Ukutane na picha hii njiani usiku.
Ehhhh,
ni nzuri ila inatisha umeipata wapi?
Hii imekaa kama Wakenya vile ......... nafwa mwenzenu, scud hizo............
Mi nitamsalimia kwa kumkumbatia kabisa ili ajue na mimi nimedata kwa sababu ya mshahara mdogo unaoishia dukani kwa Mangi.
Sio linanyemelea TG babangu!Sikonge usiogope sana linanyata linataka kukamata mafisadi.
Sio linanyemelea TG babangu!
Ukutane na picha hii njiani usiku.
Ehhhh,
Fidel kama nakuona vile na mwendo wako wa kunyatanyata.....LOL!
NGULI ni BODY tu ila ndani ya body kuna FRAME a.k.a FIDEL (skeleton)...,teh teh...