kalikumutima
Senior Member
- Oct 9, 2014
- 147
- 46
Kilo shilingi ngapi???Naleta kwenu wazo la biashara.Naomba mtu ambae anaweza akapata soko la uhakika la ukwaju wa asili tufanye kitu cha maana kuna sehemu nimepita nimekuta upo wa kutosha,nikajiuliza akina Azam wanapiga hela kwa ukwaju wa kuweka flavour tu,je kikiwa kitu asilia?!karibu kwa kuboresha wazo langu
Mimi natengeneza lambalamba za ukwaju. Kilo moja sikosi 8000-10000 kama faidaNikimpata anaetengeneza ili akaniambia kilo moja anatoa glass ngapi ingependeza zaidi.Maeneo ambapo nimeona ukwaju mwingi wanauza kwa mafungu hivyo ninampango nikikamilisha kazi iliyonileta huku nichukue mafungu kadhaa nikayapime ili nijue kilo moja ni mafungu mangapi na kwa huku itakuwa imecost kiasi gani.
Unapatikana wapi tufanye kitu cha maana?Mimi natengeneza lambalamba za ukwaju. Kilo moja sikosi 8000-10000 kama faida
Kipawa,Dar es SalaamUnapatikana wapi tufanye kitu cha maana?
Sio kweli tuwaze kufanya local packaging pia local market kwanza, simple mnapiga pesaMkuu kuna kitu haujakielewa... Costs of Products kwenye Free Market... Azam atachouza yeye hapo huenda faida yake kwenye kila Tshs. 500 isifike hata senti hamsini
Kuna costs za production
Packaging
Promotion
n.k.
Wewe ukisema utengeneze kitu fresh kuna mambo kama shelf life na itabidi uuze at a premium price na ufanye marketing ya nguvu.., unachoweza kufanya ni kuangalia niche market (watu wachache waliokuzunguka kuwauzia fresh juice at a premium price).., na vyuma hivi vilivyokaza wapo wa kutosha..
Cha maana tafuta soko la nje watu wanaoweza kulipa premium price
Local packaging ni nini ni bure ? au unamaanisha kuuza barafu zile za mashule.., packaging means cost and cost means higher prices..., watu kama kina Azam wanaweza kuchaji pesa ndogo sababu wanauza volume kubwa..,Sio kweli tuwaze kufanya local packaging pia local market kwanza, simple mnapiga pesa
Nikimpata anaetengeneza ili akaniambia kilo moja anatoa glass ngapi ingependeza zaidi.Maeneo ambapo nimeona ukwaju mwingi wanauza kwa mafungu hivyo ninampango nikikamilisha kazi iliyonileta huku nichukue mafungu kadhaa nikayapime ili nijue kilo moja ni mafungu mangapi na kwa huku itakuwa imecost kiasi gani.
Unatengenezea Juice,ice cream au wauza rejareja?Ninanunua kila week kilo 40 kuna mmoja ananiuzia kilo 1,000 mwinginr kilo 900.
So ukishauleta tutawasiliana ila bei zangu ni hizo nazochukulia, pungufu ya kilp 40 kilo moja moja wanauza 1,500 mpaka 2,000
Unatengenezea Juice,ice cream au wauza rejareja?
Still wahitaji zaidi???Juice boss wangu.
Still wahitaji zaidi???
Naleta kwenu wazo la biashara.Naomba mtu ambae anaweza akapata soko la uhakika la ukwaju wa asili tufanye kitu cha maana kuna sehemu nimepita nimekuta upo wa kutosha,nikajiuliza akina Azam wanapiga hela kwa ukwaju wa kuweka flavour tu,je kikiwa kitu asilia?!karibu kwa kuboresha wazo langu
Sio kweli tuwaze kufanya local packaging pia local market kwanza, simple mnapiga pesa
ulifanikiwa kupata soko la ukwaju?Naleta kwenu wazo la biashara.Naomba mtu ambae anaweza akapata soko la uhakika la ukwaju wa asili tufanye kitu cha maana kuna sehemu nimepita nimekuta upo wa kutosha,nikajiuliza akina Azam wanapiga hela kwa ukwaju wa kuweka flavour tu,je kikiwa kitu asilia?!karibu kwa kuboresha wazo langu
Ukwaju ni mkali balaa. Kilo moja usiulizie glass uliza lita ngapi..... Mimi nilishatengeneza home ukwaji nusu kilo baada ya kuloweka na kuuchuja nikatoa ndoo ndogo moja..... Na bado ulikuwa mkali ilitakiwa niudilute na nusu ndoo nyingine....Nikimpata anaetengeneza ili akaniambia kilo moja anatoa glass ngapi ingependeza zaidi.Maeneo ambapo nimeona ukwaju mwingi wanauza kwa mafungu hivyo ninampango nikikamilisha kazi iliyonileta huku nichukue mafungu kadhaa nikayapime ili nijue kilo moja ni mafungu mangapi na kwa huku itakuwa imecost kiasi gani.