Ukurasa wa IG wa marehemu Ivan waanza kutumika

Ukurasa wa IG wa marehemu Ivan waanza kutumika

issac77

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
4,128
Reaction score
7,899
Nimechungulia page ya marehem IvanDon, cha kushangaza kuna mtu anaitumia amepost picha ....wabongo wavamia page wamwaga mapovu!

Swali; je, ni kweli yawezekana ule uvumi kuwa hajafa ikawa ni kweli sasa imeanza kujidhihilisha?

!!) Kama ameamua kuitumia ndg au moja ya wana familia, kwanini asijitokeze kuondoa sintofahamu
 
c9ada33ea97787a1670a5a9f83c83ffb.jpg
 
We jamaa nikuulize swali?? Unaona faida gani kudukua/kuiba avatar yangu aisee...Yaani hii avatar nimeibadilisha kwa kuwa mtu mwingine aliniibia nimeweka na hii na wewe umeeiba unaweka kwako kirahisi tu??

Acha usanii mkuu, Kuna mamilioni ya picha (avatar) huko lakini unaona SAWA kutumia hii ya kwangu ambayo nimeweka na jina langu kabisa...

kiroho safi nakuomba ubadilishe hii avatar kwa maana mimo nitaonekana msanii na hata sifa mbaya huku jukwaani..

Hapa JF kila mtu ana avatar yake inayomtambulisha...nakuambia hivi kwa kuwa wewe ni mgeni na hata kama ni mwenyeji umefungua ID mpya hilo jambo unalofanya ni UZINGUAJI MKUU..

ACHA WIZI WA KUIBA AVATAR ZA WATU NA KUJIFANYA KUIGIZA KUONEKANA NI MIMI

Sent from my iDevice using Tapatalk

Sent from my iDevice using Tapatalk

Sent from my iDevice using Tapatalk

Sent from my iDevice using Tapatalk

Sent from my iDevice using Tapatalk
Arudishe avatar yako sijapenda pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa nikuulize swali?? Unaona faida gani kudukua/kuiba avatar yangu aisee...Yaani hii avatar nimeibadilisha kwa kuwa mtu mwingine aliniibia nimeweka na hii na wewe umeeiba unaweka kwako kirahisi tu??

Acha usanii mkuu, Kuna mamilioni ya picha (avatar) huko lakini unaona SAWA kutumia hii ya kwangu ambayo nimeweka na jina langu kabisa...

kiroho safi nakuomba ubadilishe hii avatar kwa maana mimo nitaonekana msanii na hata sifa mbaya huku jukwaani..

Hapa JF kila mtu ana avatar yake inayomtambulisha...nakuambia hivi kwa kuwa wewe ni mgeni na hata kama ni mwenyeji umefungua ID mpya hilo jambo unalofanya ni UZINGUAJI MKUU..

ACHA WIZI WA KUIBA AVATAR ZA WATU NA KUJIFANYA KUIGIZA KUONEKANA NI MIMI

Sent from my iDevice using Tapatalk

Sent from my iDevice using Tapatalk

Sent from my iDevice using Tapatalk

Sent from my iDevice using Tapatalk

Sent from my iDevice using Tapatalk
INAONESHA KAMA NI MTU MMOJA HUYU ANATAFUTA KIKI!!!Yan muibaji na muibiwaji wote ni mtu mmoja
 
Back
Top Bottom