Wana JF naomba mnisaidie jambo moja. Hivi kujisajili kwa ajili ya kulipa VAT ni option? au Mandatory? maana ninachoshangaa wanotaka kusajiliwa kwa ajili ya kulipa VAT wanazungushwa sana wakati wanauza bidhaa ambazo zinalipiwa VAT?
Na pia kwa uzoefu wangu wauza mafuta ya diesel na pertol haiingii akilini kuwa hawaezi kuuza milioni ishirini kwa mwaka lakini inaonesha zaidi ya asilimia 90 ya hao wafanya biashara hawalipi VAT maana ukiangalia stakbadhi wanazotoa haioneshi kuwa wamesajiliwa na VAT.
Sasa kwa nini serikali ing'ang'anie kuwatoza kodi PAYE wafanyakazi wakati hawa wenye vituo vya mafuta wamekusanya kodi halafu hawaifikishi TRA? au hii ni biashara ya watu wa TRA? Naombeni msaaada wa mawazo
Na pia kwa uzoefu wangu wauza mafuta ya diesel na pertol haiingii akilini kuwa hawaezi kuuza milioni ishirini kwa mwaka lakini inaonesha zaidi ya asilimia 90 ya hao wafanya biashara hawalipi VAT maana ukiangalia stakbadhi wanazotoa haioneshi kuwa wamesajiliwa na VAT.
Sasa kwa nini serikali ing'ang'anie kuwatoza kodi PAYE wafanyakazi wakati hawa wenye vituo vya mafuta wamekusanya kodi halafu hawaifikishi TRA? au hii ni biashara ya watu wa TRA? Naombeni msaaada wa mawazo