Ukwel kuhusu biashara na bidhaa za forever living

Ukwel kuhusu biashara na bidhaa za forever living

Kwa hiyo hii biashara ni nguvu yako na uwezo wako wa kupiga debe kama huna kipawa cha kushawishi ni shida,Biashara nyingi wateja ni watu wa chini,wenye kipato cha chini,sasa kuwauzia hawa watu dawa ya meno kwa sh.15000 sabuni ya kuogea 10000 kwa maisha ya sasa ni ngumu mno

ukisema unaweza uko sahihi na ukisema huwez uko sahihi pia
 
Hivi seriously nani anaweza kununua dawa ya meno kwa 15k? Uanze kumconvince mtu awe ananunua ni kazi nzito sana.
Si kila mtu lazima afanye hii biashara wengine tutakuwa watazamaji tu. Siwezi kusugua soli kila siku nimnenepeshe mwingine.
Wizi tu hakuna lingine.
 
Hivi seriously nani anaweza kununua dawa ya meno kwa 15k? Uanze kumconvince mtu awe ananunua ni kazi nzito sana.
Si kila mtu lazima afanye hii biashara wengine tutakuwa watazamaji tu. Siwezi kusugua soli kila siku nimnenepeshe mwingine.
Wizi tu hakuna lingine.

tena wizi mtupu man. bora biashara ya juice ya miwa
 
Acha UONGO
km ni Mkulima utapata wapi 650,000/= kila mwezi za kununua hivyo vipodozi
na wanakuambia kabisa bidhaa zao sio dawa ni virutubisho
kwanini usilime na hiyo 600,000/ ukauza nyanya bali kila mwezi upeleke fedha zetu Marekani wakatuletee mikorogo?

ww jamaa yetu kumbe unatusanifu
umeshaambiwa utalizwa na hizi biashara za nje, kwani hapo unamlangulia bepari katulia huko kwake ww na bidhaa mkononi mpaka Ruvuma.
Biashara za namna hii zipo nyingi hata ukitaka za mitandaoni km Perfect Internet lakini wanaoambulia huo utapeli ni wachache mliobaki mtalizwa tu
Fuatilia DESI na mashirika ya kiDINI kwanini hamshtuki mnawasumbua Wazazi wenu,
kila mwezi utapata wapi 600,000/ ya kununulia bidhaa wakati juice za mwanzo na dawa za miswaki (11,000.00) hujamaliza
utalizwa na urudi hapahapa JF kutusanifu tena nenda kalime Nyanya zinalipa hasa kwa mtaji wa laki 6 au anzisha mradi wowote
aah mkuuu naona hujanisoma
 
all in all nimesha wapata nitafanyia kazi kila mchango ........nikifanikiwa au nikifeli nitsrudi tena jamani msisite kushauri..... au vipi wakuu
 
du network maketng ya foreva yataka moyo sana,
kama unamoyo mwepesi huwezi fanya chochote.
 
Ningependa tu share ujuzi juu ya hii biashara ya uuzaji wa bidhaa na kampuni tajwa apo juu, Je! kuna ukweli wowote na sio utapeli jamani???

Mwenye kitu tafadhali usisite kudondosha apo chini

They are trying to push the inferior goods to the market.
 
Hello mimi ni active member ya hii biashara ya nimeanza miezi michache iliyo pita

Ukweli ni kwamba watu wengi hawana mtazamo sahihi kuhusu network business na humu utaona wanaongea sana bila kuwa na ujuzi wowote

But biashara hii ni nzuri na inafanyika vizuri tu as long as upo tayari kwenye kuifanya na pia uwe kwenye right team

So ndugu yangu kama upo tayari kufanya just do na kama unamashaka then usifanye na hasa ukiwa hauna team bora ya biashara

Please help me with this. Why always the company encourages much on recruiting new members to join the network and not to sell the product? If I join today and buy the products am I allowed to sell throgh my own shop or pharmacy?
 
quote_icon.png
By kobori
uwiiiiiiiiii.......bora nifanye biashara ya magimbi kuliko 4ever Living... . ..forever ni wezi tu.......
be care with them.
Hawa jamaa wa Forever Lining ni wezi kabisa
ukiwa Maskono hawakupendi mpaka ulipie michango yao (ya manunuzi kila mwezi)
 
Hawa jamaa wa Forever Lining ni wezi kabisa
ukiwa Maskono hawakupendi mpaka ulipie michango yao (ya manunuzi kila mwezi)

wahuni hao. we always promote product , sasa hawa cwaelewi kabisa.....
 
Please help me with this. Why always the company encourages much on recruiting new members to join the network and not to sell the product? If I join today and buy the products am I allowed to sell throgh my own shop or pharmacy?

Eti kila mtu anasem anpanua soko mxeweee
 
Back
Top Bottom