Ukubwa wa maumbo mbalimbali ya viumbe dhidi ya ukubwa halisi wa ulimwengu wote na vilivyomo

Ukubwa wa maumbo mbalimbali ya viumbe dhidi ya ukubwa halisi wa ulimwengu wote na vilivyomo

mkorinto

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
31,415
Reaction score
38,761
Wadau wa gt kwema???embu shirikianeni nami mara moja ktk kufikiri hili jambo.

Nimekaa nikawaza mara nyingi kwamba inawezekana kabisa the way tunaviona viumbe hai vidogo kabisa ktk microscopes na vingine vidogo lakini kwa macho ya kaida kuwa ni vidogo sana,nasi pia wapo viumbe wenye uhai wa namna nyingine tusiouhisi wanatuona hivyo hivyo.viumbe hao hao inawezekana kabisa wakawa na makazi ktk sayari kubwa ktk solar system au katika sayari kubwa zaidi ktk nyota kubwa zaidi ya jua letu ambazo nazo zina mifumo kama nyota yetu jua.

Inawezekana kabisa hao viumbe wakawa wakubwa sana kwetu kwa ratio hata ya virus na binaadam,hivyo basi wakawa na uwezo hata wa kuihamisha dunia yetu au hata jua kwa ujumla wake kama ambavyo wewe binaadam unaweza ishi nao mwilini lakini wao wakakuchukulia wewe kama nyumba tu wasijue hata unamuonekano upi??rejea bacteria na binaadam.

Eti,labda nakosea kufikiri.
 
Hiyo ni dhana fikirishi kweli, unalo liwaza sio geni Machoni au Masikioni kwa watu...!

Tunafunuliwa katika vitabu vya Dini kuwa, wapo viumbe tusio weza kuwaona kwa Macho yetu, sisi kama binaadamu.

Viumbe hao ni Majini pamoja na Malaika....na miongoni mwa Majini kuna Mashetani.!

Jaribu kupiga picha, na tuanzie hapa katika mada yako..
 
Kila kitu kinawezekana, hili li universe ni kubwa lisilo na mwisho.viumbe wenye akili kubwa,au viumbe wakubwa lakini hawana akili kutuzidi inawezekana wakawepo.
 
Wanaanga wanasema haya yote tunayoyajua yapo in a just small observable part of the niverse na si yote. Kwa dhana ya kuwepo kwa quintillions of planets in the billions of galaxies inatulazimisha tuamini si dunia tu yenye viumbe bali kuna sayari zingine zenye viumbe wa kwa namna yake na si carbonic beings kama sisi tu.
Vitabu vya dini vinatuambia kuna malaika which is another form of being in the heavens/ universe na wale wasaliti wakashushwa chini yaani hapa duniani wenye uwezo wa kusafili kwa kufumba na kufumbua macho ya kibinadamu kwenda sehemu yoyote hapa duniani, wengine wakiishi kwenye milimani (mapangoni), wengine kwenye big water bodies( baharini, ziwani, mito mikubwa) etc
Mpaaka hapa binafsi naamini wapo viumber either vyenye nguvu na maarifa kuliko binadamu, wanaotuona sisi kama sisimizi au bacteria wenye uwezo hata wa kutukanyaga kama sisi tunavyowakanyaga baadhi ya viumbe kwenye nyayo zetu.
Tufikirie wote
 
Ukiitazama dunia na system zake utahisi tu ilivyofanyika imefanyika kwa ufahamu fulani(kama ni kiumbe ndo kimeifanya dunia kuwa na hizi systems, basi ni kiumbe chenye ufahamu sana).
tunaweza kuhisi sifa za kiumbe huyo namna alivyo kwa kutizama sifa za dunia,lkn kupata picha za kiumbe/viumbe hivyo ni ngumu.
tunajaribu kuhisi tu lkn hatuna majibu KAMILI.
kwa ufahamu tulionao kama hao viumbe unaowasema wangekuwepo tungekuwa tumeshawahisi tu,hata kama wangekuwa ni wakubwa kushinda nyota.
 
Labda ni kweli ,hivi Chawa anapokuwa kwenye Mwili wa Binadam anaweza kujua umbile la Mwili wa Binadam ?.Hatupo peke yetu ktk Ulimwengu.
 
