Ukusanyaji duni wa mapato ya serikali

Joined
Mar 15, 2013
Posts
24
Reaction score
9
Kila mtanzania anapaswa kulipa kodi kwa ajili ya nchi yake kwa mujibu wa katiba ya nchi yetu KWA LAKINI wengine hawalipi kodi? Wapo watu ni wafanyabiashara wazuri tu lakini huwa wanakwepa kulipa kodi na serikali inabaki kukata vimishahara vya watu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…