Ukwel kuhusu biashara na bidhaa za forever living

mkuu brave 3 unaweza kupata faida km retail kwa kununua product kwa bei rahisi then kuuza kwa bei ya juu kidogo na kupata faida ila faida kubwa ipo kwa kuunganisha watu ambao kila watakaponunua product we utapata asilimia fulani km commission

Bado unaifanya?
 
mmh mi hiyo biashara siielewi kabisa watu wanashawishi lakini product zao ni ghali sana ni watu wachache sana wanaweza kununua sasa inakuwaje mtu apate pesa haraka ,hapo sielewi
 

Acha fix
 
Achana na huu ujinga! Kuna FOREVER LIING,GNDL, ORGAN NI KUPOTEZA MUDA TU.USANII
 
Naona umepata platform ya kujipigia promo?
Wakutafute iweje? Wewe toa tu ushauri kisha wao watajua cha kufanya.

Ukianza kujipigia promo maoni yako yanakuwa sio huru na yanaegemea upande mmoja.

Ukitaka peleka tangazo jukwaa linalohusika na matangazo ya biashara.
 
Cc youngkato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…