndipo wanaanza kufikiria. Hawafikirii kwanza madhara ya jambo fulani.
 
Back
Top Bottom