Ukiitazama dunia na system zake utahisi tu ilivyofanyika imefanyika kwa ufahamu fulani(kama ni kiumbe ndo kimeifanya dunia kuwa na hizi systems, basi ni kiumbe chenye ufahamu sana).
tunaweza kuhisi sifa za kiumbe huyo namna alivyo kwa kutizama sifa za dunia,lkn kupata picha za kiumbe/viumbe hivyo ni ngumu.
tunajaribu kuhisi tu lkn hatuna majibu KAMILI.
kwa ufahamu tulionao kama hao viumbe unaowasema wangekuwepo tungekuwa tumeshawahisi tu,hata kama wangekuwa ni wakubwa kushinda nyota.

Uyasemayo ni sahihi lakini nimewaza zaidi kuwa tunawezza kuuhisi 'upepo' kuwa upo lakini hatuuoni wala hatuwezi kuushika ,swali kwa nini tusiamini hao Viumbe wanaweza kuwepo Mkuu ?..
 
Uyasemayo ni sahihi lakini nimewaza zaidi kuwa tunawezza kuuhisi 'upepo' kuwa upo lakini hatuuoni wala hatuwezi kuushika ,swali kwa nini tusiamini hao Viumbe wanaweza kuwepo Mkuu ?..
hatuamini kwasababu hakuna sababu za kutuaminisha in reality way.. zilizopo hazijitoshelezi.
sasa wewe kwanini unataka tuamini..?
 
ha ha ha mawazo yako yananirudusha kwenye ANIMATION flan inaitwa EPIC tafuta hiyo MOVIE
 
Labda ni kweli ,hivi Chawa anapokuwa kwenye Mwili wa Binadam anaweza kujua umbile la Mwili wa Binadam ?.Hatupo peke yetu ktk Ulimwengu.
Hapo sasa mkuu,tena akiwa kichwani utosini ktk lumba la nywele.
 
hatuamini kwasababu hakuna sababu za kutuaminisha in reality way.. zilizopo hazijitoshelezi.
sasa wewe kwanini unataka tuamini..?
Mkuu hivi virus anafahamu kwamba yupo katika damu inayotiririka ktk mishipa ya kiumbe???.

Kutokufahamu kwake hakugeuzi hili jambo,yupo ktk mwili wa binaadam.so wewe huhisi kama dunia inakimbia kwa kasi ya km nyingi tu kwa saa,sababu ya udogo wako lakini kumbe ni hivyo.

Inawezekana kabisa dunia ikawa ni urembo ktk quarium ya viumbe wengine wameweka sebuleni[emoji13] [emoji13].
 
Mkuu hivi virus anafahamu kwamba yupo katika damu inayotiririka ktk mishipa ya kiumbe???.

Kutokufahamu kwake hakugeuzi hili jambo,yupo ktk mwili wa binaadam.so wewe huhisi kama dunia inakimbia kwa kasi ya km nyingi tu kwa saa,sababu ya udogo wako lakini kumbe ni hivyo.

Inawezekana kabisa dunia ikawa ni urembo ktk quarium ya viumbe wengine wameweka sebuleni[emoji13] [emoji13].
umeshawahi kuupima ufahamu wa virus ukajua hawajui au wanajua..?
Hebu fikiri system zilizopo duniani pamoja na solar system yenyewe kisha uwaze hiyo dhana yako,mwangalie binadamu na mambo yake hlf angalia na hiyo dhana yako vizuri.
 
umeshawahi kuupima ufahamu wa virus ukajua hawajui au wanajua..?
Hebu fikiri system zilizopo duniani pamoja na solar system yenyewe kisha uwaze hiyo dhana yako,mwangalie binadamu na mambo yake hlf angalia na hiyo dhana yako vizuri.
Ndio maana nikakwambia huwenda kwa udogo wake na namna anavyopata changamoto ktk maisha ya kila siku kuna utambuzi fulani amefikia,kama ilivyo kwa binaadam, telescope tunazotumia na mahesabu tunayopiga,bado kuna vitu hatujafikia hitimisho kwa sasa labda baadae zaidi tukajua mengi zaidi ya tulivyokuwa tunafikiria.
 
Mkuu hivi virus anafahamu kwamba yupo katika damu inayotiririka ktk mishipa ya kiumbe???.

Kutokufahamu kwake hakugeuzi hili jambo,yupo ktk mwili wa binaadam.so wewe huhisi kama dunia inakimbia kwa kasi ya km nyingi tu kwa saa,sababu ya udogo wako lakini kumbe ni hivyo.

Inawezekana kabisa dunia ikawa ni urembo ktk quarium ya viumbe wengine wameweka sebuleni[emoji13] [emoji13].
we jamaa aisee nishaonaga documentary kama hiyo
 
Uwezekano hui ni mkubwa sana. Huwezijua hata hii dunia huenda ni kiumbe Kikubwa mno. Sema hatujui
 
Back
Top Bottom