Ukutane na Avatar hii ya FIDEL njiani

hehehehe mzimu huo wana kunyata nyata yaani kama unavizia kitu vile yap yap weweee lazima kitu kigonge jmosi na kurudi ndani hahahaha
 
Hii imekaa kama Wakenya vile ......... nafwa mwenzenu, scud hizo............
 
Mi nitamsalimia kwa kumkumbatia kabisa ili ajue na mimi nimedata kwa sababu ya mshahara mdogo unaoishia dukani kwa Mangi.
 
ukikutana na hii picha usiku unaweza kujinyea au kujisikia.
 
Mwanzoni alikuwa mnene kama AVATAR yangu akadhulumu mali za walalahoi na walala-uhiii na sasa ndio hivyo tena....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…