njia ya kwanzakuondoa lala chali hutakionaHiki kitambi kinanifanya hadi najichukia [emoji24]
Dah nitajaribu nione maana [emoji22]njia ya kwanzakuondoa lala chali hutakiona
pili pendelea kutumia ukwaju kila siku kwa mda wa mwezi utaona mabadiliko
Dah hii ni kisayansi au?Na kuna wadau walishaeleza kwamba kitambi some time ni mlundikano wa kinyesi tumboni kwa uvivu wa kwenda chooni au kula mfululizo ..
Uliipata wapi na mie nikanunue!!...hili tumbo litoke!..Nina green tea ina miezi minne kila nikiwaza kuinywa nikiwaza shughuli yake na muda wa kuinywa mpaka vitu vyote viishe nashindwa. Nitajaribu juice ya ukwaju.
Naiandaaje kwanza?
Chinese shopsUliipata wapi na mie nikanunue!!...hili tumbo litoke!..
Kwa Dsm any reference!!?..Chinese shops
Supermarket
Healthy food shops
Mkuu mwambie kabisa akinywa hyo juice nusu lita afunge msuli na asikae zaidi mita kumi kutoka choo kilipondo hvyo mkuu we kama unakitambi ebu asubuhi jilazimishe kunywa Nusu lita ya juisi ya ukwaju ulotengeza mwenyewe alafu njo hapa utupe mrejesho wake...
sina maana kitambi kitaisha laa lakini ukifika toi yani ukisema upanue miguu tu mambo hayo yanatoka ...
na ukisema ujikamue aaaaahhh kama unakojoa mkojo mkuu yani mwemweree kabisa
Hahaha, umenichekesha sana kiongoziWachina wana massage tumbo mpaka mafuta yanayeyuka lakini haja inaweza kuanzia kwenye kitandani cha massage
hivi form four mmeshaanza project mkuu! Na huu ndio utafiti wako kuhusu kitambi.... shenz typeNa kuna wadau walishaeleza kwamba kitambi some time ni mlundikano wa kinyesi tumboni kwa uvivu wa kwenda chooni au kula mfululizo ..
Nitajitahidi kuinywa japo inaboa.Green tea ni nzuri sana. Usifatishe taste yake.
I like to take a cup with every meal and in between na alternate na detox water.
Kazana, ina benefits kibao. Na unaweza kuikamulia ndimu hiyo green tea.
Angalizo, nikiinywa on an empty stomach lazima nitapike.
I am very serious. Ukwaju ni mzuri sana kwa kutibu ini na hata kuondoa constipation lakini kwenye mambo mengine una madharaHow?
Haupo serious!
Na kuna wadau walishaeleza kwamba kitambi some time ni mlundikano wa kinyesi tumboni kwa uvivu wa kwenda chooni au kula mfululizo ..
Hiyo hoja na mimi nimeishangaa sana mkuuHeheh hizi sayansi mwitu hizi...
Kwa hiyo kitambi ni furushi la mavi tumboni sio!!!
Una maana wenye vitambi yale ni mavi yameganda tumboni.kitambi kinapunguzwakwa njia nyingi tu.
mwingine anaweza akafanya mazoezi na asipungue kisha akapungua kwa mkopo..
mwingine anapungua kwa maji mengi na wengine wanapungua kwa kwenda chooni sana..
Muhimu kitambi mara nyingi ni kinyesi kilichoganda masiku tele ..
haiwezekani mtu awe na kitambi kisha tuseme sio mabaki ya chakulbali mafuta tu...sasa hayo mafuta yametlkana na nini kama sio chakula ambacho kilibakia bila matumizi ??
ukila ukwaju unaenda kusafisha utumbo mpana na kukwangua mauchafu yote japo sio kwa siku moja au wiki bali tumia mfululizo
KITAMBI ASILIMIA KUBWA NI MLUNDIKANO WA KINYESI TUMBONI...U
Una maana wenye vitambi yale ni mavi yameganda tumboni.
asilimia kubwa iko hvyo mkuu...U
Una maana wenye vitambi yale ni mavi yameganda tumboni.