Ukurasa wa X wa timu ya Simba kuruhusu matangazo ya ngono katika comments

Ukurasa wa X wa timu ya Simba kuruhusu matangazo ya ngono katika comments

badison

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2015
Posts
1,450
Reaction score
2,761
Ni aibu timu kubwa kama Simba kuruhusu account zenye maadili mabovu ya picha za utupu na ngono katika comments. Simba ni timu inayoheshimiwa ndani na nje ya Nchi. Kuna watu wenye hadhi zao ni washabiki wa simba kama viongozi wa serikali, viongozi wa dini, wanafunzi wa chuo, shule nk. Inakuwaje mnaruhusu kurasa zenye maudhui ya ngono kuwekaatangazo yao kila mnapo weka taarifa au ku post kitu kwenye ukurasa wenu?

Hii inakera sana mnaleta nuksi kwenye timu ndiyo maana timu haifanyi vizuri ina mana mo dewji na wewe unaona raha kusoma komenti za maudhui ya ngono wakati wewe ni muislamu?

Huyo moderator wa simba hafai kabisa kwanza aondolewe kwanini anashindwa ku block hizo account zenye maadili ya ngono mnafundisha nini vijana wengi ambao wanaifatilia timu ya simba hapo kwenye mtandao wa twitter?

Kila mnapo weka kitu twitter lazima akaunti za ngono nazo zinitangaze kwenye comments. Huo ni USHAMBA na pia mnakosa adabu. Siwezi kuweka picha hapa lakini kwa kweli anae endesha hiyo account ya simba twitter hafai. Yani hata ukienda twitter sasa hivi soma commenti utaona upumbavu huo.
 
Picha tafadhali
.
20230529_221728.jpg
 
Sasa mtandao wenyewe ni X unategemea kuna usafi gani uko? Walioko uko wote ni X viewers 😅
 
Hata kama mimi ni yanga
Ila sijaona lawama za simba zinawakuta kwa kosa gani
 
Ni aibu timu kubwa kama Simba kuruhusu account zenye maadili mabovu ya picha za utupu na ngono katika comments. Simba ni timu inayoheshimiwa ndani na nje ya Nchi...
Hayo makundi ya wanafunzi wa vyuo, viongozi wa dini na shule ndio waangaliaji na watumiaji porn, watumiaji na wachezaji wa hizo porn alafu wewe ndio una potrey as if wao ndio kundi la kuwalinda.

THat means unapo wa exclude, unataka kusema, watu wazazi wenu, viongozi wa serikali, ndio waangaliaji?
Picha zote za x ni group gani?
 
Ni aibu timu kubwa kama Simba kuruhusu account zenye maadili mabovu ya picha za utupu na ngono katika comments. Simba ni timu inayoheshimiwa ndani na nje ya Nchi....
kichwa imejaa fikra ngono na uasherati tyuuuu......
 
Hayo makundi ya wanafunzi wa vyuo, viongozi wa dini na shule ndio waangaliaji na watumiaji porn, watumiaji na wachezaji wa hizo porn alafu wewe ndio una potrey as if wao ndio kundi la kuwalinda...
Zingatia maadili Mkuu kwani lazima yoyote anaetafuta ukurasa wa porn twitter aingie kwenye page ya simba? Sio viongozi wote wa dini wapo hivo au viongozi wote wa serikali wapo hivyo na wala sio vizuri kuwa na mtazamo hasi kuna watu wanajiheshimu sana wala hawapelekeahwi naatamanio. Mbona serikali imefungia mitandao ya porn kwa sababu kuna watu wana maadili
 
Simba sport club ni timu yenye NUKSI na wasipo badilika kuacha huu upumbavu hawatafika popote
 
Mchezo wa mpira unafanyikia
 

Attachments

  • Screenshot_2023-10-22-15-04-23-737_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2023-10-22-15-04-23-737_com.android.chrome.jpg
    178.1 KB · Views: 6
  • Screenshot_2023-10-22-15-04-00-435_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2023-10-22-15-04-00-435_com.twitter.android.jpg
    371.8 KB · Views: 6
Back
Top Bottom