Siachi hela
Senior Member
- Jun 17, 2022
- 136
- 248
Asante kwa maon mkuu, ila nyumba ni ya muda mrefu lakini hali hii imeanza kutokea mwaka jana.Ardhi yako itakua na unyevu mwingi
yawezekana ni ukungu hapo..hizi kampuni za rangii zina suluhisho kabla hujarudia rangiAsante kwa maon mkuu, ila nyumba ni ya muda mrefu lakini hali hii imeanza kutokea mwaka jana.
Ok, asante kwa ushauri mkuu.yawezekana ni ukungu hapo..hizi kampuni za rangii zina suluhisho kabla hujarudia rangi
Shukran sn mkuu, wazo lako ntalifanyia kaziInawezekana sehemu uliyojenga ardhi ina maji mengi yanayopanda na ukuta. Kuna dawa wanayo watu wa Nabaki Africa ya kuzuia hiyo hali. Ni kama cement hivi ukienda wanaweza kukusaidia.
Tunatatuaje shida hii mkuuFangasi
Kwa nje hakuna changamoto kbs, rangi iko sawaa kabisa, shida imo ndani tuHebu piga picha ya nje ya nyumba ukimuliza eneo la msingi wa ukuta wa nyumba
Wadau naombeni msaada juu ya ukuta wangu huu umeharibika vibaya na kila siku eneo la kuharibika linaongezeka.
Naomba kufahamu sababu na suluhisho la hali kama hii. Nimeambatanisha picha ya hali ilivyo hapa chini.View attachment 2368413View attachment 2368414
Nimepokea ushauri wako mkuuPiga tiles tu hapo ukutani, uje kunishukuru
Kama kuna bomba la maji limewekwa ndani ya ukuta basi litakuwa linavuja. Leta fundi atindue ukuta ili azibe hilo bomba.Wadau naombeni msaada juu ya ukuta wangu huu umeharibika vibaya na kila siku eneo la kuharibika linaongezeka.
Naomba kufahamu sababu na suluhisho la hali kama hii. Nimeambatanisha picha ya hali ilivyo hapa chini.View attachment 2368413View attachment 2368414