Ukusanyaji duni wa mapato ya serikali

Ukusanyaji duni wa mapato ya serikali

Joined
Mar 15, 2013
Posts
24
Reaction score
9
Kila mtanzania anapaswa kulipa kodi kwa ajili ya nchi yake kwa mujibu wa katiba ya nchi yetu KWA LAKINI wengine hawalipi kodi? Wapo watu ni wafanyabiashara wazuri tu lakini huwa wanakwepa kulipa kodi na serikali inabaki kukata vimishahara vya watu tu
 
Back
Top Bottom