kalikumutima
Senior Member
- Oct 9, 2014
- 147
- 46
Naleta kwenu wazo la biashara.Naomba mtu ambae anaweza akapata soko la uhakika la ukwaju wa asili tufanye kitu cha maana kuna sehemu nimepita nimekuta upo wa kutosha.
Nikajiuliza akina Azam wanapiga hela kwa ukwaju wa kuweka flavour tu,je kikiwa kitu asilia?!karibu kwa kuboresha wazo langu
Nikajiuliza akina Azam wanapiga hela kwa ukwaju wa kuweka flavour tu,je kikiwa kitu asilia?!karibu kwa kuboresha wazo langu