Ukubwa wa maumbo mbalimbali ya viumbe dhidi ya ukubwa halisi wa ulimwengu wote na vilivyomo

Ukubwa wa maumbo mbalimbali ya viumbe dhidi ya ukubwa halisi wa ulimwengu wote na vilivyomo

Hiyo ni dhana fikirishi kweli, unalo liwaza sio geni Machoni au Masikioni kwa watu...!

Tunafunuliwa katika vitabu vya Dini kuwa, wapo viumbe tusio weza kuwaona kwa Macho yetu, sisi kama binaadamu.

Viumbe hao ni Majini pamoja na Malaika....na miongoni mwa Majini kuna Mashetani.!

Jaribu kupiga picha, na tuanzie hapa katika mada yako..
SIDHANI KAMA KUNA VIUMBE KAMA HIVYO
 
HAPANA..
Coz kwa mujib wa dini na uwezo alionao bnadam c dhan km kutakuwepo viumbe vingine vyeny utashi
 
HAPANA..
Coz kwa mujib wa dini na uwezo alionao bnadam c dhan km kutakuwepo viumbe vingine vyeny utashi
Utashi kwa maana yake au utashi kuzidi binaadam??

Vyenye utashi vipo vingi,ila haufanani kwa kila kiumbe.angalia kila mnyama anatetea watoto wake wakiwa wadogo,mbele ya adui yao.
 
Back
Top Bottom